Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Aliyemtaja Mwafrika na Masanilo ni huyu hapa



Wewe - painstruth ndiye umewataja mwafrika na masanilo. Je wanakupumulia bado au wamemaliza?



Kama sijakosea, hapa anaongelewa Mengi. Lakini kwa vile wewe unataka sana kumwongelea zitto, basi huwezi kumaliza siku bila kumtaja.




Painstruth
Join Date: Mon May 2008
Location: USA
Posts: 8
Thanks: 2
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

Wewe una post nane tu, umekimbiza wengi?

Au ndiyo yale yale ya kuja na majina kibao? Uliowakimbiza mara mwisho ulikuwa unatumia jina gani?

Rule number 1; Usijibu kila post!



Nimejiunga mwaka mmoja kabla yako dogo, wewe unaangalia wingi wa post?

Kuna mtu kazuia kutumia majina mengi humu?? nani, imeandikwa wapi?

Huna heshima dogo, angalia mawazo yako yalivyojaa ushoga shoga!

Nitaendela kukupa rule 20 za JF kadiri utakavyokuwa unajibu, mpaka nikutuma rule number 20, utakuwa umeshakua na kubadilika, hii ndio kazi yangu kubwa!
 
Mhh shehe yahaya tayari umefanya utabiri na kujua uwezo wangu wa kufikiri na ukilaza wangu. Utabiri huu umepitia wapi - mogadishu au bahrain?

Yr too low man. Km kila kitu unakihusisha na dini. Katu hutaweza kutenganisha mchele na pumba. Ni aibu sn kwako na familia yako.
 
Rule number 1; Usijibu kila post!



Nimejiunga mwaka mmoja kabla yako dogo, wewe unaangalia wingi wa post?

Kuna mtu kazuia kutumia majina mengi humu?? nani, imeandikwa wapi?

Huna heshima dogo, angalia mawazo yako yalivyojaa ushoga shoga!

Nitaendela kukupa rule 20 za JF kadiri utakavyokuwa unajibu, mpaka nikutuma rule number 20, utakuwa umeshakua na kubadilika, hii ndio kazi yangu kubwa!

Dogo,

Uliowafukuza nao walikuwa na ushoga ushoga kama wako au walikuwa tofauti?
 
unadhani ataweza kupimwa huyo, kwenye ile thread nyingine anajitapa kuwa kafukuza watu wengi sana hapa jf - wakati ana post nane tu. Kama kupimwa akili nadhani huyu hata haitaji kupimwa- apewe dozi moja kwa moja.


malecela ameomba jf tusishindane na vichaa
 
Yr too low man. Km kila kitu unakihusisha na dini. Katu hutaweza kutenganisha mchele na pumba. Ni aibu sn kwako na familia yako.

Hiyo dini umeiona wewe tu hapo au familia yako yote wameiona dini?
 
Malecela yuko sahihi ila amemsahau SOLOMO DAVID, naye ana matatizo ya akili huyu

Kajaa majungu, fitina , chuki, kila kitu too personal! ugomvi kila dakika, anachotaka yeye kila mtu akubaliane na yeye.

Solomon David tafuta hospital atakayoenda huyu mama na wewe uende

Nashangaa credibility yako ya kukubali alichosema malecela 100%

Kwani katika upumbavu wa Simba hakuna la ukweli?? mbaona hawakanushi

nataka nikukuze dogo ujue kuchambua mambo, sio kusema watu sema watu, kama watu wa vijiweni , JF was not meant for that.

Nimekuahidi kukukuza na kukushughulikia mpaka ukue, inabidi uulize dogo

Haya ebu tuone uwezo wako wa kuchangai maada , kujibu post na kuanalyse mambo kama great thinker


Mmasai kaingia disco..lol
 
Kweli huyo mama kichaa, waziri mzima unamwaga mituhuma mizito bila kutoa ushahidi? A'fu mpaka sasa bado ni waziri kweli nchi yetu imeishiwa viongozi.
 
Malecela,Kilango,Mengi na wenzao mbona hawajajibu madai ya mama Simba badala yake wanatoa matusi tu, na wajibu basi naona Mume anamsukumia Mke na Mke hivyohivyo, wajibu hoja si matusi...UKWELI UNAUMA ENHEE!!!
 
Unadhani ataweza kupimwa huyo, kwenye ile thread nyingine anajitapa kuwa kafukuza watu wengi sana hapa JF - wakati ana post nane tu. Kama kupimwa akili nadhani huyu hata haitaji kupimwa- apewe dozi moja kwa moja.

Rule number 2, Mengi kasema usi urgue na fool na wewe utaingia kwenye huo mkumbo!, so we are on the same boat


, lengo ni kutaka kuona IQ yako ina apply vipi hii misemo ya kawaida, au unataka sifa kwa watu wasiokujua!
 
Watanzania muda si mrefu natoka kuongea na mzee wetu nikajaribu kumwelekeza watu walivyochukulia kwa niaba ya familia ameomba tusishindane na vichaa na yawezekana kichaa hayuko pekee SOPHIA SIMBA WAO VICHAA WENGI NYUMA YAKE NA HATA HUMU JF...SO AMEOMBA TUWE WAVUMILIVU KATIKA WAKATI HUU WA MPITO MAFISADI WAKIJITAHIDI KUJISAFICHA
 
solomon acha kushindana na vichaa !!!tuwe na upeo wa mama kilango umu jf

Haya mambo ya kuwaachia watu wanafanya upuuzi eti kwa sababu wao ni vichaa ndiyo yaliwapa kichwa wanamtandao wakamchafua Salim mwaka ule wa uchaguzi.

Wao walijua tu kuwa watatoa tuhuma zao za kipuuzi na hakuna mtu yeyote mwenye akili atakayewajibu. Mimi nilishachoka na wanamatandao na mbinu zao za kitoto na ninachukua kama wanavyokuja.

Huyu painstruth kishasema kuwa nia yake ni kufukuza watu hapa huku akijisifu kuwa kishafukuza wengi (kwa kutumia majina mengi labda) so huu ni mwanzo tu.
 
Malecela,Kilango,Mengi na wenzao mbona hawajajibu madai ya mama Simba badala yake wanatoa matusi tu, na wajibu basi naona Mume anamsukumia Mke na Mke hivyohivyo, wajibu hoja si matusi...UKWELI UNAUMA ENHEE!!!

- Mfuate Mama simba huko Mirembe wakakucheki hii online syndrome mkuu maana mnafanana sana kwa maneno, sijui matendo? Bwa! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 
Nini hasa dhana ya Ada ya uanachama?. Ni kuendesha chama, sasa kama hajachangia shs12 za uanachama ila kachangia Shs 300 Million, yupi ni mwanachama bora?. Mtoa Shs 12 ili akipata uongozi aibe Billioni 12 au mtoa Mill 300 asiye na mpango wa kugombea uongozi ili awaibie watanzania.

Ndugu yangu upeo wao hawa watu ni mdogo mno, nakuhakishia watakuja na hiyo hoja ya kuwa uwanachama wa Mengi ni sawa na zero kwa kisingizio hicho cha shs 12, trust me! Hakuna level ya kufikiri logically kama ulivyo articulate ndani ya CCM, hakuna siyo Sophia wala Malecela wala Mwinyi wala JK mwenyewe. Soma thread inayohusu IPTL ndo utajua kuwa Tanzania SIASA = Economics = Engineering = Dini = Popularity = Prosperity

Inasikitisha kuona watu wazima na heshima zao (sidhani wanzistahili) wanalumbana kama watoto wa chekechea na kwa kweli aliyotabiri Mwalimu yanatimia within the same generation.
 
Mkuu,unataka ushahidi gani...madai yametolewa...waliodaiwa ndo waseme kuwa madai hayo ni uwongo...si wamefatwa kuulizwa...mbona hawajajibu...wanazungumzia habari za ugojwa wa akili zinahusu nini?
Wajibu madai vinginevyo nachukua madai ya mama simba kama ni ukweli ulishinda na kushindwa kufanywa uwongo na wadaiwa.
 
Rule number 2, Mengi kasema usi urgue na fool na wewe utaingia kwenye huo mkumbo!, so we are on the same boat


, lengo ni kutaka kuona IQ yako ina apply vipi hii misemo ya kawaida, au unataka sifa kwa watu wasiokujua!

Hiyo IQ yako umeipima leo au jana? Hao unaowajua nao wanakupumulia?
 
Mkuu,unataka ushahidi gani...madai yametolewa...waliodaiwa ndo waseme kuwa madai hayo ni uwongo...si wamefatwa kuulizwa...mbona hawajajibu...wanazungumzia habari za ugojwa wa akili zinahusu nini?
Wajibu madai vinginevyo nachukua madai ya mama simba kama ni ukweli ulishinda na kushindwa kufanywa uwongo na wadaiwa.

- Angeanza Mboma kwanza kujibu Meremeta na Kiwira, au?

Respect.


FMEs!
 

- mfuate mama simba huko mirembe wakakucheki hii online syndrome mkuu maana mnafanana sana kwa maneno, sijui matendo? Bwa! Ha! Ha!

Respect.


fmes!
pigo kali naona mnatapatapa,mara mnatafakari...jibuni hoja...kama anawazimu mngenyamaza kimya vinginevyo kimewachoma.
 
Mkuu,unataka ushahidi gani...madai yametolewa...waliodaiwa ndo waseme kuwa madai hayo ni uwongo...si wamefatwa kuulizwa...mbona hawajajibu...wanazungumzia habari za ugojwa wa akili zinahusu nini?
Wajibu madai vinginevyo nachukua madai ya mama simba kama ni ukweli ulishinda na kushindwa kufanywa uwongo na wadaiwa.

Mkuu Junius,

Naona umechukua upande kwenye vita ya mahasimu wako - ccm
 
Back
Top Bottom