Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Ah,

Hivi bado upo? umemaliza?

Rule number 5; Try to calm down and make friendship even if it is hard to do so

Hii post yako ya sasa hivi haiko harsh; are you changing?

Lets see at the end you gonna be my friend for sure

wait and see
 
I cant wait for the 2010 election. cha ajabu tutawachagua tena hao hao wanaotakiwa kwenda kupimwa MILEMBE. sisi bwana! ha haaaaaaaaaaa
 
- Tunatakiwa kufikishana kwenye sheria sio mambo ya ukweli wa kichaa, waziri ana ushahidi anatakiwa kuwahi kwenye sheria sio ya kumbiana ukweli, ukweli gani atakuwa nao Sophia? Mwanamke asiyekwua na heshima na kuishia kupora waume wa wenziwe ndiye atakuwa na ukweli?

- Hebu nenda kule Canada ukaone mtoto wake anavyoteseka, huku mama akiruka ruka na wazee wenye umri wa babu zake, vipi mkuu mbona unajaribu kurukia usiyoyajua? Unafikiri aliyemuita mgonjwa hamjui, hebu mkuu kuwa mkweli umri wa Sophia na wa Kitwana kondo ambaye ni mume wa rafiki yake Sophia hivi kweli unaweza kuwalinganisha kwa umri?

- Rais wetu anawezaje kumfanya huyu Sophia waziri katika ofisi yake ni maajabu ya Musa! Mkuu hebu yatafute kwanza uyajue vizuri au subiri hapa upewe darasa, lakini Sophia hana ukweli hata siku moja na haujuwi ndio maana anatetea Lowassa ambaye hasafishiki! ukiona kiongozi yoyote wa taifa anajaribu kumsafisha Lowassa ujue ni kichaa!

- Sophia anatakiwa kujibu swali moja tu hapa nalo ni kwa nini kama anajua kuwa Jeetu ni fisadi hajamfikisha kwenye sheria? Je ina maana na Rais kumbe anajua? and then ndio atoe ushahidi wa hela za Patel na harusi na kampeni. This is very interesting ishu mkuu badala ya kulilia interest zako, harusi ilikuwa ni hela za michango, na ile harusi haikuwa na anything cha ajabu, kanisa lilikuwa bure, magari ya serikali na chama, kanisani mpaka kwenye reception ni dakika tano wengi walitembea, ukumbi wa serikali kwa hiyo ulikuwa bure, I mean ni hela ngapi zilizotumika na ile harusi mpaka Sophia kuililia as if zinafikia za Richimonduli?

- Halafu Sophia awe mkweli Lowassa na Rostam walimpa hela ngapi kumshinda Mama Kahama na UWT? Ninasema hii ngoma sasa ni tamu kwa sababu inamrudia Rais, hapa panahitajika hela za wote walioshiriki urais kusemwa wazi wazipata wapi? Halafu Rais anatakiwa kujitokeza kumtetea waziri wake kwamba ni mzima isipokuwa ni the Malecelas ndio wenye problems na ufisadi, can he? Ndio maana ninasema sasa hii ngoma inogile na Sophia ametusaidia taifa zima hapa, watch this thing carefully mkuu, badala ya kurusha rusha maneno bila kufikiri kwanza! Leo serikali nzima ilikuwa huzuni, maana kila mmoja anajua kuwa Sophia ameharibu kwa kusema bila ukweli wala kufikiri matokeo, hata mafisadi wenziwe wote toka jana wanamtukana huko private kwamba hapa ameharibu, mkuu vuta popcorn hii ngoma ndio kwanza imeanza!

Respect.

FMEs!
FMES heshma yako kaka
me nachokiona kwa sasa kwa wale wanachama wachanga wa CCM nikukaa kimya. Maana hapa sasa ni kama baba na mama wanagombana, la hawajaanza kupigana, so mtoto nabd ukae kmya.
Nachotaka kusema n kwamba CCM sasa nakera, naudhi na imetuchosha kwa kweli. Embu niambe toka Richmond kuna ktu gani cha maaana saanaa kmefanyka TZ?. Je kwa sasa kuna kitu gan au mrad gani au program gan ya maendeleo unaoendelea mkubwa TZ?. Kla siku habari ni zilezile watu walewale. Ni kama serkal imesmama hamna kinachofanyka nchini.

CCM MNAKERA SANAA
Ingekua nchi nyngine jesh lingechukua nch sasa hiv.
 
Rule number 5; Try to calm down and make friendship even if it is hard to do so

Hii post yako ya sasa hivi haiko harsh; are you changing?

Lets see at the end you gonna be my friend for sure

wait and see

kwi kwi inabidi na mimi ni make friendship again na Solomon David... Sasa Solomon David utaniomba msamahaa au utaniita mimi pia kichaa niende milembe.. lol

Dah i cant stop laughing... watu CCM inavituko sana.. sikujua na JM naye yumo lol
 
FMES heshma yako kaka
me nachokiona kwa sasa kwa wale wanachama wachanga wa CCM nikukaa kimya. Maana hapa sasa ni kama baba na mama wanagombana, la hawajaanza kupigana, so mtoto nabd ukae kmya.
Nachotaka kusema n kwamba CCM sasa nakera, naudhi na imetuchosha kwa kweli. Embu niambe toka Richmond kuna ktu gani cha maaana saanaa kmefanyka TZ?. Je kwa sasa kuna kitu gan au mrad gani au program gan ya maendeleo unaoendelea mkubwa TZ?. Kla siku habari ni zilezile watu walewale. Ni kama serkal imesmama hamna kinachofanyka nchini.

CCM MNAKERA SANAA
Ingekua nchi nyngine jesh lingechukua nch sasa hiv.

Semenya, hawa ndugu inabidi wajipange upya, yaani ikiwezekana safu yote ya pale juu ingepumzika kwanza maana hawajui kabisa wanachotakiwa kukifanya. Ni kweli nchi imesimama kabisaaaaaaaaa, na kwa vile hawana cha kufanya wamebaki kuchimbana chimbana tu. Ukweli wana-bore sana, kiasi kwamba sometimes mtu hutamani hata nchi yako
 
Mkuu FMES,
Mimi sioni haja ya kumtusi mama Simba,katoka madai hayo katika kamati iliyoteuliwa na chama kwa taratibu za chama chao,kama sikosei,kwa hiyo alikuwa katika forum sahihi ya kutoa madai hayo kama walivyofanya wenzake na bila shaka mama Kilango nayeye kapewa fursa na kamati ya Mzee Mwinyi kueleza hisia zake,kapewa haki ya kujibu tuhuma zidi yake.

- Junius sio kwamba hujui ukweli ila this is what you live for, ndio maana unapoleta matusi unajibiwa yale yale matusi, ninachosema na ninarudia ni hivi Sophia hajui ukweli, ndio maana hawezi kulisaidia hili taifa na ukweli angekwua anajua ukweli basi Jeetu na Malecela na Mkewe angeshawapeleka Segerea, yeye ni waziri wa Takukuru anaporusha tuhuma kama zlizorusha majuzi zinakuwa na uzito tofauti na wengine, sasa wewe unasema CCM hatujui kukubali ukweli, ninakwambia hili taifa tumefika mahali tunatka sheria sio ukweli wa kamati za foolishness, ukweli wa bina-adama unaanzia kwenye maisha yake ya kila siku, Waziri wa wizara nyeti kama ya Sophia, anapopora waume wa wenziwe ni sababu muhimu sana na kubwa ya kujiuzulu kwa sababu anakuwa hana moral authority ya kulisaidia taifa na ukweli,

- Sasa ni kipi usiochokielewa hapo?
 
Sasa hapa sheria gani inahusika na madai katika mambo ya Chama tawala?
Na suala la maisha binafsi ya Mama simba ambayo hayahusiani na issue za kamati teule zinakujaje...au tuseme mama simba naye hajuwi "machafu binafsi" ya mama Kilango, nikiamini kuwa naye hakuwa msafi hivyo kabla ya kukutana na Mzee Malecela(binafsi namuheshimu huyu Mzee),lakini hayo hayawezi kuhusishwa na matatizo ya chama ambayo kamati ya Mzee Mwinyi imepewa kazi kuyashughulikia...uchafu wa mama simba na matatizo ya familia yake si issue katika madhumuni ya kazi za kamati ya Mzee Mwinyi

- Hizi ndio ninaita blah! blah! hivi maisha binafsi ya Clinton yalihusu nini taifa la USA mpaka kumu-impeach? Kama mbunge Kilango aalikuwa na maisha machafu basi ni pamoja na kuchukua hela za Jeetu na Sophia ndiye ameanza, vipi na wewe una matatizo ya ukweli nini ndugu yangu? Unaporusha jiwe kwenye kioo na wewe lazima uwe nje ya kioo au?

- Sophia ana haki zote za kumalizia alipoachia, lakini maisha yake binafsi kama waziri wa Takukuru ni fair game kama alivyojadili wenziwe, au? pole sana ndugu yangu najua kwamba una yako ya binafsi lakini hapa ni hoja tu, Sophia ameanza sasa ni zamu yake kupokea na huu ni mwanzo tu!
 
- Junius sio kwamba hujui ukweli ila this is what you live for, ndio maana unapoleta matusi unajibiwa yale yale matusi, ninachosema na ninarudia ni hivi Sophia hajui ukweli, ndio maana hawezi kulisaidia hili taifa na ukweli angekwua anajua ukweli basi Jeetu na Malecela na Mkewe angeshawapeleka Segerea, yeye ni waziri wa Takukuru anaporusha tuhuma kama zlizorusha majuzi zinakuwa na uzito tofauti na wengine, sasa wewe unasema CCM hatujui kukubali ukweli, ninakwambia hili taifa tumefika mahali tunatka sheria sio ukweli wa kamati za foolishness, ukweli wa bina-adama unaanzia kwenye maisha yake ya kila siku, Waziri wa wizara nyeti kama ya Sophia, anapopora waume wa wenziwe ni sababu muhimu sana na kubwa ya kujiuzulu kwa sababu anakuwa hana moral authority ya kulisaidia taifa na ukweli,

- Sasa ni kipi usiochokielewa hapo?

Mkuu ina maana wale wote wanaoujua ukwekli wanatakiwa kuwapeleka watu kwenye vyombo vya sheria?

FMES nilifikiri sentensi hii ya huyu mama ingekufungua macgho na kuangalia ukweli kuwa nyie CCM ni mafisadi

Kung'an'gania kwako na kuchukua side ya akina malecela inaleta question mark

Kuwa je sentensi ya Simba hata wewe imekugusa?, maana kuna tuhuma za wewe kuwa miongoni mwao!

Acha ubishi, wala usimpe MZIGO MZITO WA SOFIA SIMBA KUWASHTAKI MAFISADI WAKATI HATA JK AMESHINDWA EBO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kukumbatia fedha na power kunaweza kumfanya mtu a ongee, afanye maamuzi na atende kama mgonjwa wa akili, zaidi ya Sophia kuna wengine wengi tu ambao kauli zao maamuzi yao na vitendo vyao vina tufanya tu tilie shaka afya za akili zao: mfano

Kauli ya Rostam ya kutaka iundwe tume ya kuchunguza ukweli wa matokeo ya tume ya Mwakyembe ni kauli inayoshabihiana na kauli ya mgonjwa wa akili

Mikataba ya madini, Richmond, IPTL etc inaonekana kama imesainiwa na wagonjwa wa akili.

…the list goes on
kwa ujumla ukillinganisha utajiri uliopo tz na umasikini wa wananchi wake, kwa ujumla unaweza kutoa conclusion kwamba viongozi wengi wenye mamlaka ya kutoa maamuzi makubwa nchini wana matatizo ya akili
 
,ila kwa CCM malumbano kati ya wabunge wanaojinadi kuwa ni wapiganani wa ufisadi na wale wanaotuhumiwa yanaonekana kuleta mpasuko katika chama na wanaopiga kelele zinazoonekana kukichafua chama na wao wenyewe si wasafi kiasi hicho ya kukichafua chama,kama wanavyodai wenyewe, ndo hapo hoja ya mama Simba ilipoanzia na mama simba hakumgusa Kilango tu hata Mengi kasemwa na Mwakyembe n.k
Rais kumchagua mama simba kuwa waziri hakufanya kwa ubinafsi...uteuzi wa baraza la mawaziri unahusisha kada nyingi za ushauri kwa rais ambaye anakuwa ni mwamuzi wa mwisho...ni kazi yao wenyewe CCM kama hawajuwi kuchanganuana.

- Ulianza vizuri sasa umerudi tena kwenye rangi zako, Sophia amegombea ubunge viti maalum akashindwa, akajaribu kina mama akashindwa, akajaribu viajana akatupwa, unasema rais alimchagua kwa sababu ya ushauri uliompa wewe au?


Mama simba hakusema kuwa anajuwa kuwa Jeetu Petel ni fisadi alichodai kuwa Kilango hana usafi huo kuwanyooshea wenzake vidole kwa ufisadi kwa kuwa nayye anarekodi za kufadhiliwa na hao hao watuhumiwa wa ufisadi(Jeetu Patel), na wala hii haikuwa na maana ya kumsafisha Lowassa,ukizingatia kuwa hayo yalisemwa katika kamati ya Mzee Mwinyi kwa nia ya kutafuta chanzo cha mpasuko ndani ya Chama.
Lakini zaidi sisi watu wa nje huku tunachokiona ni mvurugano ambao CCM wenyewe wanajuwa undani wake na wananchi wanakorogwa vichwa tu.

- Junius unaonekana hujasoma maelezo yote yalitolewa na Sophia, nenda uyatafute ndio uje tena mkuu, Sophia amesema Jeetu ni fisadi kwa sababu hawezi kumwita Fisadi mtuhumiwa wakati hajahukumiwa mbona unachekesha kama Sophia sasa?

- umerusha matusi wee sasa eti ndio unajidai una sense vipi mkuu mimi nilifikiri haya ya kuwafanya wengine wajinga uliacha kumbe bado tu? Unalia nini mkuu kumbe unamjua vizuri Sophia, huyu kibaka changudoa anaweza kujua ukweli? anasafiri na mume wa mwenziwe tena rafiki yake mpenzi kwa siri mpaka US halafu unasema huyu anaweza kusimamia sheria za taifa?

- Ameyaanza mwenyewe, sasa ukweli wote ni lazima uwekwe wazi mkuu, tunajua tayari kwamba anatafuta njia kwa pembeni kuomba msamaha lakini tunasema hivi aombe kwenye public na tumewaomba wote wanaohusika kwamba aombe radhi kwenye public au arudi kule kule kwenye kikao cha Mwinyi, Junisu what she did is big naona huelewi the big picture mkuu!

- Unasema uchangudoa kama wa Sophia sio ufisadi?

Respect.


FMEs!
 
kamati ya mwinyi imeongeza makundi badala ya kupunguza.....loosers hapa ni sisi wadanganyika ...miaka mitano mizima tunaimaliza kwa kulumbana....
 
Mkuu ina maana wale wote wanaoujua ukwekli wanatakiwa kuwapeleka watu kwenye vyombo vya sheria?

- Unapokuwa waziri wa Takukuru yes ni lazima uende kwenye sheria, otherwise unakuwa kichaaa!

FMES nilifikiri sentensi hii ya huyu mama ingekufungua macgho na kuangalia ukweli kuwa nyie CCM ni mafisadi Kung'an'gania kwako na kuchukua side ya akina malecela inaleta question mark

- Sophia ninamfahamu wewe unamsikia, ndio tofauti yetu sijachukua side ila ninasimamia ukweli ninaoujua, hizo question mark zako huwa hazinipi shida maana unafahamika matatizo yako ni nini, mimi sio fisadi hilo nimekupa nafasi mara nyingi sana ulithibitishe umeshindwa, na wewe kulikoni kuchukua side ya Sophia? Huyu mama ni changudoa tu na sio anything na nitaendelea kumfunua hapa maana ameyataka mwenyewe kulilia ukweli asiojua kuutejkeleza binafsi!

Kuwa je sentensi ya Simba hata wewe imekugusa?, maana kuna tuhuma za wewe kuwa miongoni mwao!

- Mimi na wewe aliyeguswa hasa na haya mambo ni nani hasa mbona unahangaika sana, mimi kawaida yangu ni ile ile fimbo tu kama wewe na ndugu yako Sophia mnajua ufisadi wangu uweke hapa ila mimi ninaweka wenu wewe unahusika na Meremeta na Kiwira, Sophia ni simply changudoa!

Acha ubishi, wala usimpe MZIGO MZITO WA SOFIA SIMBA KUWASHTAKI MAFISADI WAKATI HATA JK AMESHINDWA EBO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

- Hizi ndio rangi zako za kweli, na ni nothing but nonesense, Sophia kama ana ushahidi atangulie kwenye sheria, eti ninahitaji ushahidi wa uchangudoa wake? Bwa! ha! I mean the woman is garbage ndio maana hapa amepewa mtihani mzito yeye na bosi wake, kwamba ana kichaaa sasa Rais ajitokeze kumtetea waziri wake wa ofisi yake na Sophia ajitokeze kujibu kwamba yeye si kichaa unafiki mzee kama Malecela anaweza kukurupuka na kukuita kichaa bila sababu, subiri ndugu yangu huu mchezo ndio kwanza umeanza hujui lolote usirukie treni kwa mbele bro!

- Au unabisha kwamba huyu mama sio changudoa nimfunue zaidi? Ebo!

Respect.


FMEs!
 
...ninakwambia hili taifa tumefika mahali tunatka sheria sio ukweli wa kamati za foolishness, .... Sophia, anapopora waume wa wenziwe ni sababu muhimu sana na kubwa ya kujiuzulu
Mkuu,hapa unanambia kuwa CCM ni wapumbavu...au?
Kwasababu kamati hii ni ya chama,kutoka kikao na maazimio halali ya chama...narejea tena maisha binafsi ya Mama Simba,ambayo hayahusu hoja yoyote katika kamati ya Mwinyi...ni kelele za kiuwenda wazimu na kuchachawa...habari za kuiba waume za watu na kamati ya Mwinyi ni wapi na wapi(irrelevant)! Mama Simba,kasema issue zinazohusiana maisha binafsi ya Kilango na Malecela, relevant to the issue on the table...na kaeleweka.
...Sophia ameanza sasa ni zamu yake kupokea na huu ni mwanzo tu!
Mkuu,vita havina mshindi,ukizingatia kuwa hakuna mwenye immunity ya mashambulizi ya kivita...na vita ni propaganda na yenyewe ni uwongo...Mama Sophia ameanza na ww unasema ni zamu yke kupokea,unahakika kuwa keshamaliza? si yeye tu ajitayarishe kupokea na Kilango...ana madhambi yake binfsi kuliko ya Sophia na yanajuulikana kuliko anavyoyajuwa yeye au wewe...yakianza kufika huko Mkuu patakuwa hapakaliki...vita utakuwa chungu hii...Neville Chambaline,aliyekuwa PM wa Uingereza wakati vita kuu ya pili ya dunia inataka kuanza,alimwambia Hitler kuwa, "usianzishe vita, vita havina mshindi...sote tutapata vilema na vifo.."
...Sophia amegombea ubunge viti maalum akashindwa, akajaribu kina mama akashindwa, akajaribu viajana akatupwa, unasema rais alimchagua kwa sababu ya ushauri uliompa wewe au?
...Unalia nini mkuu kumbe unamjua vizuri Sophia, huyu kibaka changudoa anaweza kujua ukweli?
- Ameyaanza mwenyewe, sasa ukweli wote ni lazima uwekwe wazi mkuu...
- Unasema uchangudoa kama wa Sophia sio ufisadi?
With due respect,Talk some sense plz,ww hutakubali Mzazi wako aitwe changudoa...(provided kama na yeye mambo yake yanajuulikana vilevile,japo ww inawezekana ikawa huyajuwi) hasa katka forum kama hii,haya ni matusi na ukosefu wa heshima kwa mtu anayeweza kuwa mzazi wako kabisa.
Kugombea si issue, hata kuna watu wamegombea kiti cha urais wametupwa nje, au hapa unataka kuthibitisha madai ya mama simba kuwa,kelele za Kilango ni nongwa za kuukosa u-first lady na mumewe kukosa urais, usiwe kama Amos Makala...badala ya kupima nini Mzee Warioba anaongea,yeye anaibuka na hoja za kugombea. Mkuu,usikatae kuwa rais asingeweza kumteuwa mama Simba bila ya PM na VP...kushauri lolote katika uteuzi wake...ndo ninapo shangaa madai yako ya busara ya JK kumteuwa mtu eti unadai ni mgojwa wa akili.
 
Mkuu,hapa unanambi kuwa CCM ni wapumbavu...au?
Kwasababu kamati hii ni ya chama,kutoka kikao na maazimio halali ya chama...narejea tena maisha binafsi ya Mama Simba,ambayo hayahusu hoja yoyote katika kamati ya Mwinyi...ni kelele za kiuwenda wazimu na kuchachawa...habari za kuiba waume za watu na kamati ya Mwinyi ni wapi na wapi(irrelevant)!

- Tatizo ni kwamba wewe siku zote una tatizo na mimi na this time nataka kulimaliza mkuu yaani I am willing kwenda na wewe mpaka kusikofikika na ikibidi nitamfunua mpaka mkeo mbuzi wewe, ninasema hivi Sophia ni changadoa ninajua kwamba ni dini yako ndio maana unalia sana lakini ameanza mwenyewe, mwendawazimu ni wewe na huyu Sophia wako,

- Asingekua basi angekwenda kwenye kamati kwanza kuonyesha ufisadi wa Jeetu kwa ushahidi na mzee na mkewe ili wakamatwe mara moja, otherwise, ninasema ni changudoa, na mw9izi wa waume za watu ameanza na Kitwana kondo mpaka kuzaa naye yule mtoto aliyeko Canada, now briing it on kama you have a problem!


Field Marshall Es!
 
Mkuu,vita havina mshindi,ukizingatia kuwa hakuna mwenye immunity ya mashambulizi ya kivita...na vita ni propaganda na yenyewe ni uwongo...Mama Sophia ameanza na ww unasema ni zamu yke kupokea,unahakika kuwa keshamaliza? si yeye tu ajitayarishe kupokea na Kilango...ana madhambi yake binfsi kuliko ya Sophia na yanajuulikana kuliko anavyoyajuwa yeye au wewe...yakianza kufika huko Mkuu patakuwa hapakaliki...vita utakuwa chungu hii...Neville Chambaline,aliyekuwa PM wa Uingereza wakati vita kuu ya pili ya dunia inataka kuanza,alimwambia Hitler kuwa, "usianzishe vita, vita havina mshindi...sote tutapata vilema na vifo.."

With due respect,Talk some sense plz,ww hutakubali Mzazi wako aitwe changudoa...(provided kama na yeye mambo yake yanajuulikana vilevile,japo ww inawezekana ikawa huyajuwi) hasa katka forum kama hii,haya ni matusi na ukosefu wa heshima kwa mtu anayeweza kuwa mzazi wako kabisa.
[/QUOTE]

- Kama mzazi wako ni changudoa hakuna jina lingine la kumuita, unafikiri Malecela na Mama kilango hawana wototo? wewe unayeyajua yaweke hapa nikupe majibu, unafikiri ninatishika na huo usilamu wako hapa, weka mkuu tuvine nipo hapa!

- Sophia simba ni mpumbavu na inasikitisha kuwa na waziri mpubavu asiye na maadili binafsi wala ya uongozi, waziri wa Takukuru hatakiwi kuongea kama changudoa yaani bila ushahidi, alipokwenda kwenye kamati alitakiwa kuonyesha ushahidi kwa sababu pale ameiweka ofisi ya Rais on Rushwa kwenye line, na pia amemuweka Rais on the line na taifa zima, sasa unasema huyu changudoa kumuita what she is ni makosa? Alipoita wengine mafisadi bila ushahidi hukuona shida ila kwa sababu ni dini yako basi akiitwa what she is basi una tatizo, sasa bring it on ninasema hivi Sophia ni changudoa! tabia za kwenda kuzaa na waume wa marafiki zako kwa siri ni nini maana yake?

- Hii njia ameichagua mwenyewe Sophia hii ni Jf tu mkuu bado sasa magazetini, sasa usilie na hiyo dini yako hana anakudanganya huyu ni Musilamu mkatoliki, kila siku kujifanya kanisani what a joker!

- I understand kwamba na hivi vitisho vyako unaujua uchafu wa binafsi wa Mama Kilango, sasa uweke hapa unajua watuwazima hatutishiani nyau na mimi ninaendelea na wa Sophia, pole pole kwa nafasi yangu!

Respect.


FMEs!
 
I got no time to DOUBLE CHECK my spelling on what i write in forums.. kama you cant understand what i writethen all i can say dont read.. why are you even bother to read? i am more than suprise why you are very touched by me writing my comments in english rather than content of it!!! are you one of ..........!! i really cant get you mate!!! i got no crue what is your big problem with this!!! you better find a way to take your stress out and not picking up on grammar/spelling mistakes on public forums.. dah kwii kwiiii and why should i waste all my time that could be very productive on other things to summarise some silly Stuffs for you? na mbaya zaidi eti ni mawaziri gani mengi amengombana nao.. maybe someone here will be happy to do that but mate sorry not me.. you can always help a man how to breath but you cant breath for him ( if u cant understand this as well then find dictionary)... by the way i dont give a dum about mengi or Simba? they are all ****** wanaotry all they could to stay and gain power while degrading lives of so many vulnerable people. There are so many problems in tanzania need to be adressed. Its i feel so sad kwamba mpaka leo hii 2009 kuna watu kama nyie Tanzania ambao wanafikiria kama mtu akitoa msaada kwa Political party then inabidi hawaambie uongozi what to do!!! shame on you... and of course ur Mengi and RA.. NA NINASEMA TENA MENGI NI SAWA TU NA RA. TOFAUTI NI KWAMBA MENGI UOVU WAKE UJAANIKWA WAZI WAZI, LAKINI ZA MWIZI NI ARUBAINI SO LETS WAIT AND SEE.. HE CANT FOOL PEOPLE FOREVER..well he did fool me once untill today after his PC...SD keep dreaming mengi is your little hero... kwi kwii.. P.S i am off this conversation..

Hi mister, this is stupidity at its best,If you cant write right then try thinking about it before writing.
You might as well walk naked for all we care but please write some sense!!
 
- Tatizo ni kwamba wewe siku zote una tatizo na mimi na this time nataka kulimaliza mkuu yaani I am willing kwenda na wewe mpaka kusikofikika na ikibidi nitamfunua mpaka mkeo mbuzi wewe, ninasema hivi Sophia ni changadoa ninajua kwamba ni dini yako ndio maana unalia sana lakini ameanza mwenyewe, mwendawazimu ni wewe na huyu Sophia wako
UKWELI UNAUMA...MEZEA TU MKUU...najuwa hamuwezi kukataa kuwa Kilango na Malecela,wamekula hela za mafisadi...kwa kuwa mmeshindwa hoja sasa MNAANGUSHA MATUSI...haya mwendawazimu,changudoa(sophia), mimi mbuzi...endelea tu Mkuu lakini mwiba ndo ushaingia na watanzania weshajuwa unafiki wa hao the so called "majemedari wa vita vya ufisadi" kuwa na wao hamna kitu,ni mafisadi tu.I dont give damn about religious hulla balloo
 
UKWELI UNAUMA...MEZEA TU MKUU...najuwa hamuwezi kukataa kuwa Kilango na Malecela,wamekula hela za mafisadi...kwa kuwa mmeshindwa hoja sasa MNAANGUSHA MATUSI...haya mwendawazimu,changudoa(sophia), mimi mbuzi...endelea tu Mkuu lakini mwiba ndo ushaingia na watanzania weshajuwa unafiki wa hao the so called "majemedari wa vita vya ufisadi" kuwa na wao hamna kitu,ni mafisadi tu.
- Haya wala sio tatizo fisadi Mboma ushahidi upo wazi, na wewe mwenyewe umemsomeshea mtoto wake na hela za Meremeta na Kiwira kama uongo kataa hapa!, no wonder inapendeza wengi wakishambuliwa ufisadi maana ili muwe wengi, Bwa! ha1 ha! lakini acha vitisho mkuu,

- mimi sio fisadi na kama unaujua uweke hapa ufisadi wangu, Malecela na Mama kilango, wanaweza kujibu wenyewe na mmoja amenza kwa kumuita waziri wa ofisi ya Rais ana kichaa, that is wasup mkuu, sasa either ajibu Sophia au bosi wake, patamu sana hapo na tunasubiri! Bwa! ha! ha! ha!

- Anyways, ninawahi kuangalia mpira mkuu ukinihitaji labda kesho!

Respect and CIAO!.


FMEs!
 
Back
Top Bottom