unaongea pumba tu kwani kipato cha mtu ni mshahara peke yake wacha uzembe wewe tunataka ushahidi wenu hapo sio husda mlizo nazo roho mbaya ndio zinawasumbua na zitawauma sana aliepata kapata tu
You Pepombili are you mentally OK?
unaongea pumba tu kwani kipato cha mtu ni mshahara peke yake wacha uzembe wewe tunataka ushahidi wenu hapo sio husda mlizo nazo roho mbaya ndio zinawasumbua na zitawauma sana aliepata kapata tu
Mdau ungetupa walau kwa ufupi huo 'utajiri mkubwa' unaanzia wapi hadi wapi. Hizi statement za jumla jumla zina kama harufu ya majungu hivi! Yaani tuambie kwa mfano, Mzee wa Kijiji ana nyumba sabini, magari ya kifahari 20, viatu jozi mia, nk. Anayesoma anajua kweli huu ni utajiri mkubwa. Lakini kusema tu dogo Ridhwani ni tajiri mkubwa haina tofauti na wale vijana wa kijiweni waliomzushia Nyerenere kuwa ana viwanda vya meli Sweden!
Mdau ungetupa walau kwa ufupi huo 'utajiri mkubwa' unaanzia wapi hadi wapi. Hizi statement za jumla jumla zina kama harufu ya majungu hivi! Yaani tuambie kwa mfano, Mzee wa Kijiji ana nyumba sabini, magari ya kifahari 20, viatu jozi mia, nk. Anayesoma anajua kweli huu ni utajiri mkubwa. Lakini kusema tu dogo Ridhwani ni tajiri mkubwa haina tofauti na wale vijana wa kijiweni waliomzushia Nyerenere kuwa ana viwanda vya meli Sweden!
Dr Slaa siwezi kupinga unachokiongea maana wewe ni miongoni mwa viongozi wa kisiasa hapa Tanzania, je? vipi wananchi tunaweza kuthibitisha kauli zako unazosema tunaomba utuletee na ushahidi na sio maneno maana tunawaelewa wana siasa mulivyo na maneno mengi vinywani mwenu, kama unazo hizo documents za ushahidi wa mapato ya Muheshimiwa RA na RIZ kwa nini musiwatumie wanasheria wenu wa CHADEMA kuwapeleka mahakamani kama muna wasiwasi na source za mapato yao.
Mengi unayoyaongea ni kwa ajili ya maslahi ya nchi lakini je Rizwan Kumiliki mabilioni ni kitu cha hatari? Naelewa kwa ufahamu wangu Rizwan ni mtoto wa RAIS na baba yake alikuwa waziri katika wizara nyingi sana hapa Tanzania kabla ya kuwa Rais; ninavoelewa mimi Rizwan kumiliki Bilioni moja si kitu cha ajabu, eti kamaliza shule juzi ndio asiweze kumiliki hiyo ela haiingii akilini hata kidogo kwa mtoto wa kimasikini sawa ila Riz sio mtoto wa kimasikini akashindwa kujiingiza kwenye masuala ya kutafuta pesa.
Kama mna ushahidi wa wizi wa fedha muende mahakamani au kama ni siasa tu basi endeleeni (sikupingi Dr Slaa huwa napenda ila ushahidi wako uko wapi?) tuwekee ushahidi ila tunapomwita mtu fisadi kama Riz kweli tujue ili tusipate dhambi kumjadili mtu bila ya ushahidi.
Kila mwaka mtaishia kusema hivyo hivyo... Mlialikana kwenye sherehe za kuapishwa Silaa, hiyo mialiko iliishia wapi vile?
Kumbe Dr Slaa ndio Mwalimu wa Kuzomea! Hopeless!
Hatuangalii kunufaika kwa Chadema although lazima itanufaika kisiasa, tunaangalia sisi wananchi na taifa tutanufaikaje, jiulize Nyerere alipokata mirija ya mabwanyenye na kuzirudisha nyumba mfano za NHC nchi ilinufaika vipi.Wakishaachia ngazi hao wanaotajwa, Dr Slaa au CHADEMA watanufaika vipi? Hakuna namna nyingine ya kuzi-handle hizi tuhuma za mafisadi wa CCM na serikali yake NCHI ikanufaika?
Re: Slaa awalipua Rostam, Riziwan
Dr Slaa siwezi kupinga unachokiongea maana wewe ni miongoni mwa viongozi wa kisiasa hapa Tanzania, je? vipi wananchi tunaweza kuthibitisha kauli zako unazosema tunaomba utuletee na ushahidi na sio maneno maana tunawaelewa wana siasa mulivyo na maneno mengi vinywani mwenu, kama unazo hizo documents za ushahidi wa mapato ya Muheshimiwa RA na RIZ kwa nini musiwatumie wanasheria wenu wa CHADEMA kuwapeleka mahakamani kama muna wasiwasi na source za mapato yao.
Mengi unayoyaongea ni kwa ajili ya maslahi ya nchi lakini je Rizwan Kumiliki mabilioni ni kitu cha hatari? Naelewa kwa ufahamu wangu Rizwan ni mtoto wa RAIS na baba yake alikuwa waziri katika wizara nyingi sana hapa Tanzania kabla ya kuwa Rais; ninavoelewa mimi Rizwan kumiliki Bilioni moja si kitu cha ajabu, eti kamaliza shule juzi ndio asiweze kumiliki hiyo ela haiingii akilini hata kidogo kwa mtoto wa kimasikini sawa ila Riz sio mtoto wa kimasikini akashindwa kujiingiza kwenye masuala ya kutafuta pesa.
Kama mna ushahidi wa wizi wa fedha muende mahakamani au kama ni siasa tu basi endeleeni (sikupingi Dr Slaa huwa napenda ila ushahidi wako uko wapi?) tuwekee ushahidi ila tunapomwita mtu fisadi kama Riz kweli tujue ili tusipate dhambi kumjadili mtu bila ya ushahidi.
Pepombili
SI WAENDE MAHAKAMANI KAMA WAMESINGIZIWA, MSHITAKIWA SI YUPO? shida iko wapi, Dr. Sema tuu usiogope!
Wametafuta terminology ya KUVUA GAMBA ambayo hawakuifanyia tathmini sawasawa, na sasa wanapojaribu kuifanyia kazi inagoma kabsaaa!
Wamemtanguliza Nape mbele, naye anaenda kama kipofu, hajui yatakayotokea hapo mbele!...anyway, hata vitani ni lazima makuruta waamrishwe kusonga mbele ili wababe wajue kama kuna adui eneo hilo!
We ARE ASIDE NAPE, watching every move that you perform.
<br />Nyerere alipokata mirija ya mabwanyenye nchi ilinufaika vipi.