Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,642
- Thread starter
- #101
Arts,science au biashara!!?
mathematics na physics
Arts,science au biashara!!?
Jasiri haachi....Wee mzee wa Kilinge bado unaipenda kazi yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini usiende Shule kusoma kitu kengine japo kwa DEO aga unaenda kusoma BaEDnina diploma
nafundisha sekondori
Mkuu kumbe upo marketable hivyomathematics na physics
Kasome accounts uwe muhasibumathematics na physics
Afu buku tuKweli mchango wa mwenge ndo unakukimbiza?????
Wewe ndo unayevujwa jasho na kupelekeshwa kama pundaAcha kazi
Tuache siye tuendelee kula pesa ya wavuja jasho wa bongo
Kuwa mkweliBraza hebu sema kweli..
H/W Mpimbwe, Tanganyika, Momba, Ileje, Ukerewe na sehemu nyengine ndichi huko, KUNA BATA GANI LINALIWA?
Kufata tu mshahara mjini ni KASHESHE.
#YNWA
5k Kwa walimuAfu buku tu
Walimu gani tena?5k Kwa walimu
Kama Mimi hapa TanganyikaWalimu gani tena?
Kuwa mkweli
Yanini kwenda mjini wakati NMB mobile nimeinganisha na Halopesa
Pesa kiganjani
Tafsiri Yako ya Bata ni ipi mkuu!?
Wanafatilia siku hizi baadhi ya halmashauri huwa wanadai matokeo Kila mwisho wa semester.Kwanini usiende Shule kusoma kitu kengine japo kwa DEO aga unaenda kusoma BaED
#YNWA
Mbona mi nakumbuka iringa walituchangisha bukuKama Mimi hapa Tanganyika
Nimeipenda hilo jina lakoWewe ndo unayevujwa jasho na kupelekeshwa kama punda
Huko mnaupiga mwingiMbona mi nakumbuka iringa walituchangisha buku
Miye ni SimbaUkiwa mwalimu unatakiwa uwe kondoo hasa na maisha mazuri kwako ni anasa na hii ni automatically haina kufurukuta hata ufanyeje utajikuta umenasa tu yaani