Kuna viashiria vya hali hiyo,.
Yupo busy sana kutoa single zilizojaa majina bila contents za kutosha, usishangae kesho akiwa kwa wanavijiji wasiojua ata GB ni nani akakutaka umueleze vipesa vyako umevipata wapi wakati angeweza tu kukuuliza kwa simu na ukamjibu.
Anatafuta umaarufu kwa vitu cheap sana!![/QUOTE]
hapo kwenye bluu ndipo napokuona wewe sakala,kama sio slaa ni nani aliyesababisha waziri mkuu kujiuzulu na baraza zima kuvunjwa?,nani amesababisha mpaka sasa mnageukana wenyewe kwa wenyewe?nani alimpa kikwete siku tisa kushughulikia bei za vitu na kikwete kuorder bei ya sukari ishuke kabla hata siku 9 hazijaisha?hivi baba(jk)anapotajwa kwenye mkutano wa hadhara kuwa ni fisadi halafu anakaa kimya ina maana gani?nani ataamini kuwa utajiri wa mtoto sio wa wizi wa mali za umma?