Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,631
- 9,430
Jamaa alitaka wautengeneze mtaala wa kuharibu watoto akili wawaze kiporipori tu kwenye ulimwengu wa dunia ya utandawazi.
I hope wangefundisha pia namna ambavyo nchi ilizima mitandao wakati wa uchaguzi kisa kuogopa wapinzani na namna watubwaliokuwa wanatoa mawazo tofauti na bwana yule walivyokuwa wanapotea katika mazingira ya ajabu ikiwemo wengine kutekwa na kuuawa.
I hope wangefundisha pia namna ambavyo nchi ilizima mitandao wakati wa uchaguzi kisa kuogopa wapinzani na namna watubwaliokuwa wanatoa mawazo tofauti na bwana yule walivyokuwa wanapotea katika mazingira ya ajabu ikiwemo wengine kutekwa na kuuawa.