love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,524
- 2,882
RC imeingiliwa na makanjanja(wasaka fursa), naona ni huku kwetu tu ulaya hawa mapadre hadi ndoa za jinsi moja wanafungisha.Kabisa mkuu, hawa ndiyo waliokuwa wamekaki kama kioo cha ukristo lakini wamekuwa wahuni kuliko wahuni, sijui hata kama hicho kitubio kitazaa matunda
Na pope alisema hawezi kumhukum shoga kama Mungu anasamehe yote yeye ni nani amhukumu.