sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Ingefaa sana waumini wote tugome, Muda ni sasa !! ikibidi makanisa ya Tanzania kujitenga na vatican kama kanisa la anglican walivyojitenga kuongozwa na kanisa la uingereza.
Makadinali wamueleze huyu papa achague upande, mambo anayoruhusu tayari yamehukumiwa na Mungu kwenye biblia Papa Francis yeye ni nani apindishe ?
Tangu jana nimesikia kuna waraka lakini nikakaa nikatulia na kuvuta pumzi kisha nikausoma waraka huo mimi mwenyewe maan maana sijawahi kuamini vyanzo vya habari kama bbc, Nilichogundua ni kwamba vyombo vya habari viliongezea chumvi (Propaganda) kwamba Papa Francis karuhusu ndoa lakini baada ya kuusoma waraka mimi mwenyewe bado nimesikitika kwasababu Papa karuhusu makasisi kubariki wapenzi wenye mahusiano ya jinsia moja ila anasisitiza Ndoa itabaki kuwa vilevile kati ya mwanaume na mwanamke, kuna utofauti gani sasa ? 😔😔 haikutosha hivyo nikatumia mpaka akili bandia ya Chat Gpt inisiaidie kuelewa vizuri zaidi lakini mambo ni yale yale tu.
Dini watu tumezifuata kwa sababu ya kutarajia kwamba zinatoa muongozo fulani kwa watu kuhusu maadili, usiibe, usizini, mpende jirani yako kama unavyojipenda, usitumie viungo kwa kazi ambayo havijaumbiwa, nk ,
Hii ndio ilifanya hata wazazi wetu na sasa tumekuwa wakubwa sisi wazazi kupeleka watoto wakafindishwe dini,
Ila kwa mambo yanayoendelea sasa ni mashaka tele, mtoto anaona jinsi papa anavyoheshimiwa kama kiongozi wa dini alafu anasikia ni huyo huyo anaruhusu vitu flani kinyume kabisa na maandiko, hii ni mbaya sana kwakweli, mtoto anakuzwa aone ni sawa na ni kawaida kufanya ufuska mwishowa nae anaweza kushawishika kuufanya hata kama wazazi hatumpi bataka ataenda kwa makasisi waliopewa go ahead na papa wabariki ufuska.
Ni muda sasa waumini nao wasikilizwe,
Makadinali wamueleze huyu papa achague upande, mambo anayoruhusu tayari yamehukumiwa na Mungu kwenye biblia Papa Francis yeye ni nani apindishe ?
Tangu jana nimesikia kuna waraka lakini nikakaa nikatulia na kuvuta pumzi kisha nikausoma waraka huo mimi mwenyewe maan maana sijawahi kuamini vyanzo vya habari kama bbc, Nilichogundua ni kwamba vyombo vya habari viliongezea chumvi (Propaganda) kwamba Papa Francis karuhusu ndoa lakini baada ya kuusoma waraka mimi mwenyewe bado nimesikitika kwasababu Papa karuhusu makasisi kubariki wapenzi wenye mahusiano ya jinsia moja ila anasisitiza Ndoa itabaki kuwa vilevile kati ya mwanaume na mwanamke, kuna utofauti gani sasa ? 😔😔 haikutosha hivyo nikatumia mpaka akili bandia ya Chat Gpt inisiaidie kuelewa vizuri zaidi lakini mambo ni yale yale tu.
Dini watu tumezifuata kwa sababu ya kutarajia kwamba zinatoa muongozo fulani kwa watu kuhusu maadili, usiibe, usizini, mpende jirani yako kama unavyojipenda, usitumie viungo kwa kazi ambayo havijaumbiwa, nk ,
Hii ndio ilifanya hata wazazi wetu na sasa tumekuwa wakubwa sisi wazazi kupeleka watoto wakafindishwe dini,
Ila kwa mambo yanayoendelea sasa ni mashaka tele, mtoto anaona jinsi papa anavyoheshimiwa kama kiongozi wa dini alafu anasikia ni huyo huyo anaruhusu vitu flani kinyume kabisa na maandiko, hii ni mbaya sana kwakweli, mtoto anakuzwa aone ni sawa na ni kawaida kufanya ufuska mwishowa nae anaweza kushawishika kuufanya hata kama wazazi hatumpi bataka ataenda kwa makasisi waliopewa go ahead na papa wabariki ufuska.
Ni muda sasa waumini nao wasikilizwe,