Kumbe Dr Slaa ndio Mwalimu wa Kuzomea! Hopeless!
Si afadhali akifundisha kuzomea, kuliko wale wanaofundisha kuiba?
au kuliko wale wanaowafundisha watu kuchukua mapanga na kupigana kama nchi zingine!
You should be proud of him!
Kumbe Dr Slaa ndio Mwalimu wa Kuzomea! Hopeless!
Wakishaachia ngazi hao wanaotajwa, Dr Slaa au CHADEMA watanufaika vipi? Hakuna namna nyingine ya kuzi-handle hizi tuhuma za mafisadi wa CCM na serikali yake NCHI ikanufaika?
riz1 v/s slaa w...
Ile kampuni ya mafuta nadhani riz ameingia mkenge pale - he was so fast na nadhani wengi watamstukia!
Ajiulize watoto wa masultani (uchwara) wako wapi...aanze tu na karibuni pale kwa Saddam, aje Misri kwa kina Gamal & Alaa Mubarak, soon to be followed by Saad Gadhafi.
Hakuna giza linaloweza ficha uchafu wao.....historia iliamua kuhukumu hivyo. Kila kitu kitawekwa peupe. Na mwendo ndo ushaanza sasa
Masikini CCM, huu wimbo UMEWAGEUKA....
Slaa kweli ni VUVUZELA maana amewapulizia na sasa HAWAELEWANI..........
Kweli mla ni mla leo, mla jana kala nini?
Piiii Piiiiii----- Hawaelewani. Marlaw kweli ni GUNDU kwa CCM. Wasimwingize tena kwenye kampeni.
Pipiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Piiiiiiiiiiiiiiiiiii Hawaelewani...................... kiduku kiduku... Ehh dada jiachie
lo, naona wadau mmemkalia vibaya dogo, atachomoka hapa kweli!!???? Inaelekea kila mtu alikuwa akisubiria ni nani alianzishe ...tuwekeeni picha hata moja basi ya 'fixed assets/investments'Swali na hoja nzuri... lakini nadhani hoja isiwe ubilionea, bali ameupataje
Labda anatumia majini kuupata hivyo we cant justify, but if he abuses powers, then he has to answer...
My point here is that not every billionaire is fisadi
Kama Rostam mapato yake bilioni 280 yeye DR Slaa inamuuma nini??
Kwani kuna limit ya kiasi cha pesa anazoweza kupokea mtu mmoja kwa mwaka kwenye Tanzania huru??
Ulemavu wa akili ndiyo huu. Mtu akikuzushia uongo basi lazima uende mahakamani la sivyo ni ukweli. LAKINI unatishiwa kuuawa lakini hakuna kwenda polisi wala mahakamani. Sasa huu kama siyo ulemavu wa akili basi ni UNAFIKI wa kiwango cha juu kabisa.
mmmmmhhhh kumbe ana utajiri tayari???? Wengine tumefanya kazi karibu tunastafu hatujaweza hata kujenga kibanda.....kweli nchi hii imeliwa kisawasawa halafu wengine bado wanawatetea mafisadi....jamani amkeni, imetosha kudanganyika
CCM oyeeee. Magamba juuuuuuu
Hapo ndipo watu wanapo muona dokta amechanganyikiwa, maneno ya Salva Rweyemamu aliyokwisha yatoa kuwa dokta ameanza kuchanganyikiwa ndio yanaanza kuthibitika kwa kweli.