allpurpose2010
Member
- Sep 13, 2010
- 8
- 0
Chadema imeanza kusambaza ujumbe wa sms kwa kutumia namba feki ya TIGO. ujumbe ulikuja kama ifuatavyo:
+255719780033:
'TAFATI SIO MATOKEO WATANZANIA PIGENI KURA KWA DR SLAA TAREHE 31 OCT TUWAONYESHE TAFATI YA UKWELI RAIS MPYA TAIFA JIPYA CHADEMA MWENDO MDUNDO USIDANGANYIKE'
Hivi nyie vyama vya siasa mmeamua simu zetu kuwa dampo la porojo na propaganda zenu eeeeh. hebu shikeni adabu, acheni kutumalizia memory capacity kwenye simu zetu.
halafu kwa nini mnatumia namba feki au kwa kitaalamu zaidi "Dummy Number" ?
walianza CCM na namba ya nje sasa CHADEMA na Dummy number ya hapa hapa...!!!
TCRA ninaamini hairuhusiwi ujumbe kutumwa bila valid number or valid ID. washughulikieni hivi vyama tafadhali vinginevyo hizi siku 18 zitakua ngumu sana kwetu raia na watumiaji wa simu za mkononi.
mmmmh vinginevyo CUF nao wataanza, sasa vyama vyooooote 18 vikianza patakalika hapa kweli????
Pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee TCRA - do something for subscribers sake.
+255719780033:
'TAFATI SIO MATOKEO WATANZANIA PIGENI KURA KWA DR SLAA TAREHE 31 OCT TUWAONYESHE TAFATI YA UKWELI RAIS MPYA TAIFA JIPYA CHADEMA MWENDO MDUNDO USIDANGANYIKE'
Hivi nyie vyama vya siasa mmeamua simu zetu kuwa dampo la porojo na propaganda zenu eeeeh. hebu shikeni adabu, acheni kutumalizia memory capacity kwenye simu zetu.
halafu kwa nini mnatumia namba feki au kwa kitaalamu zaidi "Dummy Number" ?
walianza CCM na namba ya nje sasa CHADEMA na Dummy number ya hapa hapa...!!!
TCRA ninaamini hairuhusiwi ujumbe kutumwa bila valid number or valid ID. washughulikieni hivi vyama tafadhali vinginevyo hizi siku 18 zitakua ngumu sana kwetu raia na watumiaji wa simu za mkononi.
mmmmh vinginevyo CUF nao wataanza, sasa vyama vyooooote 18 vikianza patakalika hapa kweli????
Pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee TCRA - do something for subscribers sake.