Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Tumeshawajua janja yao,ukipeleka mahakamani wewe ukiwa mshitaki, obviously watahitaji evidence ulizonazo, watazikalia huku either wanazichakachua au la wakishindwa kuchakachua basi kesi inapigwa dil dale mpaka kesho na wahati huo HURUHUSIWI KUZUNGUMZIA TENA kesi iliyopo mahakamani. Dawa yao ni kuwaweka wao wawe washitaki katika jitihada za kujisafisha, wakati huo hawana clue kuwa una evidence kiasi gani.
Remmy,kwani wao wajinga hata wakubali kuchafuliwa hivyo? Si wapo waliotishia kushitaki kabla ya ku-mute bila maelezo,na baadhi yao kwa bahati nzuri wakajitokeza katika listi ya sacrifice ya Alex Sterwat Asseyers na wanaripoti kisutu hata leo? Kwani unadhani UWT au TAKUKURU hawana hizo evidences au wakiamua kuzipata unadhani watazikosa?
Ipo siku muafaka hizo evidences tutazihitaji tuu (when they matter most),wenzetu wa misri muda wao umefika na wanzitumia haswaa, baba na mwana wapo chini ya mkono wa sheria. Sisi kwa sasa hebu tugonge beats kisha wao wachague miondoko.
Remmy,kwani wao wajinga hata wakubali kuchafuliwa hivyo? Si wapo waliotishia kushitaki kabla ya ku-mute bila maelezo,na baadhi yao kwa bahati nzuri wakajitokeza katika listi ya sacrifice ya Alex Sterwat Asseyers na wanaripoti kisutu hata leo? Kwani unadhani UWT au TAKUKURU hawana hizo evidences au wakiamua kuzipata unadhani watazikosa?
Ipo siku muafaka hizo evidences tutazihitaji tuu (when they matter most),wenzetu wa misri muda wao umefika na wanzitumia haswaa, baba na mwana wapo chini ya mkono wa sheria. Sisi kwa sasa hebu tugonge beats kisha wao wachague miondoko.
Hivi kama ana ushahidi si awapeleke mahakamani jamani, kwa niaba ya wananchi. Achukue hatua zaidi ya kutaja tu.