Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Sawa lakin swali ni mwanaume asiye na kaz haruhusi kupendwa/kuwa kwenye mahusiano?

Na mwanamke akikoswa kiru gani asipende/afai kuwa kwenye mahusiano?
Ndo mn nilijibu pale juu, kwa mwanamke kukosa kitu haileti ugumu saaaaana. Ila pia wapo wanawake wanaachwa kwa kukosa kitu, kulingana na chaguo ambalo mwanaume analitakaa
 
Sasa upo kwenye uchumba hata hujui mwenzako anaishi wapi alafu unaomba laki tatu kweli Johhana?

Kama umetania sawa, ila kama upo serious sidhani kama unaweza kuwa mama wa familia huko mbeleni.
Iyo laki 3 nimetolea mfano tu jamaniii. Mbn mnaisakama sn iyo laki 3 .
 
Wapo wanawake wa buku 3 Buguruni hao wanatufaa sana, sema nyie wanawake wenye hela mnatushobokea kutokana na kazi zetu tunazowaonyesha. Sisi kwenu tunakuja kikazi tu,, kama hauna hela niache na bby wangu wa Buza ambaye tumeahidiana mpaka ndoa.

We unaniomba laki3 wakati my wife tobe namwachia 50 kwa matumizi ya mwezi mzima ,,,, Kwa akili yako unategemea nitakupa hiyo laki 3?

Lete mkwanja nimpeleke my wife wangu salon.
 
Habari za wakati huu, napenda kuulizia hivi husband material huwa anapatikana wapi?. Maana vijana wa wakati huu ata nashindwa kuwaelewa kabisa mambo yao, wengi wanapenda kulelewa na hawafaham kabisa majukumu yao.

Unakuta mtu Hana Kazi, kula kulala kwa baba alafu anahitaji mwanamke anayepambania maisha yake. Akiombwa ata laki 3 anahaha, anatetemeka. Ss huna Kazi mwanamke wa nini?.... Mwanamke anahitaji matunzo, anahitaji kujaliwa, mwanaume unatakiwa ujuwe majukumu yako na mwanamke naye ajue majukumu yake. Lkn siku hiz majukumu ya mwanamke anafanya mwanamke na majukumu ya mwanaume anafanya pia mwanamke. Mi nashindwa elewa kabisa.

Ukiwa hupendwi ni hupendwi tuuu, usiforece kupendwa ilhali hujui nini mwanamke anataka. Over.... Muwe na mapumziko mema.
Tatizo wanawake wengi mmegeuza mapenzi kama ajira aisee , unaanzaje kwanza kumpiga mtu kizinga cha laki tatu c mshahara wa MTU huo ,
Tafuta kazi ya kufanya ili uache kulalamikia wanaume kwa kuto kukupa pesa ,
Pia mtu ambaye inatakiwa kukugharamikia kwa kila kitu ni mmeo na c mwanaume ambaye umekutana nae tu barabarani tu , unaanza kumtwisha majukum wakati hata kwenu hajulikani , huu ni utapeli kabisa
 
Ndo mn nilijibu pale juu, kwa mwanamke kukosa kitu haileti ugumu saaaaana. Ila pia wapo wanawake wanaachwa kwa kukosa kitu, kulingana na chaguo ambalo mwanaume analitakaa
mwanaume asiye na kaz haruhusi kupendwa/kuwa kwenye mahusiano? Hili ujajibu
 
Wapo wanawake wa buku 3 Buguruni hao wanatufaa sana, sema nyie wanawake wenye hela mnatushobokea kutokana na kazi zetu tunazowaonyesha. Sisi kwenu tunakuja kikazi tu,, kama hauna hela niache na bby wangu wa Buza ambaye tumeahidiana mpaka ndoa.

We unaniomba laki3 wakati my wife tobe namwachia 50 kwa matumizi ya mwezi mzima ,,,, Kwa akili yako unategemea nitakupa hiyo laki 3?

Lete mkwanja nimpeleke my wife wangu salon.
Teh teh teh, 50 ndo kiwango chako. Laki 3 huna. Sema tu ukwl
 
Tatizo wanawake wengi mmegeuza mapenzi kama ajira aisee , unaanzaje kwanza kumpiga mtu kizinga cha laki tatu c mshahara wa MTU huo ,
Tafuta kazi ya kufanya ili uache kulalamikia wanaume kwa kuto kukupa pesa ,
Pia mtu ambaye inatakiwa kukugharamikia kwa kila kitu ni mmeo na c mwanaume ambaye umekutana nae tu barabarani tu , unaanza kumtwisha majukum wakati hata kwenu hajulikani , huu ni utapeli kabisa
1) Don't panic mkuu. Just relax
2) mbn mmeshupalia sn iyo laki 3?. Huo ni mfano tuu jmn khaaaa. Alafu kengine wapo wenye uwezo wa kutoa iyo ela, ww huna bs ishia kwenye kiwango chako tu icho icho. Ukisema mpk ndoa ndio nikuhudumie, bs na ww usiombe kuhudumiwa mbususu mpk ndoa uone km utakubali
 
1) Don't panic mkuu. Just relax
2) mbn mmeshupalia sn iyo laki 3?. Huo ni mfano tuu jmn khaaaa. Alafu kengine wapo wenye uwezo wa kutoa iyo ela, ww huna bs ishia kwenye kiwango chako tu icho icho. Ukisema mpk ndoa ndio nikuhudumie, bs na ww usiombe kuhudumiwa mbususu mpk ndoa uone km utakubali
Ndio maana tunawala kwa mpalanger sikuhizi
 
mwanaume asiye na kaz haruhusi kupendwa/kuwa kwenye mahusiano? Hili ujajibu
Anaruhusiwa Ila akili yake aiweke kwenye kujituma kutafuta pesa zaidi. Ili aweze kutimiza majukumu yake. La sivyo atakuwa anatwanga maji kwa kinu. Duniani mda wwt, kitu chchte kile kinaweza kutokea. Tena bora upendwe kuliko usipopendwa, hkn rang utaacha kuona. Wanaume mnalikataa apa Ili, lkn mioyoni mwenu mnalitafakari
 
Teh teh teh, 50 ndo kiwango chako. Laki 3 huna. Sema tu ukwl
Wala haujakosea,, ndio maana unachokiomba hakiwezi kuwa. Yaani ni ulijichanganya tu kunivaa wa buku 3. Mi nikipata laki 3 naenda nunua kiwanja.
 
Back
Top Bottom