super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
aseeeeeeeeeee............cheka saaaana
Binti wa Kijijini Matombo kaolewa na baada ya fungate wakaenda Jijini Dar ilipofika usiku
- Mume=panda kitandani
- Bint= kapanda
- Mume= vua nguo zote,
- Binti = akavua hadi pichu
- Mume= *anua miguu
- Binti = akatii
- Mume= akasogea kuangalia akaona msitu wa mavutz marefu kama rasta
- Mume= mbona msitu wote huo?
- Binti = nimekuja kwa Mume kut*mb** au kusukwa ebu toka Wanaume wa Dalisalam nasikia huwa mnakulaga kwanza mm nilishakata na *****
Demu anatoka kuoga akiwa na Khanga moja tu anasikia hodi, kufungua mlango akakutana na jirani yake atambulikanaye kwa jina la John na ni Kipofu
Akamkaribisha ndani ambapo ni chumba kimoja tu kuna kitanda na vingine bila Kochi wala kiti John akakaa kwenye kitanda
Demu akavua kanga moja na kuanza kujipaka mafuta mwili mzima huku akiinama mara akimringishia kimyakimya John mwili wake ulivyo kwa kujua huyo kipofu hata kunusa haoni kitu gani kinaendelea.
Mazungumzo yakawa hivi:
sasa kilichotokea nitumie 500 ya sms tu nikendelee
- DEMU : Vipi John mbona umepotea hivi yaani huonekani siku hizi ulikuwa wapi?
- JOHN (Kipofu) : NILIENDA INDIA KUFANYIWA OPERESHENI YA MACHO SASA HIVI NAONA VIZURI SANA
My girlfriend left a note on the fridge "It's not working. I can't take it anymore. I am going to my Mom's place"
I opened the fridge. The light came on. The beer was cold... What the hell is she talking about?
Wazo la leo: hata uwe shabiki kiasi gani wa Diamond huwezi kukubali kua na Domo ka lake..!
mtoto: baba baba sheli inaunguwa
baba: kwa mshtuko akauliza sheli gani
mtoto; sheli na bela sheli na ngai ai mama
baba: pambafu
Rose Muhando baada ya kutembea sana akachoka alimwambia Yesu "Nibebe nibebe nibembeleze nibebe mikononi mwako niwe salama!". Yesu alipombeba Rose akaanza kucheza "Nimeonja utamu wa Yesu!". Yesu si akachukia akamtelemsha. Rose akaanza kulia akasema "Kumbe ndivyo ulivyo ndivyo ulivyoo!!
Chezea Rose wewe?