SMS hizi! Ungefanyaje?

SMS hizi! Ungefanyaje?

Teja kafunga ilipofika mchana swaumu ikambana akawa anasikiliza redio kipindi cha kuchagua nyimbo, akapiga simu redioni maongezi yakawa hivi;
DJ: nani mwenzangu, unaongea toka wapi na unataka nyimbo gani?
TEJA: yote hayo siyataki naomba unipigie adhana ya magharibi nifuturu toka asubuh sijashtua!
 
Ha ha ha, u've made ma dei cna cha kutupia zaidi ya tasabamu
 
Yupi anajua KUUCHUNA?
Juha:Nilimpgia cm mke wangu akapokea hakusema 'hallow! nikauchuna sikuongea mpk pesa zote zikaisha!
Zoba:Niligonga mlango mke wangu akafungua hakuniambia karibu nikasmama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz, nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.
Wote wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA tu.!
 
*************************************

Mrembo alipokea simu ngeni na mambo yalikuwa kama hivi:
Simu: Hellow una boy friend?
Mrembo: Ndio nine. Kwani we nani?
Simu: Mimi baba yako. Kumbe una boy friend ukirudi utanitambua. Simu ikakatika akiwa na mawazo nini afanye. Simu ikaita tena kwa namba ngeni.
Simu: Hello una boy friend?
Mrembo: Hapana sina!
Simu: Vipi mpenzi ina maana unanisaliti?
Mrembo: Hapana BABY nilijua baba!
Simu: Ni mimi baba yako nilitaka kuhakikisha tu kama kweli una boy friend. UTANIKOMA LEO!

*********************************

Fikiria ingemuwa baba yako ni Remmy Ongala, na mama yako Anne Makinda. Mjomba wako ni Mizengo Pinda na shangazi yako ni Anna Mkapa. Babu yako ni Stephen Wasira na bibi yako ni Bi. Kidude. Je sura yako ingekuwaje?

***********************************

Mwanasheria alimuuliza Lulu, Mbona wewe malaya sana? Lulu akajibu, Rose Muhando ndio malaya kwani Ameonja hadi Utamu wa Yesu. Mwanasheria akaguna!!

************************************

eee bwana vipaji unavyo bg up 4 dat.
 
Mwalim: ee john, nitajie wanyama kumi wa porini.
John: simba watatu na tembo saba

Duh! Hii safi sana, dat y mtu ukipata vidonda vya tumbo Tz cku izi ni vya kujitakia mwenyewe coz ukiwa na stress tu, unabovya blogs ka izi na kuanza kucheka, ka huna internet unasoma gazeti la katuni, ka huna unakaa jioni na bibi yako, ka huna unasikiliza kipindi cha bunge tu, yani utake usitake utacheka tu
 
UWONGO HAUFAI

Jamaa: Unasoma?
Demu: Hapana sisomi, vipi wewe unasoma?
Jamaa: Ndo nipo form 4 Jangwani
Demu: Jamani hiyo si shule ya wasichana?
Jamaa: Ah! sorry nimechanganya nipo Kisutu
Demu: Mwee mbona nayo ya wasichana
Jamaa: Haa! Nilikuwa nakutania nachukua PhD IFM
Demu: Mh! Ina maana IFM imeanza kutoa PhD?
Jamaa: Ishia zako. Demu mwenyewe hulipi wala nini! Unauliza maswali kama tupo uhamiaji? KWA TAARIFA YAKO NACHUKUA DEGREE YA UDAKTARI CBE!

We jamaa umenivunja mbavu hadi nimepaliwa
 
Teja kafunga ilipofika mchana swaumu ikambana akawa anasikiliza redio kipindi cha kuchagua nyimbo, akapiga simu redioni maongezi yakawa hivi;
DJ: nani mwenzangu, unaongea toka wapi na unataka nyimbo gani?
TEJA: yote hayo siyataki naomba unipigie adhana ya magharibi nifuturu toka asubuh sijashtua!
Daah, uteja ni nouma! Nimeipenda hii...
 
Duh! Hii safi sana, dat y mtu ukipata vidonda vya tumbo Tz cku izi ni vya kujitakia mwenyewe coz ukiwa na stress tu, unabovya blogs ka izi na kuanza kucheka, ka huna internet unasoma gazeti la katuni, ka huna unakaa jioni na bibi yako, ka huna unasikiliza kipindi cha bunge tu, yani utake usitake utacheka tu

Dogo ni mkali wa mathetics ...big up kwa dogo!
 
Yupi anajua KUUCHUNA?
Juha:Nilimpgia cm mke wangu akapokea hakusema 'hallow! nikauchuna sikuongea mpk pesa zote zikaisha!
Zoba:Niligonga mlango mke wangu akafungua hakuniambia karibu nikasmama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz, nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.
Wote wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA tu.!
kwa kwa kwaa hii kali
 
Jamaa alimuibia mzee nauli kwenye daladala.
Mzee: jamani aloniokotea nauli yangu anirudishie, nisije nikafanya nilichofanya mwaka 1977.
Jamaa huku akitetemeka akarudisha halafu akauliza: "kwani mzee 1977 ulifanya nini?
Mzee: nilitembea kwa miguu kutoka mbagala mpaka mwenge baada ya kupoteza nauli...!
 
Mlevi kaanguka toka ghorofani fasta watu wakamfata kumsaidia wakamuuliza VIPI IMEKUAJE? Mlevi akajibu: "HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI..."
 
Mkristo kavamia futari
vyuuuuuuuup! Baada ya kula Sheikh si akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa akatetemeka sana kwa kuogopa ila akajikaza kiume na kuanza kama ifuatavyo:
Jamaa: Ya Tawfiq
Watu: Amin
Jamaa: Ya Habib
Watu: Amin
Jamaa: Yaa Shabiby
Watu: Amin
Jamaa: Ya Abood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Hood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Scandnavia
Watu: Mhhhhhhhhhh
Jamaa: Ya Dar Express
Watu: Aaaaaaaaaaaa, kamata tia bakora mwanaharamu huyu!

kwa kwa kwa tehe teh
 
Konda: mkubwa unakwenda?
Jamaa: wapi?
Konda: kariakoo.
Jamaa: kufanya nini?
Watu: haaaaaa!
 
nadhani kwa mtindo huo inabidi apigwe miaka ya kutosha kwa kumtania yesu!
 
DINI IMANI BWANA:kuna jamaa aliingia msikitini na panga akakuta watu wanaswari,akauliza oya kuna muislam humu ndani,watu wote kimya akamchukua mmoja akaenda nae nje kumbe alikua anataka akamchinjie mbuzi,baada ya muda kidogo akarudi na panga lenye damu akauliza tena kuna muislam humu ndani jamani,watu wote mikono kwa shehe anaye swalisha,shehe nae akasema hivi jamani kuswalisha siku mbili tu mnaniita mwislam mie mwenyewe najifunza jamani,mwenyepanga akasema hivi nilikua ntaka wa kusaidia kuchuna ngoz ya mbuzi maana mwezenu kachinja,wote ahhhh,kisa panga unaikataa din duh
 
Yupi anajua KUUCHUNA?
Juha:Nilimpgia cm mke wangu akapokea hakusema 'hallow! nikauchuna sikuongea mpk pesa zote zikaisha!
Zoba:Niligonga mlango mke wangu akafungua hakuniambia karibu nikasmama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz, nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.
Wote wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA tu.!
Jamani mje mnipeleke hosp wewe na sister maana mbavu cna mwenzenu ..... da.. really u made ma day.
 
Back
Top Bottom