Snitch ndiye mtu hatari zaidišŸ™Œ

Snitch ndiye mtu hatari zaidišŸ™Œ

Mimi sinywi na yeye hanywi kbs, mwishoni alianza kuvaa hijab. Kwa hiyo tutakuwa wakavu km samaki wa kukaushwa na moto.Tunakula nyama na Pepsi huku tunakataana. Atajuta hataamini km sikamkaribisha home.
Wakavu kama samaki wa kukaushwa
Una mpango gani na mbavu zangu 🤣🤣
 
Bado mnaendekeza ushost na wanawake tu? Hamkomi

Mi wanawake wenzangu nishawakatia laini zamani Sana,wivu roho mbaya, husda, uchawi...wanini mimi aku!

Wanaume wako poa sana,hata michongo ya hela asee ndo wananivuta na kunipa ramani
Shida ya wanaume ni papuchi lazima aombe umnyime akukunjie, au umpe biashara ziishie kitandani, dunia uwanja wa fujo
 
Binadamu anabqdilika muda wowote usiweke matarajio au imani kubwa sana, mi mwenyewe saiv nimebadilika baada ya maswahibu mengi nimejifunza kuwa snitch tu, nikipata nafasi ya kuharibu naharibu huku nakuchekea,
 
Nashukuru Mungu unafiki huwa siuwezi kama sikukubali utajua tu, kwetu huwa wananisema sana juu ya kupuuza huwa silembi! Sijui kumnafikia mtu ukizingua nakuchana!
yan mm nilikuaga kimbelembele sana kumwamini mtu wa karibu, baada ya kupigwa matukio kadhaa nikajifunza kutake risk kama anayebetia liverpool saiv😄, yan mtu mnafk %kubwa nd wenye wivu, waongo, wachoyo.......... !
 
yan mm nilikuaga kimbelembele sana kumwamini mtu wa karibu, baada ya kupigwa matukio kadhaa nikajifunza kutake risk kama anayebetia liverpool saiv😄, yan mtu mnafk %kubwa nd wenye wivu, waongo, wachoyo.......... !
Hawana tofauti sana na mchawi
 
Wahenga wanasema ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki usiyemjua
Hivi umewahi kuishi na snitch na unajua kabisa ana kunafikia?

Then ukawa una mchora tu na unafiki wake anavyojimaliza?

Mara zote mnafiki ni mtu wako wa karibu sana, pengine unayemuamini zaidi na ku mkubari sana

Mtu hawezi kukufanyia unafiki kama hakujui vizuri, never
Wanaotuuza ni wale wanaotujua nje ndani, wanajua makazi yetu wanajua mishe zetu, wanajua siri zetu, time ya kutoka na time ya kurudi

Kisa changu, nilikuwa na rafiki yangu hivi mzurii wa muonekano
Yule rafiki yangu ukitoka naye out ukasifiwa wewe, alikua anaumia mno yaani unamuona kabisa uso unabadilika

Ukifanya vizuri anakusifia, ila maneno na uso havina ushirikiano
unaona kabisa ananyongea
Mimi nilimpenda mno na kumsifia, ila siku ikitokea akahisi nimependeza kuliko yeye alikua anachukia

Kipindi hicho alikua jobless, nikasema hapana ngoja nimvute niwe naye sehemu ninapofanyia kibarua
Aisee nilijuta šŸ™ŒšŸ™Œ kwa sababu alinijua nje ndani basi alinifanyia figisu kazini, karibu nianguke na pressure

Wewe binti popote ulipo nimekusamehe ila nimejifunza

Na ajabu sasa niliona dalili zake za wivu mapema japo zilikuwa ndogo nikawa nazipuuza najidai mtakatifu na mama huruma

Kilichonikuta ni fundisho

Issue ni kwamba bado sikomi, kuna muda najikuta tena naamini mtu haraka pamoja na kwamba nilishawahi kuumizwa( sijui kwanini)

Je wewe umewahi kuishi na mnafiki huku anajua hakupendi/hakufurahii/hakukubali?
Ulifanyaje mwisho ilikuwaje?

Ni namna gani ya kum escape snitch unaemjua kabra hajakusabahishia madhara?

ShesRise_1 šŸ‘‹
You have a good heart, but you're trading that to vampires. Pole sana, angalia mtu sahihi, anaye kichallenge na asiye kupaka mafuta. People are users
 
Back
Top Bottom