Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
They've drawn big attention. They've sent a loud and clear message to the priests who think they deserve the rights to treat church members in bulsh*t ways or in whatever way they think befit them.wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
Ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
Duu!!! Mleta mada tusaidie kujua sababu za baba Paroko kugoma kuendesha ibada ya mazishi ili tutoe maoni yetu.Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Ni suala la muda tuAri na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Jengo la Ibada halina kosa, silo lililokataa kwenda kuzika.Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Ni Mpitimbi mlongoAseee mleta mada hapo n Kama mpitimbi kwa mandhar ya kanisa
Hebu tueleze n eneo gani Hilo?