Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,608
Hapana, anakupenda kuliko maelezo.Ukiona mwanamke anatanguliza pesa kila mda anatafuta sababu ya kukuachaa
Hapana, anakupenda kuliko maelezo.Ukiona mwanamke anatanguliza pesa kila mda anatafuta sababu ya kukuachaa
Tafuteni pesa kwanza, hilo ndio la msingi.
Pesa pesa pesaaa. Hii haikwepeki kijana, tafuta pesa kisha tupatie pesa tuna matumizi nazo.Hahahahahah ukiona umetafutwa jua unahitajika kwa kazi maalumu!Mission ikiisha itabaki story tu!
Hahahhahah najua unataka kumaanisha kwa wale mandezi wanaolialia daily 😂😂😂 kwamba wameishiwa mbinu!Kumbe hukunielewa!! Hebu tuliza akili kwanza kidoogo. Achana na na na hizo nyuzi za wadangaji wenzio kafungue nyuzi za wanaume ndio utanielewa hiyo comment ilimaanisha nini. Sisi sio wengi kama mnavyojiaminisha aisee, kuna muda tunatoweka ghafla na dunia ibasimama![]()
Aah wapi, mnatupatia vizuri tu, na mtaendelea kutupatia. Na hilo sio ombi mkweNa hatuwapiii sasa


Nasikitika tu kusema pesa zangu zimeshikana na roho 😂 yani naweza nikafa nikizitumia hovyoPesa pesa pesaaa. Hii haikwepeki kijana, tafuta pesa kisha tupatie pesa tuna matumizi nazo.
Hapana, anakupenda kuliko
Sio kweli ...unadate na mtu akipita sokoni anakwambia nanunua nyama utanirudishia nikifika home ...nyie viumbeHapana, anakupenda kuliko maelezo.
Wewe nahisi ukoo mmoja japo hatufahamiani...Nasikitika tu kusema pesa zangu zimeshikana na roho 😂 yani naweza nikafa nikizitumia hovyo
Mambo huanza hivyo hivyo, halafu baadae sasaHahahhahah najua unataka kumaanisha kwa wale mandezi wanaolialia dailykwamba wameishiwa mbinu!
Mi nakwambiaje me mbususu nitakula as much as i want to and feel like! Cause im a man!


Hahahahahahaah ex mkweee.... pesa hampatiiiiAah wapi, mnatupatia vizuri tu, na mtaendelea kutupatia. Na hilo sio ombi mkwe![]()
Na matumizi yenyewe ndio kama hivyo.Nasikitika tu kusema pesa zangu zimeshikana na rohoyani naweza nikafa nikizitumia hovyo


Sasa kwanini usimrudishie hela yake jamani? Huo utakuwa utapeli!!Sio kweli ...unadate na mtu akipita sokoni anakwambia nanunua nyama utanirudishia nikifika home ...nyie viumbe
Mnawalea wenyewe na hiyo 50/50 na usawa wa kijinsia mnayo ifundisha mashuleni,inawalemaza watoto wa kiume wa siku hizi.Habari za wakati huu, napenda kuulizia hivi husband material huwa anapatikana wapi?. Maana vijana wa wakati huu ata nashindwa kuwaelewa kabisa mambo yao, wengi wanapenda kulelewa na hawafaham kabisa majukumu yao.
Unakuta mtu Hana Kazi, kula kulala kwa baba alafu anahitaji mwanamke anayepambania maisha yake. Akiombwa ata laki 3 anahaha, anatetemeka. Ss huna Kazi mwanamke wa nini?.... Mwanamke anahitaji matunzo, anahitaji kujaliwa, mwanaume unatakiwa ujuwe majukumu yako na mwanamke naye ajue majukumu yake. Lkn siku hiz majukumu ya mwanamke anafanya mwanamke na majukumu ya mwanaume anafanya pia mwanamke. Mi nashindwa elewa kabisa.
Ukiwa hupendwi ni hupendwi tuuu, usiforece kupendwa ilhali hujui nini mwanamke anataka. Over.... Muwe na mapumziko mema.
Hahahahah pesa itatumika inapostahili ila sio iwe kama tozoMsisahau tu hizo pesa tunazitaka, ni zetu.
Heheheh akitaka kurudishiwa asiile nyama hioSasa kwanini usimrudishie hela yake jamani? Huo utakuwa utapeli!!
Hahahahha yani wanawake wa kibongo wana tabia za pekee sanaSio kweli ...unadate na mtu akipita sokoni anakwambia nanunua nyama utanirudishia nikifika home ...nyie viumbe
Hakunaga ex mkwe wewe, once mkwe basi ni mkwe tu.Hahahahahahaah ex mkweee.... pesa hampatiiii
Kwani jaman kutupenda ni kazi kwenu mnahitaji salaries?
Ndo penyewe hapo sasa. Hebu wapeni watoto wa wenyewe pesa zao msijifanye kukasirikia mambo madogo kabisa haya.Hahahahah pesa itatumika inapostahili ila sio iwe kama tozo
50/50 na women empowerment imetengeneza wanaume wengi ambao ni jobless na weak to the point imeanza dharau sasa!😂Mnawalea wenyewe na hiyo 50/50 na usawa wa kijinsia mnayo ifundisha mashuleni,inawalemaza watoto wa kiume wa siku hizi.
Kadili mnavyo endelea kuipush 50/50 na ndivyo wanaume wanapungua na wavulana wana ongezeka.