ASANTE WILLIAM
Umesikika William
LIMBANI WEWE!!
MSITUCHANGANYE HAPA.
- unajua tatizo lako ni moja kama ulivyomwambia yule kijana aliyekuomba umsaidie kutafuta Lawyer wa Accident, ni kwamba umetoka kwenye umasikini wa ajabu kama sisi wengine wote ila wewe mpaka leo bado unakushinda kukutoka, umeuruhusu kukuingia mpaka kwenye ubongo,
- unasema ulimzoea Marehemu Ippy, which is a big lie na a pure nonsense, Ippy amefariki akiwa na umri wa miaka 28, wewe leo una miaka 61 sasa tizama tofauti ya umri wako na kijana mdogo unayedai ulimzoea, ulimzoea wapi? Wewe umezaliwa Bukoba yeye hajazaliwa, wakati anazaliwa wewe uko Russia, tena mtuzima sana,
- Wakati anafariki wewe uko US, sasa ulimzowea wapi ndio maana huwa ninasema ndugu yangu unasumbuliwa na online syndrome, unakaa sana humu na Ma-ID mengi mno, hivi unapata faida gani mkuu? Kuandika kila thread na kujijibu exactly unachopata ni nini? Ndio maana unafika mahali unandika sana pumba, huku ukiongozwa na chuki na wivu mimi nilifikiri baada ya ile aibu iliyokukuta kwenye ile party ya wananchi nyumbani kwa balozi mpaka ukalikimbia lile jina lako maarufu la Dilunga/Kuhani, kwamba sasa umejifunza kumbe bado ni yale yale,
- Kama ni ufisadi Mboma aliyemuoa Mama yako mdogo na aliyekulea maisha yako yote ndiye fisadi na wewe ni mshiriki mkubwa sana wa hela zake za ufisadi, kuanzia Meremeta mpaka Kiwira, na mpaka mtoto wake amemsomesha akiwa nyumbani kwako na hela hizi hizi za ufisadi, it is about time sasa ukanyamaza na ishus za ufisadi kwa sababu zinaanzia nyumbani kwenu mkuu! unless unataka kututajia mafisadi wote mlioshir!kiana nao!
- Mkulu William ni ngoma kubwa humuwezi, kuanzia int he real life mpaka humu mitandaoni, umekuja majuu na minguo yako ya purple kama Kanda-bongoman, tunakuona unaanza na kazi ya kulea wazee na matahira tunakuona, sasa all over sudden eti na wewe mjanja wa kutukana watu humu acha kaka, bado una kamba mguuni bado hujalijua vizuri jiji, Ippy hukumzoea wala humjui ila umemsikia tu humu JF, maana umri wako ni mkubwa mno kumzoea au kuwa rafiki yako just out! Bwa! ha! ha!
- Haya huwa hatupendi ila huwa unayataka mwenyewe!
Respect.
FMEs!