Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

kwani wewe mkuu umetoka lini ccm?
Nimeingia lini CCM?
inaonekana kama hutajibu hili swali. Labda nibadili swali - unataka mama simba aende mirembe kupimwa akili kabla hajarudi toka dodoma au apimwe zanzibar kama alivyoshauri kibunango?
Nataka mama simba, kilango,malecela na ccm yao watupishe tumewachoka...waondoke wakatibu wazimu wao huko mbele ya safari wasiwaongezee stress watanzania.
 
Mhe. Kikwete akikaa kimya katika hili basi kuna kasoro kubwa katika serikali yake. So far hakuna baya as he tried kuweka sawa mfumo wa sheria.

Mkuu Kibunango,

Unategemea JK aseme kitu kwenye hayo? Ninaweza ku-bet ... hutasikia akitia neno. Na kwa sasa hali inavyokwenda ndivyo mambo yanavyozidi kwenda vibaya, katika mambo yote ambayo JK hawezi kusahau katika maisha yake ni jinsi wanamtandao wanavyompelekesha puta katika uongozi wake. Anajuta kuwa mwanamtandao!
 
Nimeingia lini CCM?

Nataka mama simba, kilango,malecela na ccm yao watupishe tumewachoka...waondoke wakatibu wazimu wao huko mbele ya safari wasiwaongezee stress watanzania.

Kwani hiyo ni siri?

Sasa vipi, mama simba akapimwe mirembe au kidongo chekundu?
 
- Waziri wa ofisi yako anapoambiwa ana kichaa, maana yake ni kubwa sana, sasa ni wakati wa Rais na Sophia kuchukua ushahidi walionao na kuwafikisha kwenye sheria, Mzee na mkewe Mama Kilango na kuthibitisha kwamba Sophia waziri wake sio kichaa, au? Ingekwua mimi ndiye Rais, by saa hizi Mama na mzee wangekua Segerea tayari maana ningechukua ushahidi alionao na kuwarundika mara moja, waziri wangu hawezi kuwa kichaa anapofanya kazi yake yaani ya taifa, unless otherwise!

- Hapa the burden ipo kwa Rais na waziri wake wa Takukuru, ndio maana ninasema hii ngoma sasa inaogile nasubiri kuona miwsho wake! Hivi Kikwete yupo au amesafiri?

Respect.


FMEs!

Mambo yalivyo sasa hivi, atapanga safari ya haraka haraka kwenda madagaska kusuluhisha mgogoro huko.
 
Mkuu Kibunango,

Unategemea JK aseme kitu kwenye hayo? Ninaweza ku-bet ... hutasikia akitia neno. Na kwa sasa hali inavyokwenda ndivyo mambo yanavyozidi kwenda vibaya, katika mambo yote ambayo JK hawezi kusahau katika maisha yake ni jinsi wanamtandao wanavyompelekesha puta katika uongozi wake. Anajuta kuwa mwanamtandao!
Noted, for future reference, lkn nina kila sababu kuwa atasema kitu, na kumwajibisha Simba!
 
- Waziri wa ofisi yako anapoambiwa ana kichaa, maana yake ni kubwa sana, sasa ni wakati wa Rais na Sophia kuchukua ushahidi walionao na kuwafikisha kwenye sheria, Mzee na mkewe Mama Kilango na kuthibitisha kwamba Sophia waziri wake sio kichaa, au? Ingekwua mimi ndiye Rais, by saa hizi Mama na mzee wangekua Segerea tayari maana ningechukua ushahidi alionao na kuwarundika mara moja, waziri wangu hawezi kuwa kichaa anapofanya kazi yake yaani ya taifa, unless otherwise!

- Hapa the burden ipo kwa Rais na waziri wake wa Takukuru, ndio maana ninasema hii ngoma sasa inaogile nasubiri kuona miwsho wake! Hivi Kikwete yupo au amesafiri?

Respect.

FMEs!
Mkuu,unasahau ww...ile sera ya kulindana lindana...hayaji hayo...watu wametoa tu madukuduku yao...na wengine imewakuta vibaya mpaka wanapiga kelele"...heee,saa hizi...tokea siku zote hizo...",haya yatakwisha tu usijali Mkuu,kama ilivyokwisha ile ya Richmond,Kiwira na meremeta,posho mbili n.k karibu itakuwa shwari nafikiri umemsikia Cpt.Chiligati akihojiwa na BBC leo ni ushahidi tosha kuwa makelele haya ni usanii wa kizazi kipya cha mafisadi wa CCM na na "ilkuwa ni utambulisho wa track mpya tu ili ile ya Richmond na posho mbili ipotee"
 
Mogadishu kwa Mfuga Mbwa! kwi! kwi! kwi!


Mogadishu kuna wafuga mbwa tena? Te te teeee!!! Au ndiyo hizi za kule vichochoroni ambapo ukipita ovyo, unaweza kumwagiwa maji ya ukoko......

Check PM.
 
tumechoka na hizi habar za CCM jamani,ngoja nwashe TV niangale premier league preview.Maana habari ni zilezile mambo yaleyale.
 
Malecela,Kilango,Mengi na wenzao mbona hawajajibu madai ya mama Simba badala yake wanatoa matusi tu, na wajibu basi naona Mume anamsukumia Mke na Mke hivyohivyo, wajibu hoja si matusi...UKWELI UNAUMA ENHEE!!!


Kwa nini wajibu utumbo. In fact approach waliochukua ni safi sana.. na ndio maana waliotarajia kuwa wataanza kutoa maelezo wameshushuka.. lengo lao halijafanikiwa. na mama K ndio nakupa heko zaidi .. uliyosema yanatosha.. endelea na kazi yako ya kuwaletea kiwanda wananchi wa Same. You dont need Sophia Simba to approve you ... by the way una award yako safi toka US why waste time proving yourself to Sophia Simba? Na walitaka wakuingize kwenye mtego wa kuanza kujitetea na mtego huo umeuruka ... sasa ndio kelele hizi za ooh jibu jibu .. usijibu chochote.... you dont have to prove yourself to anybody
 
Kwa nini wajibu utumbo. In fact approach waliochukua ni safi sana.. na ndio maana waliotarajia kuwa wataanza kutoa maelezo wameshushuka.. lengo lao halijafanikiwa. na mama K ndio nakupa heko zaidi .. uliyosema yanatosha.. endelea na kazi yako ya kuwaletea kiwanda wananchi wa Same. You dont need Sophia Simba to approve you ... by the way una award yako safi toka US why waste time proving yourself to Sophia Simba? Na walitaka wakuingize kwenye mtego wa kuanza kujitetea na mtego huo umeuruka ... sasa ndio kelele hizi za ooh jibu jibu .. usijibu chochote.... you dont have to prove yourself to anybody
suck up!
 
- Yaaani kichaa amesema ukichaa wake, halafu mtu mwingine aje clean kwa sababu ya maneno ya yule yule kichaa?

- Kwa hiyo una maana ni kweli Mwakalinga alipewa Millioni 40 na Lowassa? Sasa Mwakalinga asipochukua hatua kama unazozisema ina maana kwamba hizi tuhuma uchwara ni za kweli?

- Utaamini aliyosema kichaa? Kweli Kyela kuna kazi sana. Aliyoyasema mzee yanatosha sana, maana huwezi poteza muda na kichaa! Na ni vyejma kwamba Mama K, ameligundua hilo na kukataa kwenda njia ya vichaa! maana wenye akili tungepata taabu sana kujua kichaa ni nani hasa!

Respect.

FMEs!
Heshima yako mzee wa masauti ya umeme!
 
CCM ndo mlivyo hamtaki kuambiwa ukweli mkiambiwa ukweli mnaanza kuzusha vitu vya ajabu ajabu...huenda bado nina mashaka na jibu la Malecela...labda anazeeka vibaya kama nayy...si sawa na mam simba kwa fikra zake.

- Tunatakiwa kufikishana kwenye sheria sio mambo ya ukweli wa kichaa, waziri ana ushahidi anatakiwa kuwahi kwenye sheria sio ya kumbiana ukweli, ukweli gani atakuwa nao Sophia? Mwanamke asiyekwua na heshima na kuishia kupora waume wa wenziwe ndiye atakuwa na ukweli?

- Hebu nenda kule Canada ukaone mtoto wake anavyoteseka, huku mama akiruka ruka na wazee wenye umri wa babu zake, vipi mkuu mbona unajaribu kurukia usiyoyajua? Unafikiri aliyemuita mgonjwa hamjui, hebu mkuu kuwa mkweli umri wa Sophia na wa Kitwana kondo ambaye ni mume wa rafiki yake Sophia hivi kweli unaweza kuwalinganisha kwa umri?

- Rais wetu anawezaje kumfanya huyu Sophia waziri katika ofisi yake ni maajabu ya Musa! Mkuu hebu yatafute kwanza uyajue vizuri au subiri hapa upewe darasa, lakini Sophia hana ukweli hata siku moja na haujuwi ndio maana anatetea Lowassa ambaye hasafishiki! ukiona kiongozi yoyote wa taifa anajaribu kumsafisha Lowassa ujue ni kichaa!

- Sophia anatakiwa kujibu swali moja tu hapa nalo ni kwa nini kama anajua kuwa Jeetu ni fisadi hajamfikisha kwenye sheria? Je ina maana na Rais kumbe anajua? and then ndio atoe ushahidi wa hela za Patel na harusi na kampeni. This is very interesting ishu mkuu badala ya kulilia interest zako, harusi ilikuwa ni hela za michango, na ile harusi haikuwa na anything cha ajabu, kanisa lilikuwa bure, magari ya serikali na chama, kanisani mpaka kwenye reception ni dakika tano wengi walitembea, ukumbi wa serikali kwa hiyo ulikuwa bure, I mean ni hela ngapi zilizotumika na ile harusi mpaka Sophia kuililia as if zinafikia za Richimonduli?

- Halafu Sophia awe mkweli Lowassa na Rostam walimpa hela ngapi kumshinda Mama Kahama na UWT? Ninasema hii ngoma sasa ni tamu kwa sababu inamrudia Rais, hapa panahitajika hela za wote walioshiriki urais kusemwa wazi wazipata wapi? Halafu Rais anatakiwa kujitokeza kumtetea waziri wake kwamba ni mzima isipokuwa ni the Malecelas ndio wenye problems na ufisadi, can he? Ndio maana ninasema sasa hii ngoma inogile na Sophia ametusaidia taifa zima hapa, watch this thing carefully mkuu, badala ya kurusha rusha maneno bila kufikiri kwanza! Leo serikali nzima ilikuwa huzuni, maana kila mmoja anajua kuwa Sophia ameharibu kwa kusema bila ukweli wala kufikiri matokeo, hata mafisadi wenziwe wote toka jana wanamtukana huko private kwamba hapa ameharibu, mkuu vuta popcorn hii ngoma ndio kwanza imeanza!

Respect.


FMEs!
 
Mogadishu kuna wafuga mbwa tena? Te te teeee!!! Au ndiyo hizi za kule vichochoroni ambapo ukipita ovyo, unaweza kumwagiwa maji ya ukoko......

Check PM.
Sikonge,Solomoni kanifurahisha sana,watu wanasema Sofia ni mtoto wa mjini! Kwa hiyo akiwa wa mjini ndio watu wasiseme lol! Ni kwa jinsi anavyomwaga maneno huyu Bi dada Sofia ni sawa na kumwagiwa maji ya ukoko kwa Mfuga mbwa!

Ngoja nicheck.
 
"Simba ni mgonjwa, ana matatizo ya akili kichwani, namshauri apelekwe au aende Mirembe akapimwe akili na kupata matibabu kabla hajarudi Dares Salaam."

(Hiyo paragraph juu imemaliza malumbano)


"Asirudi Dar es Salaam bila kupita Mirembe kupima akili, kwa maana atakuwa amepoteza fursa ya kujua matatizo aliyonayo kichwani kwake," alisisitiza.


(Hapo juu JF mnasemaje)


Hata hivyo, Simba aliwahi kuugua akiwa Afrika Kusini na baadaye Hindul Mandal akiwa anasumbuliwa na kizunguzungu na kutapika, ugonjwa ambao waziri huyo aliwakariri madaktari wakisema utapona taratibu.

Hapo ni patamu na Mtu mwenyewe ni Waziri.



Mengi alisema anashangaa kauli za Waziri Simba na katibu wa CCM mkoani Dares Salaam, Shaaban Kilumbe kwamba, alipita matawi yote na kubaini hakuna sehemu ambako aliwahi kuwa mwanachama.


"Lakini wakati mwingine inawezekana hakuona kweli kwa sababu labda hajui kusoma... ni kitu kibaya sana kujaribu kuzungumzia mambo yanayohusu kusoma wakati hujui kusoma, labda Reginald kasoma John," alituhumu.

Hasa hasa kwa mtu aliyekwisha shika vyeo vikubwa serikalini na hajui kusoma hao aliokuwa anawaongoza enzi hizo walikuwa vipofu?
 
Mkuu FMES,
Mimi sioni haja ya kumtusi mama Simba,katoka madai hayo katika kamati iliyoteuliwa na chama kwa taratibu za chama chao,kama sikosei,kwa hiyo alikuwa katika forum sahihi ya kutoa madai hayo kama walivyofanya wenzake na bila shaka mama Kilango nayeye kapewa fursa na kamati ya Mzee Mwinyi kueleza hisia zake,kapewa haki ya kujibu tuhuma zidi yake. Sasa hapa sheria gani inahusika na madai katika mambo ya Chama tawala?
Na suala la maisha binafsi ya Mama simba ambayo hayahusiani na issue za kamati teule zinakujaje...au tuseme mama simba naye hajuwi "machafu binafsi" ya mama Kilango, nikiamini kuwa naye hakuwa msafi hivyo kabla ya kukutana na Mzee Malecela(binafsi namuheshimu huyu Mzee),lakini hayo hayawezi kuhusishwa na matatizo ya chama ambayo kamati ya Mzee Mwinyi imepewa kazi kuyashughulikia...uchafu wa mama simba na matatizo ya familia yake si issue katika madhumuni ya kazi za kamati ya Mzee Mwinyi,ila kwa CCM malumbano kati ya wabunge wanaojinadi kuwa ni wapiganani wa ufisadi na wale wanaotuhumiwa yanaonekana kuleta mpasuko katika chama na wanaopiga kelele zinazoonekana kukichafua chama na wao wenyewe si wasafi kiasi hicho ya kukichafua chama,kama wanavyodai wenyewe, ndo hapo hoja ya mama Simba ilipoanzia na mama simba hakumgusa Kilango tu hata Mengi kasemwa na Mwakyembe n.k
Rais kumchagua mama simba kuwa waziri hakufanya kwa ubinafsi...uteuzi wa baraza la mawaziri unahusisha kada nyingi za ushauri kwa rais ambaye anakuwa ni mwamuzi wa mwisho...ni kazi yao wenyewe CCM kama hawajuwi kuchanganuana.
Mama simba hakusema kuwa anajuwa kuwa Jeetu Petel ni fisadi alichodai kuwa Kilango hana usafi huo kuwanyooshea wenzake vidole kwa ufisadi kwa kuwa nayye anarekodi za kufadhiliwa na hao hao watuhumiwa wa ufisadi(Jeetu Patel), na wala hii haikuwa na maana ya kumsafisha Lowassa,ukizingatia kuwa hayo yalisemwa katika kamati ya Mzee Mwinyi kwa nia ya kutafuta chanzo cha mpasuko ndani ya Chama.
Lakini zaidi sisi watu wa nje huku tunachokiona ni mvurugano ambao CCM wenyewe wanajuwa undani wake na wananchi wanakorogwa vichwa tu.
 
Back
Top Bottom