GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
TANGA; RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteua tena Athumani Nyamlani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa shirikisho hilo.
-
Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, Rais anateua wajumbe wanne wa Kamati ya Utendaji ambao wanathibitishwa na Mkutano Mkuu wa TFF na miongoni mwa wajumbe hao anatoka Makamu wa Kwanza wa Rais.
-
Nyamlani ametangazwa leo kushika wadhifa huo kwenye Mkutano Mkuu wa TFF uliofanyika jijini Tanga ikiwa ni awamu ya pili, ambapo mara ya kwanza aliteuliwa mwaka 2021.
Chanzo Taarifa: Habari Leo
Na kwa tunaomjua Nyamlani akiwa Serikalini tungeshangaa kama Serikali isingehakikisha anaendelea tu kuwa Makamu.
-
Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, Rais anateua wajumbe wanne wa Kamati ya Utendaji ambao wanathibitishwa na Mkutano Mkuu wa TFF na miongoni mwa wajumbe hao anatoka Makamu wa Kwanza wa Rais.
-
Nyamlani ametangazwa leo kushika wadhifa huo kwenye Mkutano Mkuu wa TFF uliofanyika jijini Tanga ikiwa ni awamu ya pili, ambapo mara ya kwanza aliteuliwa mwaka 2021.
Chanzo Taarifa: Habari Leo
Na kwa tunaomjua Nyamlani akiwa Serikalini tungeshangaa kama Serikali isingehakikisha anaendelea tu kuwa Makamu.