SMS hizi! Ungefanyaje?

SMS hizi! Ungefanyaje?

KWELI UTAMU HAUNA MZEE

Mwanajeshi aliwateka wananchi wasaliti watatu, wasichana wawili na bibi yao. Mwanajeshi kwa kiburi akawaambia, "Sasa adhabu yenu nawagegeda wote!". Wale wasichana wakasema "Sawa lakini tunaomba bibi yetu umuhurumie utugegede sisi mara mbili badala yake tafadhali. Bibi kusikia hivyo akadakia, "Komeni kabisa! adhabu hii ni kwa wote. Na kumbukeni mateka ni mateka tu hata awe mzee. Hebu endelea na adhabu yako tena nianze mimi!!!"
 
CHEZEA PAKA WEWE?

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa mbali. Aliporudi nyumbani alimkuta paka amekwisha rudi. Jamaa alikasirika sana. Siku ya pili akamchukua na kwenda naye zaidi ya kilomita 50 akapiga chochoro za kutosha kisha akamtupa. Akaanza safari ya kurudi nyumbani. Baada ya muda akampigia simu mkewe.
Jamaa: Vipi mke wangu huyo paka yupo?
Mke: Ndiyo mume wangu tena ametulia hapa, kwani imekuaje?
Jamaa: Hebu mpe simu anielekeze njia ya kurudi nyumbani nimepotea!
 
Mke : kuna nini kwa jirani?
Mume. : itakuwa Birthday
Mke : ya nani?
Mume : Tuyuu
Mke : Tuyuu ndio nani?
Mume. : simui ila wanamwimbiaga Happy Birthday Tuyuu ....

Kwakwakwakwa... Uuuuuuwwwii nakufwaaaaa.. Hehheee duuu.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Dah jf ni zaidi ya Burudani hapa mbavu zangu zote zina hali mbaya
Ila ya yule mchaga ya aikaeli maSawe married kidogo nipoteze mBavu
 
Mrembo alipokea simu ngeni na mambo yalikuwa kama hivi:
Simu: Hellow una boy friend?
Mrembo: Ndio nine. Kwani we nani?
Simu: Mimi baba yako. Kumbe una boy friend ukirudi utanitambua. Simu ikakatika akiwa na mawazo nini afanye. Simu ikaita tena kwa namba ngeni.
Simu: Hello una boy friend?
Mrembo: Hapana sina!
Simu: Vipi mpenzi ina maana unanisaliti?
Mrembo: Hapana BABY nilijua baba!
Simu: Ni mimi baba yako nilitaka kuhakikisha tu kama kweli una boy friend. UTANIKOMA LEO

hii imetisha sana
 
Yupi anajua KUUCHUNA?
Juha:Nilimpgia cm mke wangu akapokea hakusema 'hallow! nikauchuna sikuongea mpk pesa zote zikaisha!
Zoba:Niligonga mlango mke wangu akafungua hakuniambia karibu nikasmama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz, nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.
Wote wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA tu.!

zuzu siyo mzima
 
Kuna jamaa ----- kweli, eti kaona gari ya Tigo kajificha, kisa alikopa muda wa maongezi
 
Binti mmoja alimuaga mama yake na kumwambia naenda matembezi na marafiki zangu. Mama yake akamwambia "Mungu na awe pamoja nawe katika safari yako". Kwa dharau na kiburi binti akajibu "Mmh mama gari limejaa labda huyo Mungu akae kwenye buti nyuma kama anaweza. Kwa kasi akawasha gari na kuondoka. Mara njiani wakapata ajali mbaya kiasi kwamba walitambuliwa kwa mavazi waliyovaa tu. Polisi walipofungua buti wakakuta matrei mawili ya mayai yakiwa salama kabisa, wakastaajabu sana.

HAKIKA MUNGU HADHIHAKIWI NA DAIMA ATAKUWA NAWE PALE UTAKAPOMHITAJI
 
Watoto wa siku hizi tofauti na sisi tulivyokuwa zamani. Msikie huyu:

Mtoto alikuwa anapata shida kusali kila muda wa kulala kwa kuwa sala ilikuwa ndefu, akaona aandike sala yote akaibandika ukutani. Ikawaikifika muda wa kulala anasema "Ee Mungu soma pale, Amina!"
 
Ungekuwa wewe mwl ungefanyaje?

Teacher: Ok class, lets show our guests how far we have reached... If I say small you say small, smaller smallest. The class agreed.
Teacher: Big
Class: big, bigger, biggest
Teacher: Well done
Class: done, doner, donest
Teacher (smiled): I mean good
Class: good, gooder, goodest
Teacher: (Mmmh) Ok
Class: Ok, okier, okiest
Teacher: I say enough
Class: enough, enoughfer, enoughfest
Teacher: Stop!
Class: stop, stopper, stoppest
Teacher: Ooh Lord!
Class: lord, lorder, lordest
 
Samahani ukiwa hunipati kwenye namba hii nitafute kwenye namba hizi zisevu: 0775896352, 0778875856, 077787566, 077805692, 077236948, 0772698542, 0775965563, 07728526862, 0652697411, 0772589542, 077632692, 0772645, 0776955621, 0772356213, 0776425263, 0776854263, 0778564217, 0716631393.

Save hizi kwanza zingine nitakutumia baadaye..!!
 
Mkristo kavamia futari
vyuuuuuuuup! Baada ya kula Sheikh si akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa akatetemeka sana kwa kuogopa ila akajikaza kiume na kuanza kama ifuatavyo:
Jamaa: Ya Tawfiq
Watu: Amin
Jamaa: Ya Habib
Watu: Amin
Jamaa: Yaa Shabiby
Watu: Amin
Jamaa: Ya Abood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Hood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Scandnavia
Watu: Mhhhhhhhhhh
Jamaa: Ya Dar Express
Watu: Aaaaaaaaaaaa, kamata tia bakora mwanaharamu huyu!

Du, hii nimeikubali mbayaaaaaaaaa........
 
BINGWA WA KIINGILISHI

We si bingwa wa kiinglish kuzidi huyu ...
" Yesterday I saw you at za maize shop ... (Jana nilikuona dukani kwa Mhindi). When you saw me you started to six six ... (uliponiona ulianza ku-sita sita). U ran away and decided to plant a car... (ilikimbia na ukaamua kupanda gari). Zen you pot - cry me through ze window ... (kisha ukanichungulia dirishani). Now sleep down and snake well before I cut you a millet... (sasa lala chini kisha nyooka vizuri kabla sijakukata mtama).

Vipi, unamuweza?
 
Back
Top Bottom