gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
JP mpiana
Ataurusha kwenye the coming speech yake.Mkuu kwa taarifa za kiintelijensia nilizopata Sizonje kausoma huu uzi mwanzo mwisho.
Ngoja amng'ang'anie Magufuli,sisi tunaongelea kuhusu Sizonje.Tafsiriyake atabaki nayo twende na sizonjewetu.Kaka mbona umekazania kwenye tafsiri? Unataka kuuaminisha umma kuwa Rais ndio Sizonje?
Mpaka dk hii kila mtu kwishasoma tarakimu!Mkuu wewe si pro-Sizonje? au kuna mtu ka-hack password?

eti saivi anadai kashuka kiwango cha kukusanya kodi.Nikipata nauli nitakuja maana mtaani hali mbaya wachezaji tume choka wote sio wa timu yko pekee hata wale wa upinzani.Tatizo mashabiki wanazingua,....kwanini tusiingie uwanjani kukinukisha kama wale mashabiki wa Zamalek ya Misri?Mpaka dk hii kila mtu kwishasoma tarakimu!
Hakuna cha pro
Nasikia utani kuwa Kenyatta aliwahi mwambia mchonga kuwa anatawala kondoo isije kuwa kweliTatizo mashabiki wanazingua,....kwanini tusiingie uwanjani kukinukisha kama wale mashabiki wa Zamalek ya Misri?
Hilo ni jambo lililo wazi, huitaji kuwa na PhD hewa kama ya Sizonje kulifahamu hilo......Mashabiki pia wanachangia kwa kiasi kikubwa timu kufanya vibaya.Nasikia utani kuwa Kenyatta aliwahi mwambia mchonga kuwa anatawala kondoo isije kuwa kweli
tafuta kamsi sanifu ya kiswahili.Sisonje nini maana yake
Kweli elimu haina mwisho hii ya paka ndo naijua leoTeh teh teh teh! Mkuu paka akitaka kupita kwenye uchochoro mwembamba huwa anaupima upana wake kwa masharubu. Tatizo la huyu mwenye akili kuliko wote hakuchungulia ndani ya nyumba kuna nini matokeo yake hatujui tunakoelekea kila ukiamka utatamani ya jana. Nchi inaenda kimsopolosopolo
!!Mkuu mimi ningekujua ulipo ningekuletea scania ya beer ya Kilimanjaro.Haha mkuu kwa ukata huu wa kupigiwa mnada mali zetu jeuri hii umeitoa wapi? Hala hala asikusikie Sizonje maana hataki muishi kama malaika!!
Haha kweli mkuu... nasikia ktk pesa za wafadhili bilion 900 ni 100 bil tuuu zilizotolewa mpaka sasa!!Mkuu mimi ningekujua ulipo ningekuletea scania ya beer ya Kilimanjaro. Wanaolia lia ni wale walioishi kwa msaada wa chama dola sisi wengine mbona kumechanua kwa kuishauri hii serikali ya Sizonge kwa pesa za wafadhili. Kusoma kuzuri aisee. Wafadhili hawainusi serikali wanakuja kwetu wataalamu tunaotofautiana na Sizonge.
Haha kweli mkuu... nasikia ktk pesa za wafadhili bilion 900 ni 100 bil tuuu zilizotolewa mpaka sasa!!
Chezea wenye akili zao wee.Safi kabisa!! Wasije zifanya kama za wahanga wa Kagera!!