Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,663
siezi bishana nawe bana umeongea point.ndo maana siwamini wanasiasa.alikuepo obama akajidai mtu wa wanyonge kumbe mnafiki mkubwa.anapokea amri kutoka kwa mabanker,oil companies kama agip,chevron,military industries complex wanaenedesha vita ili silaha ziuzwe na makampuni ya mafuta yapate contracter,huku makampuni ya kina dick chen ,HALIBUTON yakipata tenda za kusupply jeshini kuanzia magari,chakula hadi uniform,itakua hapa.we need evidence
Usije tuambia alikuwepo Yesu akaondoka akasema atarejea, miaka 2010 ishapita bado kuja aliowaambia wote weshakufa!!! sasa tuelezee wewe husadiki hadi uone na kugusa? CCM Wote wamefukuza magamba matatu yanayohisiwa ni mafisadi wameamini kwa kusikia wewe upo upande upi?
Hebu Jitokeze!!!! simama! mbele za watuu!! Nimeamini kuwa kiwi haichafui Kiwi Hung'arisha!:A S clock: