Painstruth
Member
- May 5, 2008
- 77
- 24
Aliyemtaja Mwafrika na Masanilo ni huyu hapa
Wewe - painstruth ndiye umewataja mwafrika na masanilo. Je wanakupumulia bado au wamemaliza?
Kama sijakosea, hapa anaongelewa Mengi. Lakini kwa vile wewe unataka sana kumwongelea zitto, basi huwezi kumaliza siku bila kumtaja.
Painstruth
Join Date: Mon May 2008
Location: USA
Posts: 8
Thanks: 2
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Wewe una post nane tu, umekimbiza wengi?
Au ndiyo yale yale ya kuja na majina kibao? Uliowakimbiza mara mwisho ulikuwa unatumia jina gani?
Rule number 1; Usijibu kila post!
Nimejiunga mwaka mmoja kabla yako dogo, wewe unaangalia wingi wa post?
Kuna mtu kazuia kutumia majina mengi humu?? nani, imeandikwa wapi?
Huna heshima dogo, angalia mawazo yako yalivyojaa ushoga shoga!
Nitaendela kukupa rule 20 za JF kadiri utakavyokuwa unajibu, mpaka nikutuma rule number 20, utakuwa umeshakua na kubadilika, hii ndio kazi yangu kubwa!