PhDElimu yake na uelewa wake upoje
PhDElimu yake na uelewa wake upoje
Uelewa he upoje , isije kuwa ndio kirefu cha PhD yake yaani pua hea distribution
Usipaniki.Utoto huo....
Ndoa ni jambo binafsi la mtu.....
Sibishani na mbwaaa wenye vichaa. Sibishani na chawa wala walamba makalio ndiyo wajaze mifuko yao iitwayo matumboAcha matusi zwazwa.....
Wewe mbona toka mumeo akuache mwaka wa 10 huu unakitembeza tu hapo Bugubay ?!!
Komredi Mjema ni mwenezi unataka aseme nini usimwite chawa?!!! [emoji15][emoji15]
Pathetic
Kwa sasa Rais samia ana miaka 63Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Hizo porojo.Yaani ndivyo hivyo....
Mtake msitake....
Zwazwa kama sifa kawape walokuzaa habith nkubwaAcha matusi zwazwa.....
Wewe mbona toka mumeo akuache mwaka wa 10 huu unakitembeza tu hapo Bugubay ?!!
Komredi Mjema ni mwenezi unataka aseme nini usimwite chawa?!!! [emoji15][emoji15]
Pathetic
Unafikiri anamaanisha asemacho!!?Jambo Jambo?
Kwa madudu haya ya huyu Mama kuna watu wanajitokeza kisa ulaji wa tumbo lake bila kufikiria hata kwa manufaa ya watoto au wajukuu wake, anajitokeza na kuongea takataka hizi.
huyu mama mpaka 2035 si nchi itakuwa ukiwa na imeoza mno.
Sijawahi kuona rahisi kilaza kama huyu.
NIMEMALIZA
Nshomile wa muleba
kwa sasa
Kwamatinyi, ArushaView attachment 2777714
Uelewa he upoje , isije kuwa ndio kirefu cha PhD yake yaani pua hea distribution
Uchawa unakusaidia kwenda chooni tu period. Bahati mbaya ukienda chooni unaacha huko akili zote na ufahamu wote. Samia unamlinganisha na J.K Nyerere, Benjamin Mkapa na John Pombe Magufuli kweli kwa kusukuma maendeleo ya nchi hii? Fananisha Samia na Kikwete na Ali Hassan Mwinyi labda hapo nitakukubalia japo kidogoNaunga mkono hoja.
Ukiacha chuki binafsi za machadomo na Sukuma gang ambazo sio big deal ila bila unafiki hakuna Rais wa kabla anaweza mfikia Samia kwenye delivery ya mambo ya uchumi Hadi kijamii.
Kama wenye Nchi mnampima mtu Kwa matokeo basi Samia ndio mtu sahihi ila kama mnataka porojo na blaa blaaa mtambadilisha.
Kwa katiba ipi?Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Katiba ingekuwa haiheshimiwi huyo Samia angekuwa rais wako? Acha ujinga.Ni lini mmewahi kuheshimu katiba? Acheni unafiki.... hata mikutano ilikua ni haki ya kikatiba ila JPM aliifuta ndio sembuse chaguzi? Akipitisha katiba mpya obvious ataruhusiwa kugombea 2030!! Hiyo ndio ccm, so acheni maigizo ya kwamba katiba huwa mnafuata.