Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Nishaumizwa sanahii si sawa kabisa😪
Nishaumizwa sanahii si sawa kabisa😪
Pole dearNishaumizwa sana
pole aisee , ila jitahidi sana anayekuumiza usifanye kama fimbo ya kumchapia mwingine asiye na hatia, ni kujifunza kujifunza tu kuishi na kila aina ya watu (mtu asikufanye ubadili tabia njema uliyonayo)Nishaumizwa sana
Au hata kujiumiza ww mwenyewe Kuna watu wameaumua kujidharau Kwa sababu ya kuumiza na watu. Mara nyingi Huwa ni maumivu ya ndani Kwa ndani so una project Kwa wenginepole aisee , ila jitahidi sana anayekuumiza usifanye kama fimbo ya kumchapia mwingine asiye na hatia, ni kujifunza kujifunza tu kuishi na kila aina ya watu (mtu asikufanye ubadili tabia njema uliyonayo)
Neno Maumivu ✍️Au hata kujiumiza ww mwenyewe Kuna watu wameaumua kujidharau Kwa sababu ya kuumiza na watu. Mara nyingi Huwa ni maumivu ya ndani Kwa ndani so una project Kwa wengine
hakika 💯Au hata kujiumiza ww mwenyewe Kuna watu wameaumua kujidharau Kwa sababu ya kuumiza na watu. Mara nyingi Huwa ni maumivu ya ndani Kwa ndani so una project Kwa wengine
Hakuna kipimo Cha maumivu.Neno Maumivu ✍️
Kuna watu wameumizwa mpka namba ya mwisho 🙌
Umechelewa kunishauripole aisee , ila jitahidi sana anayekuumiza usifanye kama fimbo ya kumchapia mwingine asiye na hatia, ni kujifunza kujifunza tu kuishi na kila aina ya watu (mtu asikufanye ubadili tabia njema uliyonayo)
bado unaweza chagua njia bora zaid👌Umechelewa kunishauri
Wewe kila siku lazima upinge mtu anachosema so amini uvyotakaHakuna kipimo Cha maumivu.
Are you among them?
Duuh kumbe nafuatiliwa, mbona sijakupinga? Nimetoa mtazamo tu.Wewe kila siku lazima upinge mtu anachosema so amini uvyotaka
Watu wameshaumia hakuna maumivu mapya tena 🤝
ufatiliwe kwa sababu zipiDuuh kumbe nafuatiliwa,
okmbona sijakupinga? Nimetoa mtazamo tu
Hakuna maumivu mapya yote ni marudio halafu mimi ni mtu naacha vitu viende vinavyotaka silazimishi mambo nilishakinai kitambo sana.
Nilidhani hivyo kipindi Fulani, ila Sasa naanza kuona maumivu haya kipimo, ni jinsi mtu unavyochukulia jambo. So just because you're hurt, usichukulie ndo mwisho wa dunia Kuna watu wamepitia magumu zaid yako na Bado wakaweza kutoka on the other side of pain
I was joking.ufatiliwe kwa sababu zipi
Hauwezi kusema tu kwamba ni marudio, maumivu hayakwepeki na kusema kwamba unakinai utakuwa unajiongopea mwenyewe. Issue ni kuyakubali maumivu na kuyaruhusu yakushape kuwa mtu Bora.Hakuna maumivu mapya yote ni marudio halafu mimi ni mtu naacha vitu viende vinavyotaka silazimishi mambo nilishakinai kitambo sana
😅I was joking.1
GudubaiiiiHauwezi kusema tu kwamba ni marudio, maumivu hayakwepeki na kusema kwamba unakinai utakuwa unajiongopea mwenyewe. Issue ni kuyakubali maumivu na kuyaruhusu yakushape kuwa mtu Bora.
Amigos😅
Gudubaiiii
Umechelewa kuamka eeenh!!!Wala sishangai mie nafurahi
Nitashangaa vip na pwani pamenikuza
Bora ujifanyie mwenyewe u snitch kuliko kwa mtu tena alikuasaidia... kwenye hii Dunia yenye ushindani kupitiliza, kama usipom’snitch' mtu basi jua unaji'snitch' mwemyewe!
IKABHAGI CHEENE! ........ wanasema wazungu wa Gambosh
Kitu siwezagi ni ushoga sijui bffNishaumizwa sana