ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,247
- 14,772
Mkuu wewe si pro-Sizonje? au kuna mtu ka-hack password?
Mkuu wewe si pro-Sizonje? au kuna mtu ka-hack password?
Si lolote si chochoteSisonje nini maana yake
Laana ipi sijala cha mtu tatizo lenu mnataka mambo mazuri kwa wakati mmoja wakati hata kodi kulipa kwa mijeledi fanya kazi lipa kodi stahiki tulia usubiri mavuno kazi kulia lia tu .
Naona mashabiki wa timubya sizonje wameanza kung'oa viti sasa, kocha kapagawa mashambulizi kila konaa, inapigwa majaro moja kali paleeeeeeeeeeeeeeeeeeee viungo wanakatika kwelikweli wanaonekana kama hawana mazoezi yakutosha, masudi ananidokeza hapa kiwa wachezaji wengi wamesajiliwa kutoka ndondo cup.....
Ndiyo kwanza dakika ya 20 afu mchezo ndio huu...Naona mashabiki wa timubya sizonje wameanza kung'oa viti sasa, kocha kapagawa mashambulizi kila konaa, inapigwa majaro moja kali paleeeeeeeeeeeeeeeeeeee viungo wanakatika kwelikweli wanaonekana kama hawana mazoezi yakutosha, masudi ananidokeza hapa kiwa wachezaji wengi wamesajiliwa kutoka ndondo cup.....
Kocha anajaribu kuvua koti na kinywa maji kidogo, mvua kibwa sana inanyesha wasilikizaji, giza limetanda uwanjani hapa shamba la bibi mmakonde, taa zinawaka zinazima, umeme hakuna, jenereta halina mafuta mishumaa imekwama bandarini. Taharuki kubwa sana mashabiki wanataka kumpiga kocha, viti vimevunjwa uwanja mzima....
Mpira bado ni dakika ya 20 tope limejaa uwanja mzima, kila anyegusa mpira anateleza kwa kasi ya umeme, kocha sizonje anatamani kucheza yeye kila namba.... Anapangua safu ya ushambuliaji, mabeki nao wengi majeruhi.... Hali inatisha ..... Tunarudi studio kwa matangazo ya wadhamini tutareje hivi punde... Kwako chunha runza studio hapo.....
Mkuu mimi sifungamani na siasa za upande wowote ule, kama watoto wa wapiga kura wanashindwa kusoma elimu ya juu na mimi ninatia neno.Mkuu wewe si pro-Sizonje? au kuna mtu ka-hack password?
Ubarikiwe na Bwana Mkuu.Mkuu mimi sifungamani na siasa za upande wowote ule, kama watoto wa wapiga kura wanashindwa kusoma elimu ya juu na mimi ninatia neno.
Benchi la ufundi linamuogopa sizonje,wanalalamika chinichini kuwa hashaurikiIvi timu anayo ikochi ina benchi la ufundi kweli?
I agree!!This sizonje thread may be the best thread of the year 2016.
Asante ni kilugha ganiSi lolote si chochote
Na Pogba pia lakwakeSIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....
Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......
Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......
Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Huyu jamaa anapiga namba ngapi vile?shigongo alia
Kaka mbona umekazania kwenye tafsiri? Unataka kuuaminisha umma kuwa Rais ndio Sizonje?Wanafiki tu wale wanauma na kupuliza tena hao ndio wakukaa nao mbali kama Ukoma Rais hana shida wenye shida wao kwa madhambi yao waliojifanyia ndio yanawatafuna sasa kaza buti Rais wangu nyeupe itabaki kuwa nyeupe tu .
Kimtang'ataAsante ni kilugha gani
Hahahaha nimecheka sana!!Naona mashabiki wa timubya sizonje wameanza kung'oa viti sasa, kocha kapagawa mashambulizi kila konaa, inapigwa majaro moja kali paleeeeeeeeeeeeeeeeeeee viungo wanakatika kwelikweli wanaonekana kama hawana mazoezi yakutosha, masudi ananidokeza hapa kiwa wachezaji wengi wamesajiliwa kutoka ndondo cup.....
Kocha anajaribu kuvua koti na kinywa maji kidogo, mvua kibwa sana inanyesha wasilikizaji, giza limetanda uwanjani hapa shamba la bibi mmakonde, taa zinawaka zinazima, umeme hakuna, jenereta halina mafuta mishumaa imekwama bandarini. Taharuki kubwa sana mashabiki wanataka kumpiga kocha, viti vimevunjwa uwanja mzima....
Mpira bado ni dakika ya 20 tope limejaa uwanja mzima, kila anyegusa mpira anateleza kwa kasi ya umeme, kocha sizonje anatamani kucheza yeye kila namba.... Anapangua safu ya ushambuliaji, mabeki nao wengi majeruhi.... Hali inatisha ..... Tunarudi studio kwa matangazo ya wadhamini tutareje hivi punde... Kwako chunha runza studio hapo.....