Songea: Waumini wachoma Kanisa kwa hasira baada ya Padre kukataa kwenda kumzika muumini

Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.


View attachment 2016428
wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
Ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
 
wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
Ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
They've drawn big attention. They've sent a loud and clear message to the priests who think they deserve the rights to treat church members in bulsh*t ways or in whatever way they think befit them.

And this should be considered as morning trumpet or a wakeup call to mapadre na viongozi wa dini wakusanya sadaka without thinking what Jesus would have done in such circumstance/environment.

Soreeee kwa kimalikia ambacho hakijanyooka
 
Maparoko wanajiona wajukuu wa mungu, waendelee kushikishwa adabu na huku kitaa.

Mwaka jana kuna padre tulimdaka na dem wa mshikaji tukacharaza bakora na kumrekodi kwa simu yake. Na alitoa muamala wa milioni mbili kiulaini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…