MC anamsifia Bi. Harusi
"Sasa nawapa sifa kubwa ya Bibi harusi. Tangu namfahamu huwa havai nguo za ndani!"
Watu wakaduwaa
MC "Narudia tena kwa msisitizo na sijakosea. Bi. Harusi huyu huwa havai kabisa nguo za ndani. Yeye anavaa za kutoka Italy, England na USA. Si za Tanzania. Hebu mshangilieni!"
Kila mtu "Ahaaaaaa...!"
ahaaa kwi kwi kwiiiiii hi imenimaliza mbavu a kwa kwa kwa uwiiiiiiMPARE NA PESA
Binti: Mama, nimemuomba baba hela ya saluni akaninyoa nywele
Mama: Una bahati sana mwanangu. Ungemuomba hela ya whitedent angekung'oa meno!
NANI MWENYE MAKOSA?
Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "Jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.
Mwalim: ee john, nitajie wanyama kumi wa porini.
John: simba watatu na tembo saba
MPARE NA PESA
Binti: Mama, nimemuomba baba hela ya saluni akaninyoa nywele
Mama: Una bahati sana mwanangu. Ungemuomba hela ya whitedent angekung'oa meno!
padre na sister wakiwa safarini walikosa nyumba ya wageni wakapata chumba kimoja wakalala wote ila wakatenganisha kwa kuweka mto katikati,asubuhi na mapema wanatoka wanakuta geti limefungwa na hakuna mtu,
padre; turuke ukuta!!
Sister;nyoooo!!umeshindwa kuruka mto uutaweza ukuta!!