Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Sasa unapolazimisha wewe upewe hela ujiulize swali hilo hilo “ili?”

Unataka upewe hela wakati wewe kutoa huwezi kenge maji ww😂 toa hela ili siku ukiomba usionekane mshenzi! Tupeane kama tunavyopeana vikojoleo na hio ndio balance of trade.
 
So a man anatakiwa awe vizuri kipesa ili a-date na mwanamke asie na pesa, wanawake wengi mnajionaga special sana, cjui ni nini kinawafanya mjione hivyo, entitlement mlionayo c ya nchi hii..

Unajifaragua hapa jukwaani kuwa unataka kuhudumiwa wakati ukipata shababi handsome boy anakukula bure, na hela hakupi Johhana
Hahahahahaha wanawake wadangaji wanajiona such special creatures 😂 nilikuwa namuangaliaga EX wa Rayvanny anavyojiona special kwenye interviews zile ila alipokuja kutoswa looh😂 kanalia lia kama kafala!

Sahizi ukifatilia utakuta kuna muhuni tu anajipigia free mandela!
 
Weeeeee thubutuuu, laki 3 nzima nimuonge mwanaume?. Haijawah nitokea na sithubutu

Yesu alisema Unachopenda kutendewa, na wewe watendee wengine.. sasa kama we unapenda kupewa laki 3 na mwanaume, kwanini wewe usipende kumpa mwanaume wako laki 3?

Ikiwa wewe hupendi kutoa laki 3 kwa mwanaume unae-date nae, kwanini mwanaume unae-date naye akupe laki 3 yake?

Sadly nyie ndo mtakaoja kuwa wake zetu, wengi wenu mna roho mbaya, Mko selfish, toxic & evil Johhana
 
Rafiiiiiiiikiiiiiiiiiiiiiii..kimeumanaaa tayariiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikwambia uwe makini lakini
 
Uzuri wanawake mpo wengi, nyie mnaolalamika tuwakumbushe tu sikuhizi wanawake wapo wenye interest tofauti tofauti!

Kuna wadangaji kama mtoa mada ambao wao income streams zao zina depend kwenye kuvuliwa chupi tu. Yani ili aende saluni ni lazma awe kavuliwa chupi, ili abadilishe nguo ni lazma amvulie mtu chupi, ili aendeshe gari ni lazma amvulie mtu chupi, ili alipe kodi ya pango lazma aliwe sana yani! Hawa ndio team mtoa mada na wapambe wake wanalia lia kuikosa hela ya mwanaume.

Kuna ambao wameshajikomboa kiuchumi hawa ndio wanataka mapenzi tu ya dhati. Unapewa mbususu vizuri tu na gharama ni ndogo ndogo za outing tu hamna kubebeshana mizigo isiobebeka. I respect and love these women more sababu wako affectionate! Pesa yako utampa kama shukurani tu siku ukijiskia ila hawezi kuku bug kwanini humpi!

Kwahio kama nyie mnafikri tutakosa K za kumbato mmechelewa sana yani. We sailors sail with the sea waves!
Hebu subiri kwanza, hili gazeti lote ni langu?
 
Uzuri wanawake mpo wengi, nyie mnaolalamika tuwakumbushe tu sikuhizi wanawake wapo wenye interest tofauti tofauti!

Kuna wadangaji kama mtoa mada ambao wao income streams zao zina depend kwenye kuvuliwa chupi tu. Yani ili aende saluni ni lazma awe kavuliwa chupi, ili abadilishe nguo ni lazma amvulie mtu chupi, ili aendeshe gari ni lazma amvulie mtu chupi, ili alipe kodi ya pango lazma aliwe sana yani! Hawa ndio team mtoa mada na wapambe wake wanalia lia kuikosa hela ya mwanaume.

Kuna ambao wameshajikomboa kiuchumi hawa ndio wanataka mapenzi tu ya dhati. Unapewa mbususu vizuri tu na gharama ni ndogo ndogo za outing tu hamna kubebeshana mizigo isiobebeka. I respect and love these women more sababu wako affectionate! Pesa yako utampa kama shukurani tu siku ukijiskia ila hawezi kuku bug kwanini humpi!

Kwahio kama nyie mnafikri tutakosa K za kumbato mmechelewa sana yani. We sailors sail with the sea waves!
Umetembelea MMU hizi siku za karibuni kweli? Au mnajifariji tu
 
Habari za wakati huu, napenda kuulizia hivi husband material huwa anapatikana wapi?. Maana vijana wa wakati huu ata nashindwa kuwaelewa kabisa mambo yao, wengi wanapenda kulelewa na hawafaham kabisa majukumu yao.

Unakuta mtu Hana Kazi, kula kulala kwa baba alafu anahitaji mwanamke anayepambania maisha yake. Akiombwa ata laki 3 anahaha, anatetemeka. Ss huna Kazi mwanamke wa nini?.... Mwanamke anahitaji matunzo, anahitaji kujaliwa, mwanaume unatakiwa ujuwe majukumu yako na mwanamke naye ajue majukumu yake. Lkn siku hiz majukumu ya mwanamke anafanya mwanamke na majukumu ya mwanaume anafanya pia mwanamke. Mi nashindwa elewa kabisa.

Ukiwa hupendwi ni hupendwi tuuu, usiforece kupendwa ilhali hujui nini mwanamke anataka. Over.... Muwe na mapumziko mema.
haya mambo si tulishamalizana baada ya haki sawa sasa kulelewa inatoka wapi
 
Sasa unapolazimisha wewe upewe hela ujiulize swali hilo hilo “ili?”

Unataka upewe hela wakati wewe kutoa huwezi kenge maji ww toa hela ili siku ukiomba usionekane mshenzi! Tupeane kama tunavyopeana vikojoleo na hio ndio balance of trade.

Yaani nyie kutoa hela sio ombi, ni lazima. Hamtaki basi tulieni tu, tusitafutane.
 
Yaani nyie kutoa hela sio ombi, ni lazima. Hamtaki basi tulieni tu, tusitafutane.
Hahahahahah ukiona umetafutwa jua unahitajika kwa kazi maalumu!😂 Mission ikiisha itabaki story tu!
 
MMU kumejaa wadangaji sikuhizi, njaa kali sana maniner! Mnafanya kubadili ID ili tusiwajue tu ila wakulungwa tunazinyaka code!
Kumbe hukunielewa!! Hebu tuliza akili kwanza kidoogo. Achana na na na hizo nyuzi za wadangaji wenzio kafungue nyuzi za wanaume ndio utanielewa hiyo comment ilimaanisha nini. Sisi sio wengi kama mnavyojiaminisha aisee, kuna muda tunatoweka ghafla na dunia ibasimama
 
Back
Top Bottom