Slaa awalipua Rostam, Riziwan

Slaa awalipua Rostam, Riziwan

unajua inakera kuona mijitu mingine inabisha bisha tu..kama uwezi ona ajabu Ridhiwani kumiliki billions of money,haupo sawa sawa...we ni mpumbavu kabisa...raisi mwizi,mtoto wake mwizi,yani ccm ni uozo m2pu..
 
Uzuri ni kwamba ikifika uchaguzi mtaambulia 21% cdm vs 70%..ccm

Then mtakuwa kwenye complain corner as usual where you belong ...
 
umeoonaaa eee Pk lazima kurta atangulie kfa wazee wajue kuna moto mbele yaani simtakii mabaya nnaep namwonya tu
tumechoka kuzika viongozi wengine tunaamrishwa michango nyumba kumi kumi ati kafa babake nanaii,,mara alikuwa nanii
tuhurumien kwa hili nnape mjihadhari

Kama wamemtanguliza ili wao wapite juu yake yeye atakapo geuka gogo litakaloangukia mtoni basi wajue kuwa yupo mtetezi wa Nape na badala ya yeye kuanguka basi atakuwa mti uliopandwa pembeni ya mto ambao majani yake hayakauki throughout a year. Nape shika kinubi sawa sawa piga mbiu la mgambo limelia Tanzania mwenye jembe alishike sawa sawa kuchimbua mizizi, mwenye jiwe haya aangue matunda ya ufisadi, mwenye panga linoe makali, mwenye fimbo asiizarau iligawanya maji ya bahari. Kila mtu ashike alichonacho dhidi ya huu uasi wa watu wachache walio sahau kuwa vitovu vyao vilidondoka kwenye ardhi ya nchi hii na kwamba hakuna dhuluma mbaya kama kumdhulumu ndugu yako tena yule ambaye unajua hana nguvu za kujisaidia.

Goooooo! Nape Gooooooo! Baba yako aliaga dunia na ilikuwa soni hata kuweka msiba nyumbani kwa jinsi alivyo yatoa maisha yake kujenga hili taifa vipi waje watu wajichukulie tu matunda kama vile wao walipanda mbegu za huo mti. You have all the basic rights to fight this fight for atleast you could have been a bilionear if your father could have been selfish and thought of not investing for the welfare of the poor Tanzanians vipi leo urithi alio utoa baba yako kwa wana wa nchi yako uchukuliwe na ndege wa mwituni ambao hawajui kupanda wao kazi kuvuna tu? Your elder brother Makongoro said it all kule ndani ya kikao tumemsikia; Vicent Nyerere is there giving you a helping hand in a different ways go descendants of the righteous men go you have all the blessings from your fore fathers Go!
 
Pepombili,

Jamvi hili si maahali pa kutoa ushahidi. Kuna mahali pa kutolea ushahidi. Kauli zangu zimetolewa kwenye hotuba ya kuwaelimsha Watanzania, tena in this case wa Jimbo la Igunga Jimbo la Rostam Aziz. Kazi yangu kama Katibu Mkuu katika mikutano ya hasdhara si kutoa ushahidi bali kueleza na kuonyesha uozo ndani ya CCM na Serikali yake ili Watanzania waweze kufunguka macho. Mwenye kuona kaonewa ana mahali pa kutaka "redress" kama anafikiri nilichosema siyo kweli.

Nilikwisha kueleza kuwa "mahakamakubwa kuliko zote kwa mwanasiasa ni 'wananchi' (Ibara ya 8 ya Katiba). Tuliowataja leo wako mahakamani, Fedha za EPA mlizobishia angalau JK aliutangaza Bungeni kuwa zimerudishwa sehemu (Japo CAG katika Taarifa yake ya Hesabu za Serikali Kuu anasema fedha hizo hadi Machi 2011 hajaona zimeingizwa akaunti gani japo zilihamishiwa TIB June, 20, 2010 (Jambo linalozua utata mpya kabisa katika historia ya ufisadi ikizangatiwa kuwa 2010 ilikuwa mwaka wa Uchaguzi-au zilirudishwa zikaenda tena kwenye uchaguzi kuisaidia CCM au hazikurudishwa kabisa na inakuwa usanii tu).

Kama Rizwani anaona ameonewa aende yeye mahakamani mimi nimemaliza kesi kwenye mahakama ya wananchi, lakini nadhani ni vema ungelinukuu vizuri "conclusion yangu badala ya kuchakachua statement yangu".

Mkuu utalipua weee, mwishowe utalipuka mwenyewe...

Hivi wewe kama katibu wa chama issue ya chama chenu ni "kulipua" period..for almost 10 years now wimbo huo huo...

Swali kuna wimbo mwingine?
 
Hata gari ambalo huwa kwenye mwendo kasi mkali sana, lipapatwa na kitu ambacho kitalilazimu kisimama, hata kama dereva ni mtaalamu kiasi gani, hawezi kumudu kulisimamisha gari hilo hapo hapo lilipotakiwa kusimama. lazima litasimama umbali fulani utoka eneo la tukio.
CCM imefika mwisho.Lakini JK hawezi kuisimamisha ghafla kutokana na mwendo kasi wake. Anaibembeleza hadi 2015 nafikiri ndiyo mwisho wake. Tusubiri. waliosema mfa maji sharti atape tape hawakuwa walevi wa madaraka kama hawa CCM.
Naona Nape amejitoa kafala kwa ajili ya kutetea madaraka yake, amefumba macho kwa viganja vya mikono huku kukiwa na nafasi kubwa katikati ya vidole vyake. ukweli anaufahamu kuwa CCm imechoka.
 
moja ya makabila ya Kilimanjaro lina msemo usemao, " Mwanaharamu hata ungemtia ndani ya chupa lazima atatoa kidole." Chama cha Magamba hilo mnalo.
 
Dr Slaa siwezi kupinga unachokiongea maana wewe ni miongoni mwa viongozi wa kisiasa hapa Tanzania, je? vipi wananchi tunaweza kuthibitisha kauli zako unazosema tunaomba utuletee na ushahidi na sio maneno maana tunawaelewa wana siasa mulivyo na maneno mengi vinywani mwenu, kama unazo hizo documents za ushahidi wa mapato ya Muheshimiwa RA na RIZ kwa nini musiwatumie wanasheria wenu wa CHADEMA kuwapeleka mahakamani kama muna wasiwasi na source za mapato yao.

Mengi unayoyaongea ni kwa ajili ya maslahi ya nchi lakini je Rizwan Kumiliki mabilioni ni kitu cha hatari? Naelewa kwa ufahamu wangu Rizwan ni mtoto wa RAIS na baba yake alikuwa waziri katika wizara nyingi sana hapa Tanzania kabla ya kuwa Rais; ninavoelewa mimi Rizwan kumiliki Bilioni moja si kitu cha ajabu, eti kamaliza shule juzi ndio asiweze kumiliki hiyo ela haiingii akilini hata kidogo kwa mtoto wa kimasikini sawa ila Riz sio mtoto wa kimasikini akashindwa kujiingiza kwenye masuala ya kutafuta pesa.

Kama mna ushahidi wa wizi wa fedha muende mahakamani au kama ni siasa tu basi endeleeni (sikupingi Dr Slaa huwa napenda ila ushahidi wako uko wapi?) tuwekee ushahidi ila tunapomwita mtu fisadi kama Riz kweli tujue ili tusipate dhambi kumjadili mtu bila ya ushahidi.

Mafisadi agent at work. Kwa nini usimshauri Ridhiwan aende mahakamani kumshtaki Dr. Slaa kwamba kamkashifu kwa kumsema kwamba amemaliza shule juzi na sasa ni billionea? Tumia kichwa kufikiria, usitumie *****

Tiba
 
Naona vijana wa ccm waliotumwa womeongezeka kwani tabia ni kama mimba hutoweza ficha kwani wanajaribu kujificha ila mwisho wao wanakuwa kama fundi wa mashineni wanachowaza ni pumba tu.
Dr tupo pamoja mpaka kieleweke
 
Jamaa umechemsha kisha umetokota. Ulitaka Dr. Slaa awaambie wananchi wachukue sheria mkononi kwa kuchoma moto mafisadi? Polisi na mahaka zimeliweza hilo la kutaka vibaka wauawe on the spot.

CCM ndo mabingwa wa kuzomea, mwulize Kikwete atakwambia jinsi alivyopata shida kuwanadi wagombea ubunge waliozomewa mbele zake. Hata hivyo Kikwete ni msanii mmoja wa waliozomewa kampa uwaziri.

Heri iwe kama mbeya, ni kuwapopoa tu!
 
Tuongozwa na Mfumo wa Ufisadi ndio maana hatuwezi kuzidi kuvumila ujinga wa wachache kwa kauli za rejareja za kuwa tudumushe amani ili wao wezi wazidi kutuibia.Hongera Sana Dr.Slaa
 
Du yaaani siamini kama bado kuna watu wenye masikio hawasikii na wana macho hawaoni,ni umasiki mkubwa sana kuliko wa mali,yaani Tunaibiwa wengine hawana habari,kazi ushabiki tu, mnapotetea ufisadi mnapewa nini sasa na hao wezi?acheni hizo tuikomboe nchi yetu.
 
Uzuri ni kwamba ikifika uchaguzi mtaambulia 21% cdm vs 70%..ccm

Then mtakuwa kwenye complain corner as usual where you belong ...
You should be specific which CCM are talking about CCM-A, CCM-B or CCM-RACHEL
 
  • Thanks
Reactions: Ame
You should be specific which CCM are talking about CCM-A, CCM-B or CCM-RACHEL

Any CCM can beat cdm by far!

With Slaa et al. mtalipua weee mwishowe mtalipuka wenyewe

Tunasubiri 2015 tuwaweke kwenye complain corner...as usual..
 
MI-JOKA UFISADI WA CCM HIVI SASA WAKO KWENYE KUMI NA NANE HIVYO NYOTE TULIZENI TU BOLI MTAONA HATUA TAMU ZAIDI ITAKAYOFUATIA!!!!!!!!

Napata picha unachokiongelea hapa Luteni ila ukweli wa mambo ni kwamba mashimo yoooote ya mi-nyoka ya CCM ndio sisi Nguvu ya Umma tulitangulia kuyaziba na kubakia na lishimo limoja tu ambalo ndio hivi tayari tumejaza moto mkubwa pamoja na magamba ya pilipili na petroli ili minyoka yooote na mayai yake yapate kuungua tokomea.

Katika hili hata tungependa kushika nyoka wa CCM moja baada ya nyingine ni kwamba tungefanya hivyo kabisa ila tu ukweli wa mambo ni kwamba kumeonekana ni vema tukaliache joka lizee life tu lenyewe kwa matatizo ya umri na njaa kwa kufungiwa ndani ya shimo na Watanzania wooote bila kujali tofauti zetu za kiitikadi.

Siku chache tu baada ya CCM kutangaza kujivua gamba Slaa alirusha list no.2, ni logic ndogo sana kuelewa kwa nini alifanya hivyo, ili uweze kuendelea kutumia simu lazima u top-up credit kwenye simu yako. Kwa hali ilivyo sasa uongozi mzima wa CCM na wanachama wake wamechanganyikiwa hawaelewi washike lipi waache lipi wamtetee nani wamuache nani ndiyo maana Nape na wenzake wameshindwa hata kuwataja ni akina nani wanatakiwa wajiuzulu, hata humu jamvini wana CCM damu tunaowajua wameshindwa kuchagua upande upi wautetee.

Ushauri wangu kwa Slaa kitendo ulichofanya ni sawa na kuchoma kichaka walimojificha nyoka wenye sumu kali joto litakapozidi lazima watatoka mmoja mmoja, tafadhali kaa mbali kabisa maana najua joto litakapozidi nyoka watatoka mbio kwa hasira huku sumu ikiwa nje nje na kuanza kugonga gonga chochote watakachokutana nacho. Tumeanza kuona gonga gonga hiyo mfano JF kuhusishwa na migogoro yao.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
“Wananchi wanaona yanayofanyika, mtoto wa rais, Ridhiwani Kikwete, amemaliza shule hivi karibuni lakini leo ni bilionea. Haya yote hayawezi kuvumilika hata kidogo.”
Swali na hoja nzuri... lakini nadhani hoja isiwe ubilionea, bali ameupataje

Labda anatumia majini kuupata hivyo we cant justify, but if he abuses powers, then he has to answer...

My point here is that not every billionaire is fisadi
 
Tatizo lenu ni kwamba duniani kote mekuwa second class sio kwa kupenda bali ni kwa sababu maalumu. Ishamel at work!

To be in safe side usipambane na watu wanamna hii, ugomvi uko mbele zaidi kuliko maslahi ya nchi
 
MI-JOKA UFISADI WA CCM HIVI SASA WAKO KWENYE KUMI NA NANE HIVYO NYOTE TULIZENI TU BOLI MTAONA HATUA TAMU ZAIDI ITAKAYOFUATIA!!!!!!!!

Napata picha unachokiongelea hapa Luteni ila ukweli wa mambo ni kwamba mashimo yoooote ya mi-nyoka ya CCM ndio sisi Nguvu ya Umma tulitangulia kuyaziba na kubakia na lishimo limoja tu ambalo ndio hivi tayari tumejaza moto mkubwa pamoja na magamba ya pilipili na petroli ili minyoka yooote na mayai yake yapate kuungua tokomea.

Katika hili hata tungependa kushika nyoka wa CCM moja baada ya nyingine ni kwamba tungefanya hivyo kabisa ila tu ukweli wa mambo ni kwamba kumeonekana ni vema tukaliache joka lizee life tu lenyewe kwa matatizo ya umri na njaa kwa kufungiwa ndani ya shimo na Watanzania wooote bila kujali tofauti zetu za kiitikadi.

Atleast you sound good! Maana sikupata hata mmoja humu mwenye kuona uhalisia wa hii vita. Watu wanaogopa vitu sivyo ogopeka na kusahau kuwa hakuna wisdom kwenye crisis ukitaka kumweza mwanadamu wewe mletee crisis kama ya mafuriko tu uone anavyohangaika. Wakati wao wakizama wengine tutakuwa ndani ya the ark tuna sail to the upper most part of enjoyment inayoletwa na breeze ya hiyo crisis. The arc this time ni kujitoa kwenye fellowship ya ufisadi wether you remain in CCM or you go to upinzani it does not matter ila pale ulipo do the right thing the intercept ikiwa utaifa. Ukifanya tofauti jiandae to join the chain of those filling to hell!
 
Huyo dogo ametumia mgongo wa baba yake kufisadi taifa! Kwani pale IMMA mshahara wake ulikuwa wakawaida tu na alishatimuliwa, sasa hebu tujiulize dunia kote hakuna kijana aliyezaliwa ktk familia masikini halafu ndani ya miaka miwili tangu amalize masomo akawa bilionea! Hapa kuna kitu!
Nadhani uijui vizuri IMMMA mkuu, wamiliki wake ni Ishengoma, Karume, Masha & Magai Advocates (IMMMA) hawa ni vijana wa Jk na Jaji Ishengoma jk kamtoa IMMMA, hapo kwenye blue napingana na wewe Ridhiwan kufukuzwa kazi IMMMA
 
Back
Top Bottom