nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Halafu CCM ikiondoka nani mbadala ?Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Halafu CCM ikiondoka nani mbadala ?Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Hasa ukizingatia wanavyochangishwa sadaka afu wakati wa matatizo wanakimbiaPadre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Ni Mpitimbi uko sahihi kabisaAseee mleta mada hapo ni Kama Mpitimbi kwa mandhari ya kanisa
Hebu tueleze ni eneo gani Hilo?
Sadaka zao!!Binadamu ni wajinga sana.Sasa Padre au shekhe kumzika mtu kuna faida gani?
Yah ni mpitimbi kwenye magrup ya wangoni ilitrend sana hii toka juziAseee mleta mada hapo ni Kama Mpitimbi kwa mandhari ya kanisa
Hebu tueleze ni eneo gani Hilo?
Mimi nimeuliza marehemu anapozikwa na Padre au shekhe huyo marehemu anapata faida gani?Sadaka zao!!
Dah Mungu awasamehe maana hawajui watendaloPadre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Akili fupi kweli. Wanafikiri hilo jengo walimjengea padre. Hovyo kabisaPadre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Siku hizi wanajali sana pesa acha wawaonyeshawamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
Ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
Japo sio mleta mada!!Duu!!! Mleta mada tusaidie kujua sababu za baba Paroko kugoma kuendesha ibada ya mazishi ili tutoe maoni yetu.
Whip appeal, kama kuna sehemu Rc ina mizizi ya kutosha ni huko kwa wangoni!Safi sana hawa wanajitambua sio mazuzu ya kiumini mengine..
Mambo ya jumuiya hayo jamaa alikuwa siyo alikachaPadre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Maparoko wanajiona wajukuu wa mungu, waendelee kushikishwa adabu na huku kitaa.
Mwaka jana kuna padre tulimdaka na dem wa mshikaji tukacharaza bakora na kumrekodi kwa simu yake. Na alitoa muamala wa milioni mbili kiulaini sana.