Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Ngoja waje dada, umejipanga lakini? Wana mineno michafu hao wakiguswa kunakogusika. Utaitwa majina yote.
Muazime helementi maana atakula jabali za kichwa kama zote😂😂😅
 
wapi niliposemea kwamba nauza ss jmn. Huo ndo ukweli lkn, mwanamke matunzo. Sio ugali wa shikamoo afu untk mwanamke
Matunzo si ujitunze mwenyewe sasa kwani lazima utunzwe na boyfriend? Hao wanaojitunza wanawezaje?
 
Ww km unajua wajibu wako bs tulia. Ni jambo jema Ilo. Kuwa na sura au kutokuwa na sura haviingiliani ivyo. Unaweza ukawa na shepu mbovu na mwanaume akafa akaoza na ukahudumiwa km kawaida. Ni swala la upendo tu. Apa tunaangalia wasiosettle kimaisha alafu antk kipoozeo
Kwahio ukiwa huja settle kimaisha hutakiwi kugonga mbususu? Akili za hovyo kabisa hizi
 
bila samahani apa ni sehemu ya kujipumzisha tuu. Ss mkuu Mimi cjaongelea sura, je kwa yule mwanaume Hana Kazi, yupo kijiweni na anamtk demu mkali kbs na uwezo wa kummiliki Hana. Apo tunawekaje ss lbd?. Na yeye uwezo hanaaa
Demu anamilikiwa kwa kupewa hela?

Demu anakazwa na muhuni na huo ndio utaratibu hayo maswala ya kupewa hela ni subjective! Kama unaona hela ndio mapenzi tafta zako na ujitie vidole chumbani usikae ukamsogelea mwanaume!
 
Kwa hiyo unataka kusema kua wanawake hua hawahitaji dusherere?
Msifanye mapenzi kama ajira , fanyeni mapenzi iwe sehem tu ya kuleta furaha na starehe ya kuongeza siku za kuishi , lakin
Mapenzi yakiwa ajira , mwisho wake ndio huu wa kuja kulalamika hujuapewa hela ,
Yatakuwaje furaha kama hutekelezi wajibu wako?
 
Iyo laki 3 nimetolea mfano tu jamaniii. Mbn mnaisakama sn iyo laki 3 .
Kwanini usitolee mfano buku kenge wewe 😂 kimtokacho mtu ndicho kimjazacho nafsi! Pole sana kwa kuikosa 300K ila nakusihi pambana kuitafuta usitegemee mwanaume akupe hela wakati yeye mwenyewe hana!
 
Tatizo wanawake wengi mmegeuza mapenzi kama ajira aisee , unaanzaje kwanza kumpiga mtu kizinga cha laki tatu c mshahara wa MTU huo ,
Tafuta kazi ya kufanya ili uache kulalamikia wanaume kwa kuto kukupa pesa ,
Pia mtu ambaye inatakiwa kukugharamikia kwa kila kitu ni mmeo na c mwanaume ambaye umekutana nae tu barabarani tu , unaanza kumtwisha majukum wakati hata kwenu hajulikani , huu ni utapeli kabisa
Hahahahahah wanawake wengi mahusiano wameyageuza source ya kipato halafu wanatumia lugha kali za kufedheesha ili tu mtu ujiskie vibaya kuwa nao bila kuwapa hela zako! Its just a mind game and the weak fall prey!

Hela tupeane kama utaweza hilo sharti sawa sio unataka mimi kunigeuza money counter yako!
 
Acheni upuuzi nyie, ngenya sio equivalent na pesa! Mkiitwa malaya mnakuja juu oh nyie si ni kama mama zenu blaah blaah!!!

Mama zetu wangekuwa na fikra za kichoko namna hii tusingekuwepo leo! Wengi wameuza mama ntilie na kupika pombe pindi washua walivyo lost kimaisha na bado K walitoa tukazaliwa mabaharia! Sasa nyie leo kitu kidogo tu mnataka kuzifanya Ngenya kama kitega uchumi, ni umalaya huo in another form. K umepewa ni ya uzazi sio biashara.
Mama zenu si wapo? Muwatafute hao basi kazi iwe rahisi.
 
Kabisa, waache tu wang'ang'anie mapenzi ilhali hujui kesho utakula. Wkt nguvu izo angezitumia kutafuta pesa kwa juhudi, akizipt mbn mwanamke atamuona mtamu, sbb atakuwa anajua wajibu wake km mwanaume

So a man anatakiwa awe vizuri kipesa ili a-date na mwanamke asie na pesa, wanawake wengi mnajionaga special sana, cjui ni nini kinawafanya mjione hivyo, entitlement mlionayo c ya nchi hii..

Unajifaragua hapa jukwaani kuwa unataka kuhudumiwa wakati ukipata shababi handsome boy anakukula bure, na hela hakupi Johhana
 
Mama zenu si wapo? Muwatafute hao basi kazi iwe rahisi.
Uzuri wanawake mpo wengi, nyie mnaolalamika tuwakumbushe tu sikuhizi wanawake wapo wenye interest tofauti tofauti!

Kuna wadangaji kama mtoa mada ambao wao income streams zao zina depend kwenye kuvuliwa chupi tu. Yani ili aende saluni ni lazma awe kavuliwa chupi, ili abadilishe nguo ni lazma amvulie mtu chupi, ili aendeshe gari ni lazma amvulie mtu chupi, ili alipe kodi ya pango lazma aliwe sana yani! Hawa ndio team mtoa mada na wapambe wake 😂😂😂wanalia lia kuikosa hela ya mwanaume.

Kuna ambao wameshajikomboa kiuchumi hawa ndio wanataka mapenzi tu ya dhati. Unapewa mbususu vizuri tu na gharama ni ndogo ndogo za outing tu hamna kubebeshana mizigo isiobebeka. I respect and love these women more sababu wako affectionate! Pesa yako utampa kama shukurani tu siku ukijiskia ila hawezi kuku bug kwanini humpi!

Kwahio kama nyie mnafikri tutakosa K za kumbato mmechelewa sana yani. We sailors sail with the sea waves!
 
Back
Top Bottom