SMS hizi! Ungefanyaje?

SMS hizi! Ungefanyaje?

MSIBA WA FORM FOUR

Bado tupo kwenye msiba wa ndugu zetu form four, hivyo tuungane wote kwa kusema "NECTA IMETOA, NECTA IMETWAA, FORM FOUR WALIIPENDA LAKINI KITAA KUMEWAPENDA ZAIDI"
 
SALAMA JABIR NA MIKASI

Salama Jabir sijui ana MATATIZO gani. Kila AKIMUHOJI mtu lazima AFE. Kamuoji KANUMBA kafa. Kamuoji SHARO kafa. Kamuhoji SAJUKI kafa. Kamuoji MARIAM KHAMIS kafa.Kamuhoji NGWAIR kafa. Kweli ule MKASI wa WASANII na utawakata wote mpaka waishe.

Vipi nimpe NAMBA yako nawe AKUHOJI?
 
Mlevi mmoja alizamishwa majini akibatizwa ikawa hivi:

Mchungaji: Tangu sasa hautaitwa RAHIM utaitwa YOHANA, umekuwa kiumbe kipya.

Mlevi akaondoka, alipofika nyumbani akachukua bia moja akaizamisha kwenye ndoo akasema "Tangu sasa hautaitwa CASTLE LAGER bali utaitwa FANTA ORANGE". Akainywa.
 
Mkuu umisha!
SALAMA JABIR NA MIKASI

Salama Jabir sijui ana MATATIZO gani. Kila AKIMUHOJI mtu lazima AFE. Kamuoji KANUMBA kafa. Kamuoji SHARO kafa. Kamuhoji SAJUKI kafa. Kamuoji MARIAM KHAMIS kafa.Kamuhoji NGWAIR kafa. Kweli ule MKASI wa WASANII na utawakata wote mpaka waishe.

Vipi nimpe NAMBA yako nawe AKUHOJI?
 
Haha katisha kingreza wito bwana

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
SIMU YA KICHINA

Kuna simu ya kichina inauzwa, ina radio, TV, blurtooth, infra red, torch, memory card, mwamvuli, AC, DVD, opener, visheti, ufuta, uchi wa mchele, kandambili, mtindi, chapati, chauro, sambusa za nyama, half cake, bagia, topaz, mawese, mbaazi, utumbo, pweza, egg chop, urojo.

Vipi unaitaka?
 
Zuzu alikuwa anaumwa. Akaamua kuweka picha ya Daktari kwenye ukuta wa chumba anacholala.
Akaulizwa na Mama yake: "kwa nini umeweka picha ya Daktari ukutani?"
Zuzu akamjibu: "Nimeambiwa maumivu yakizidi nimuone Daktari!"
 
nani mwenye makosa?

Mwanamke aliyelala na mumewe akawa anaota, ghafla akapiga makelele, "jifiche mume wangu kaja", au mumewe aliyesikia hivyo akanyakua nguo na kukimbia akidhani amelala na mke wa mtu? Nahitaji mawazo yako.
please read my signature
 
MC anamsifia Bi. Harusi

"Sasa nawapa sifa kubwa ya Bibi harusi. Tangu namfahamu huwa havai nguo za ndani!"
Watu wakaduwaa

MC "Narudia tena kwa msisitizo na sijakosea. Bi. Harusi huyu huwa havai kabisa nguo za ndani. Yeye anavaa za kutoka Italy, England na USA. Si za Tanzania. Hebu mshangilieni!"

Kila mtu "Ahaaaaaa...!"

safi sana MC
 
Kafanana na zuzu mmoja kila kitu jaman majanga!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
DINI IMANI BWANA:kuna jamaa aliingia msikitini na panga akakuta watu wanaswari,akauliza oya kuna muislam humu ndani,watu wote kimya akamchukua mmoja akaenda nae nje kumbe alikua anataka akamchinjie mbuzi,baada ya muda kidogo akarudi na panga lenye damu akauliza tena kuna muislam humu ndani jamani,watu wote mikono kwa shehe anaye swalisha,shehe nae akasema hivi jamani kuswalisha siku mbili tu mnaniita mwislam mie mwenyewe najifunza jamani,mwenyepanga akasema hivi nilikua ntaka wa kusaidia kuchuna ngoz ya mbuzi maana mwezenu kachinja,wote ahhhh,kisa panga unaikataa din duh
teh teh teeh
 
Mlevi mmoja alizamishwa majini akibatizwa ikawa hivi:

Mchungaji: Tangu sasa hautaitwa RAHIM utaitwa YOHANA, umekuwa kiumbe kipya.

Mlevi akaondoka, alipofika nyumbani akachukua bia moja akaizamisha kwenye ndoo akasema "Tangu sasa hautaitwa CASTLE LAGER bali utaitwa FANTA ORANGE". Akainywa.
Mbavu zangu miyeeeeeeeeeeeee!:israel:
 
Back
Top Bottom