Chanzo cha mapadri kukataa huwa ni sadaka ya bahasha, kabla ya kuamua kukuzika wanaangalia jina lako kwenye sadaka ya bahasha, kama hauna matoleo hawaji wanakutenga, hukumu hapahapa duniani.Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Kabisa..Hao waumini huenda wana matatizo ya akili; kosa la padre kwanini uchome kanisa. Kesho watasali wapi? Kwa hiyo kesho wachangishane tena fedha kukarabati kanisa?
Hii ilitokea Tanzania kwa nyumbi hii bombi hii, siyo ulaya.They've drawn big attention. They've sent a loud and clear message to the priests who think they deserve the rights to treat church members in bulsh*t ways or in whatever way they think befit them.
And this should be considered as morning trumpet or a wakeup call to mapadre na viongozi wa dini wakusanya sadaka without thinking what Jesus would have done in such circumstance/environment.
Soreeee kwa kimalikia ambacho hakijanyooka
Safi sana hawa wanajitambua sio mazuzu ya kiumini mengine..Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
"Aroo wewe unarara au unaamuka"Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Hahaaaa..kondoo wamegoma kula nyasi..ila hizi dini zingekua zinafundishwa ukubwani..wajinga tu ndio wangejiunga nazo..sema wanatuwahi tukiwa hatujielewi wanatulisha pumba..hadi kuchomoka inakua kwa taabu kweli.Kondoo wamestuka, Wamegeuka kuwa mbuzi!
Zipo sheria na taratibu zinazoendesha makanisa, siyo hisia.They've drawn big attention. They've sent a loud and clear message to the priests who think they deserve the rights to treat church members in bulsh*t ways or in whatever way they think befit them.
And this should be considered as morning trumpet or a wakeup call to mapadre na viongozi wa dini wakusanya sadaka without thinking what Jesus would have done in such circumstance/environment.
Soreeee kwa kimalikia ambacho hakijanyooka
Nimeona hayo mandhari mlongo unajua nimeishi pale miaka karibu 2 hivi dah kanisa zuri wao wanalichomaNi Mpitimbi mlongo
Inawezekana kabisa kuna mengi yako nyuma ya hili sakata na ndiyo yamefanya hao waumini wachukuwe hiyo hatua. Sidhani kama ni tukio la padri kukataa kumzika huyo muumini ndiyo limelipua hasira kama hizi.Kabisa..
Wamekosa Hekima na Busara!!
KabisaKwanini wasimchome padri wakatuachia kanisa?wapumbavu
Mambo kama haya hutokea baada ya kero za muda mrefu kulundikana. Hizi ni hasira zilizojengwa na huo uongozi wa kanisa kwa muda mrefu na kuna uwezakano kuna mambo mengi sana yamejilundika ndiyo yakalipua hasira.wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
Ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
Imani ni hisiaZipo sheria na taratibu zinazoendesha makanisa, siyo hisia.
Huu ni mwanzo mzuri.Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Asee umewaza kama mimi maana mandhari ya mbele ni mpitimbi kabisa apoAseee mleta mada hapo ni Kama Mpitimbi kwa mandhari ya kanisa
Hebu tueleze ni eneo gani Hilo?
Sawa sawa Mkuu kwaiyo limeungua au wameshindwa maana kwa lilivyo sio rahisi kuungua kwa magogo hayo labda wameunguza mabenchi tu.Ni Mpitimbi mlongo
Kwani kutoa sadaka na mafungu ya kumi na malimbuko kanisani kunafaida gani..!Binadamu ni wajinga sana.Sasa Padre au shekhe kumzika mtu kuna faida gani?
Vyote havina faida yoyote.kwani kutoa sadaka na mafungu ya kumi na malimbuko kanisani kunafaida gani..!