WANDUGU LEO ASUBUI NIMEPATA SMS TOKA +358897578, ZINZOMKASHIFU DR. SLAA, ZIMEANDIKWA HIVI;
Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi, anataka damu imwagike ili mradi ashinde. tusikubali nchi yetu iwe kama burundi....
sasa ninajaribu kujua namba hii ni ya mtandao gani, kwa sasa nipo moshi , najua na wengi mmepata sms hizi. naomba mwenye kuelewa huu ni mtandao gani na uko nchi gani tujue.
isije ikawa kuna nchi zimeamua kuingilia uchaguzi wetu
pili, huwa napata sms za kuisifu ccm toka mitandao yote ya voda na tigo, naomba wanasheria wanisaidie kwani nataka kuwashtaki tigo na voda kwa kutoa namba yangu ya simu bila ridhaa yangu, pengine nitawaunganisha na TCRA kwa kuwa zoezi la kusajili namba za simu halikuwa na maana ya kuanza kutoa namba za watu ili waanze kupelekewa sms za matusi kama hayo juu.
Naomba kama kuna wanasheria makini huku wani sms nianze mapema mchakacho wa kuwashtaki hawa
Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi, anataka damu imwagike ili mradi ashinde. tusikubali nchi yetu iwe kama burundi....
sasa ninajaribu kujua namba hii ni ya mtandao gani, kwa sasa nipo moshi , najua na wengi mmepata sms hizi. naomba mwenye kuelewa huu ni mtandao gani na uko nchi gani tujue.
isije ikawa kuna nchi zimeamua kuingilia uchaguzi wetu
pili, huwa napata sms za kuisifu ccm toka mitandao yote ya voda na tigo, naomba wanasheria wanisaidie kwani nataka kuwashtaki tigo na voda kwa kutoa namba yangu ya simu bila ridhaa yangu, pengine nitawaunganisha na TCRA kwa kuwa zoezi la kusajili namba za simu halikuwa na maana ya kuanza kutoa namba za watu ili waanze kupelekewa sms za matusi kama hayo juu.
Naomba kama kuna wanasheria makini huku wani sms nianze mapema mchakacho wa kuwashtaki hawa