Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Na wote hao wanataka kujipenyeza kwa kutumia umaarufu wako hapa. Ambacho hawajui ni kwamba there will never be another Jojo here. Huoni hata mada za kichovu wanazoanzisha (na kuishia kuzikimbia?). The Jojo I know will never start a lame topic like this and and end up running away!
 
Na wote hao wanataka kujipenyeza kwa kutumia umaarufu wako hapa. Ambacho hawajui ni kwamba there will never be another Jojo here. Huoni hata mada za kichovu wanazoanzisha (na kuishia kuzikimbia?). The Jojo I know will never start a lame topic like this and and end up running away!

Hahhahaha sidhani kama ni kweli SHIMBA YA BUYENZE
Ingekuwa ni jina unique kama lako mfano mtu akija na ID SIMBA YA BUYENZE ambayo inakaribiana na ID yako ningeona kweli mtu anajaribu 'kujipenyeza'

Lakini kwa jina kama joanah ni common sana na watu wengi wanaitwa hili jina

Sidhani kama mimi ni maarufu namna hiyo hata mtu atake kujiita kama mimi...kwanza hata akijiita kama mimi anapata faida gani?mimi mpaka sasa sijaona umuhimu wa kuwa maarufu kwa hapa JF

Halafu kwa taarifa yako tu nimekumiss,sijui mie ndo nimekuwa adimu ama ni wewe hauonekani humu
 
Back
Top Bottom