bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,841
Jamani mbona Dr.Slaa anamtaja Ridhwani tuu vipi kuhusu huyo mtoto wa Lowassa amemnyamazia kimyaaaaaaa! Au ufisadi ni kwa upande mmoja tu?
Sasa tupime mali ya mtoto wa Lowassa na Ridhwani ipi ni nyingi zaidi? Mwenzake amemtangulia kwa kununua nyumba huko UK.
Sasa tupime mali ya mtoto wa Lowassa na Ridhwani ipi ni nyingi zaidi? Mwenzake amemtangulia kwa kununua nyumba huko UK.