Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mkuu indumeyene namba ni hii hapaIpo mitandao mingi ambayo unaweza kutuma TXT message bila ku-display namba e.g. www.sendsmsnow.com. Vilevile softphone ambazo zinatumia VoIP (Voice over Internet Protocol) kama vile www.poivy.com. Unaweza kuwa UK lakini unasajiri namba ya India au Russia.
Hata Chadema wakiamua kufanya hivyo wanaweza kwa kuwa naamini ina wataalamu wengi wa IT all over the world. But hicho kitendo cha kugombanisha watu is TOO LOW na wala si cha muhimu katika kutunza amani nchini mwetu. Hata Robocalls CHADEMA wakipenda kwa ajili ya kuhamasisha upigaji kura, wanaweza kuwasiliana nami. Nitafanya Free kama mchango wangu katika mageuzi nchini.
Kama mnaweza ku-forward hiyo TXT message indumeyene@jamiiforums.com ninaweza kukupa exactly location ya mtumaji. Hawa hatu lazima tuwaumbue kwa uchafu wao.
+3588976578
Na hivyo sioni sababu kwa nini watu wakutumie email. Njoo na jibu tu.