ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,283
- 40,934
- Thread starter
- #121
Selfi iiiiiii iiii 🔥nilishaumizwa mpk nikauchukia ujana tupa stress, weka pozi selfi iiiii iiiiii
Selfi iiiiiii iiii 🔥nilishaumizwa mpk nikauchukia ujana tupa stress, weka pozi selfi iiiii iiiiii
Hata hujakosea kuombwa K lazima🤣🤣🤣Shida ya wanaume ni papuchi lazima aombe umnyime akukunjie, au umpe biashara ziishie kitandani, dunia uwanja wa fujo
Tatizo sio hatupendi ushost...kuna mtu hapendi marafiki jamani? Jibu ni hakuna....tatizo la wadadaz, ukiwa best yake lazima akuchunguze, akuzoee, ajue weakness yako..basi hapo anatafuta njia ya kukuangamiza! Na usiombe aone vitu unamzidi, Kwisha habari yako!Kitu siwezagi ni ushoga sijui bff
Watu wengi washajisogeza tuwe mashosti ila nakaza
Sasa hivi jirani yangu kachoka alikua kutwa anakuja kwangu ananiambia siri zake ila mimi nakaza ushosti na mtu sitakii
twende hapo,, twende hapo kila uzi humu nin wmbo wake yaaniSelfi iiiiiii iiii 🔥
Umemaliza! Alianza maswali ya kijinga umezaliwa mwaka gani nikamtajia, umefika chuo? NikamjibuTatizo sio hatupendi ushost...kuna mtu hapendi marafiki jamani? Jibu ni hakuna....tatizo la wadadaz, ukiwa best yake lazima akuchunguze, akuzoee, ajue weakness yako..basi hapo anatafuta njia ya kukuangamiza! Na usiombe aone vitu unamzidi, Kwisha habari yako!
We noma nimekumbuka zile taarabu 😅twende hapo,, twende hapo kila uzi humu nin wmbo wake yaani
Hebu andika tena nisomeTatizo sio hatupendi ushost...kuna mtu hapendi marafiki jamani? Jibu ni hakuna....tatizo la wadadaz, ukiwa best yake lazima akuchunguze, akuzoee, ajue weakness yako..basi hapo anatafuta njia ya kukuangamiza! Na usiombe aone vitu unamzidi, Kwisha habari yako!
hahahahaha ukitaka kupigana njoo,, njoo sasa nikuonyeshe shooWe noma nimekumbuka zile taarabu 😅
Ulimuweza, alitaka akuzoee huyo, akienda huko kwa wenzie anajifanya anakujua vilivyo, badae kunatokea maugomvi yasiyoisha, ndo na kuloga kunaanzia hapo!....Aaah wanawake shikamoo🙌🙌Umemaliza! Alianza maswali ya kijinga umezaliwa mwaka gani nikamtajia, umefika chuo? Nikamjibu
Huyu mume wako mmefunga ndoa?
Mambo ya majirani wengine ananiletea hapo ndo nikamtilia alama ya X! Kama ya wengine ananiletea, yangu je?
Dah wewe nomahahahahaha ukitaka kupigana njoo,, njoo sasa nikuonyeshe shoo
Hajui kua urafiki huwa unakuja automatically bila kuforceUlimuweza, alitaka akuzoee huyo, akienda huko kwa wenzie anajifanya anakujua vilivyo, badae kunatokea maugomvi yasiyoisha, ndo na kuloga kunaanzia hapo!....Aaah wanawake shikamoo🙌🙌
Nenda hivyo wala hakuna utakachopungukiwa mimi dada yako nimeishi hivyo na niko good sana, kwasababu nina roho ndogo kwahiyo mtu akinikosea naumia sana na haitoki akilini na nakuwa mbaya sana huwa najitahidi kutofanya urafiki wa pika pakua, wengi wananishangaa ila najiona kuwa salama zaidi kuliko wao,Kitu siwezagi ni ushoga sijui bff
Watu wengi washajisogeza tuwe mashosti ila nakaza
Sasa hivi jirani yangu kachoka alikua kutwa anakuja kwangu ananiambia siri zake ila mimi nakaza ushosti na mtu sitakii
Dactari hizi nyimbo naziona sana!!!!! Vp tuingie studio??hahahahaha ukitaka kupigana njoo,, njoo sasa nikuonyeshe shoo
Najua tu wewe sio snitch🤣🤣🤣humu kila mtu atakuja kusema yeye ni mwema na amekua akisnichiwa🤣🤣,,, ila asilimia kubwa tunayaishi hay maisha kila uchwao,,, anyway hata sijui nataka kusema nini
asante babu yanguShesRise_1 mjukuu pole sana kwa kukutana na watu wa aina hiyo
, labda uwe unakuwa na watu waliokuzidi uwezo kiuchumi
Ndio,ndio ,huenda usnitch usiwepo.
Sawa kaka umeeleweka 🙏ukiwa na ukaribu na snitch hali ya kuwa unamfaham kwamba huyu ni snitch akija kukuharibia mambo yako usimlaumu jilaumu mwenyewe..kwa yule ambaye hukumfaham kabla unatakiwa uache kabisa mazoea ya ukaribu...Kwa upande wangu nilivo mimi kabla ya kuwa mtu wangu wa karibu lazima nikufaham ndani na nje nasio jambo la siku au miezi, inategemea na mission, Lazima nikuchezee maigizo nafikiri nikisema maigizo unaelewa mfano , naweza nikajifanya na mimi ni snitch kabla ya kukonesha uhalisia wangu na tabia zangu...Hapo unahitaji kuwa na utimamu wa akili, utulivu wa hali ya juu na kutosahau mambo ya nyuma, kudhibiti hasira na mihemko na kumuacha awe huru zaidi kwako bila kuhofia chochote hzo ni baadhi ya mbinu..Hata ukifaulu siwezi kukuamini 100% yapo mambo hutoweza kuyajua kutoka kwangu.Hizo ndo baadhi ya mbinu za kupambana na masnitch..Nimechoka kubofya.
ndiyo dada mkubwaDactari hizi nyimbo naziona sana!!!!! Vp tuingie studio??
Upande wa chorus nipo hapa, usiache kuni sign kwenye kikundi chakondiyo dada mkubwa
nitakupangilia big sisUpande wa chorus nipo hapa, usiache kuni sign kwenye kikundi chako