Slaa awalipua Rostam, Riziwan

Slaa awalipua Rostam, Riziwan

Kwani huyu Dogo anamiliki kiasi gani cha pesa?

kijana sio tajiri wanamsingizia tu nadhani kwa watu wanaojua juu ya mali zake ni chache sana

1. shelli za mafuta 30

2.hotel za kitalii 4

3. kampuni ya tour 1

Jamani hivi ni Vijisenti tu
 
Pepombili ni Riz. Dr.Slaa umesema ukweli.Kama Riz anaona ameonewa aende mahakamani ukatoe ushahidi unaothibitisha pasipo shaka lenye maana kuwa yeye si Bilionea.Kama Riz atakaa kimpya maana yake atakuwa amekubali kuwa yeye naye ni fisadi. Silence implies concerned. Nasubiri kwa hamu kesi itakayofunguliwa na Riz.
Riz naye apewe siku 90 ang'oke.Atoe gamba"skin shedding".
 
kijana sio tajiri wanamsingizia tu nadhani kwa watu wanaojua juu ya mali zake ni chache sana

1. shelli za mafuta 30

2.hotel za kitalii 4

3. kampuni ya tour 1

Jamani hivi ni Vijisenti tu

Du!.................
 
Hapo ndipo watu wanapo muona dokta amechanganyikiwa, maneno ya Salva Rweyemamu aliyokwisha yatoa kuwa dokta ameanza kuchanganyikiwa ndio yanaanza kuthibitika kwa kweli.

Uchungu kama sifongo unaumiza sana, vipenzi vyenu kuwa mafisadi, hamuamini kwani uongo uko wapi, vijana wengi wanataka kujua ni kazi gani Tanzania inaweza kukufanya billionea kwa miaka mitatu. Dr Slaa kauliza utajiri wake Rizone na Rostam wanaupata wapi? Kama mnawapenda na mnawajua si mseme biashara walizofanya kuingiza mabilioni? Nani hajuia Rizone na RA ni mabilionea lakini hatuoni biashara tunaona matumizi ya fedha tu na uwekezaji fedha zinatoka wapi?
 
ni mimi msaani, kioo cha jamii, ninaona mbali, nadarubini kali

kwanza huyo riziwani hata kama hela ya baba yake ni pesa za wana tanzania sio zake wala baba yake fisadi. Huyo mtoto riziwani anaenda mbaya kwa sababu kuna wakati wa uchaguzi amekua kwenye bar moja huko arusha nakutafuna pesa zetu hata hele imekua inadondonka mfukoni ajali na alikua na bodi gardi yani kwa nini ? Alafu anajenga hoteli kubwa sana arusha pesa amepata wapi ???

Huyo miran rostam yeye haasa anatakiwa kwanza ajipu pesa zote amepata wapi alafu awekwe ndani na kumfukuza nchini. Anyways dawa yao uko jikoni inachemuka.
 
Sasa KIPYA KIPI alichofichua huyo mzinifu? Mwenyewe ameshapata kusema kuwa billioni 185 ni kipato chake cha miezi minne, i.e. kipato chake cha mwaka ni billioni 185 x 3 = billioni 555.

Halafu hayo madai ya neno UFISADI kalianzisha yeye ndiyo kichekesho cha mwaka!!!!! Kwiiiiiiiii kwi kwi!!!!!!

Hivi kelele na maandamano ya katiba mpya, hali ngumu ya maisha, noti mpya yameishia wapi? Yaani yote hayo sasa yamewekwa pembeni na sasa ni kuwa wao ndiyo walioanzisha neno fisadi?
Kama huna la kuchangia si ukae kimya? Hueleweki kabisa unachokisema.
 
Kila mwaka mtaishia kusema hivyo hivyo... Mlialikana kwenye sherehe za kuapishwa Silaa, hiyo mialiko iliishia wapi vile?
Kudadeki,
Unanikumbusha fisi ambaye kila siku kazi yake ilikuwa ni kutetea simba. Simply kwa sababu simba wakimaliza kula wanamwachia masalia ya mzoga. Sasa huyu fisi kazi yake ilikuwa daima ni kuwakemea wanyama wengine wanaopita wakimind njia zao wenyewe na kuwaona kuwa ni tishio na si wanyama wema. Simply kwa sababu fisi alijiona yuko karibu na simba kwa sababu anaachiwa makombo. Ndicho hicho kinachokusumbua, kudadeki.
 
Tutahoji utajiri wa Ridhiwan
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk Willbroad Slaa amesema chama chake kinajipanga kuhoji kile alichodai utajiri mkubwa wa ghafla wa Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji na pia Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ridhiwan Kikwete.
Katika mkutano huo Dk Slaa alimtuhumu kuwa na utajiri uliopindukia ambao alisema haulingani na umri wake.
Dk Slaa alisema chama chake kina shaka na wingi wa fedha alizonazo kijana huyo na kwamba atahakikisha kwamba kigogo huyo anaiambia Chadema na Watanzania alipozipata.
Alisema kijana huyo alimaliza masomo yake muda mfupi uliopita, lakini tayari amekuwa bilionea akisisitiza kuwa chama chake kitahoji alipopata mabilioni hayo.
"Ninajua kwamba ana fedha nyingi, lakini huyu alikuwa mtoto wa shule juzi tu. Leo amekuwa bilionea! pale dar amenunua nyumba ya mabillioni ya shillingi, na hata hafanya kazi yake ya uwakili tangu amalize shule!!! Atatuambia amepata wapi hizo fedha, Chadema tutahoji ni wapi amezipata," alisema Dk Slaa.
Dk Slaa pia alizungumzia kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuwa kelele za wapinzani hazimnyimi usingizi na kusema watahakikisha halali.
Mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya Chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana alitoa kauli hiyo alipozungumzia ushindi wa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu akisema umeimarisha ngome ya upinzani bungeni.
"Rais Kikwete alisema kelele za upinzani hazimnyimi usingizi, lakini kwa kumchagua Lissu mmeongeza nguvu ya upinzani na sasa hatalala," alisema na kuongeza:
“Ujumbe wangu kwenu ni kwamba sasa mmemchagua mbunge jasiri anayeweza kumwambia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mbele ya Waziri Mkuu kuwa amekuwa mvivu kusoma.”
Alisema kutokana na ujasiri huo wa Lissu sasa miswada mibovu haitapelekwa bungeni kama ule wa katiba.
 
Dr Slaa naamini kuwa kila mara anaposema ana uhakika.

Sasa tujiulize hizi mbinu zake za kuwaanika hawa mafisadi ambazo kama sikosei zilianza pale mwembe tayari...Je zimeleta mafanikio kiasi gani katika nchi? zaidi ya sisi ya walalahoi kuwatambua na kuwachukia?.

Je Dr Slaa huna mbinu zingine za kuweza kuwa wajibisha hawa mafisadi?...Maana kama kuwataja hadi sasa ni miaka kadhaa na bado tena tumewachagua na bado wako wanaendelea kunyonya.
 
mnh amakweeli mwenye maho ataongezewa............nimeamini kuna WANANCHI na WENYE NCHI.
 
View attachment 27905
wakamuulize huyo bwana, yeye aliiba kulikwe kikwete, na UN walipomwambi awe mdogo yeye jeuri tu akusikia la mkuu,
watanzania tutaacha kubiga na kuchoma vibaka na huio moto utakuli watu kama riz 1,
baba yake anamtumia kuiba kwa sababu ana uchungu naye yeye ni mtoto wa nje, kwa nini hasiwatumi watoto wa mama wa wama,
chadema wakiingia madaraka ataishia jera na watoto wa bi mkubwa wanakula maisha maana wao hawashirikishwi katika wizi
 
Ama kweli, soon JK ataogopa na kuwaachia kina Lowassa Urais, maana sote tumeingia kuwasaidia bila kujua na wao sasa ni MALAIKA na Rostam sasa eti kashfa yake ni fedha ambazo alizitaja mwenyewe ili aje atoe ufafanuzi na kuonekana anaonewa!!! Duh, yaani badala ya kutaka achunguzwe kuhusu Kagoda, Dowans,na biashara nyingine hatari tunahoji fedha za Vodacom ambazo si zake pekee
 
JE RIDHIWANI KIKWETE AMEWAHI KUPOKEA, KUSIMAMIA NA KUSHINDA KESI NGAPI MAHAKAMANI KAMA MWANASHERIA BILA KUUNGA TERA NYUMA YA MI-JOPO YA WANASHERIA WENGINE????

Hivi anazo kesi ngapi alizowahi kuzipokea, kuzisimamia hadi kushika huko mahakamani, yeye kama yeye bila ya kuunga unga mitera nyuma ya jopo la wanasheria wengine ili tuweze kutafuta namna ya kumpima tangu atoke shuleni pale Mlimani na pia kuangalia kipindi kizima aalipokua akitoa huduma kama hizo ndani na nje ya nchi hata akapata bahati ya kuneemeka kujiunga na familia ndogo ya Ma-Billionea wetu hapa Bongo.
 
JE RIDHIWANI KIKWETE AMEWAHI KUPOKEA, KUSIMAMIA NA KUSHINDA KESI NGAPI MAHAKAMANI KAMA MWANASHERIA BILA KUUNGA TERA NYUMA YA MI-JOPO YA WANASHERIA WENGINE????

Hivi anazo kesi ngapi alizowahi kuzipokea, kuzisimamia hadi kushika huko mahakamani, yeye kama yeye bila ya kuunga unga mitera nyuma ya jopo la wanasheria wengine ili tuweze kutafuta namna ya kumpima tangu atoke shuleni pale Mlimani na pia kuangalia kipindi kizima aalipokua akitoa huduma kama hizo ndani na nje ya nchi hata akapata bahati ya kuneemeka kujiunga na familia ndogo ya Ma-Billionea wetu hapa Bongo.

Wanasheria wa JF tusaidieni kujibu maswali haya ila naongeza, je, kazi za wanasheria ni kusimamia tu kesi? Na je mapato makubwa ya wanasheria yanapatikana mahakamani pekee?

Pia wana JF tujiulize kwann sasa ndio hoja hizi zinapata kasi? Je, ndio mapigo ya kina RA haya? Kama ndio wana JF role yao nini? Speed ya thread zinazohusiana na kina RA na counter attack imekua kubwa kupita kiasi kama zilivyo habari na matamko


Ubillionea wa ridhiwan kikwete ni mfano wa mbarak wa misri na wanawe? (10) ?Edit?*?Delete?

EL; RA & AC Wamtunishia Misuli JK: Wagoma Kujibu Barua (77) (*1*2*) ?Edit?*?Delete?

Siasa za kinafiki kama za ccm zinafaida gani kwa taifa? (0) ?Edit?*?Delete?

Hii ndiyo Tanzania, zaidi ya ile unayoifahamu (4) ?Edit?*?Delete?


Slaa awalipua Rostam, Riziwan (188) (*1*2*3*4*5*) ?Edit?*?Delete?

Je? Chadema mko tayari kurudi CCM kama haya yatafanyika? (30) ?Edit?*?Delete?

Dk slaa ,anakubalika na media tu kama kweli anakubalika na wengi kwanini haingi zone hizi? (35) ?Edit?*?Delete?

Nzega: Said Nassor Bogoile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla? (259) (*1*2*3*4*5*...*Last*Page) ?Edit?*?Delete?


ccm kielelezo cha umasikini (1) ?Edit?*?Delete?

Operation Chaos: Lowassa, Chenge, Rostam et al; Don't Quit CCM! (138) (*1*2*3*4*) ?Edit?*?Delete?

Makamba: Naenda kuandaa makao, nilipo nanyi muwepo (2) ?Edit?*?Delete?

Ndio Kule CCM Kujivua Gamba au Kujiua Kamba baada Kumpuuza Prof Palamagamba?? (8) ?Edit?*?Delete?
 
Back
Top Bottom