Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 4,685
- 7,700
Uoga wako tu.Mhh! Mbona unamjaza mwenzako ujinga? Hivi unadhani maisha ni rahisi kiasi hicho?
Uoga wako tu.Mhh! Mbona unamjaza mwenzako ujinga? Hivi unadhani maisha ni rahisi kiasi hicho?
Mkodomi wange,
Punguza presha
Nishakaa maeneo ya Izimbya Bukoba Vijijini Kwa sasa nipo Tanganyika nipo huku nakula tu Bata
Relax
Una kiwango Gani Cha elimu mkuu!?
Arts,science au biashara!!?nina diploma
nafundisha sekondori
Sina makasirikombna mkuu una makasiriko yasiyo na tija, Kwahyo mimi kutaka kuacha kazi imekuwa kosa kwako au??
Arts,science au biashara!!?
Mi nadhani shida siyo mchango,Kweli mchango wa mwenge ndo unakukimbiza?????
Mwalimu asiyependa ualimu huyo dogolasWe jamaa ni mwalimu kabisa.
Wewe sio mtumishi, HILI UMELIJUAJE, WEWE NI MWALIMU.
#YNWA
Aahaaaaeti arts, science au biashara yani mnajipa na vitengo utadhani ni ukurugenzi
Ualimu wote ni sawa awe art au sayansi UALIMU NI UALIMU TU
KATAA UALIMU HAUFAIII
AaahahaajaMwalimu asiyependa ualimu huyo dogolas
Hongera mkuuMwalimu ni balozi wa serikali katika kituo chake cha kazi. Ndio maana anashirikishwa katika shughuli mbali mbali za serikali.
So far ualimu ni kazi ya heshima. Ningekupeleka ukafanye kazi kwenye kikampuni cha muhindi uone unavyonyanyaswa, ndani ya miezi miwili ungeutamani ualimu na kuuona ni lulu.
95% ya watanzania ni WAOGA.Ni kukosa tu msimamo binafsi.
Tatizo la walimu wengi ni waoga.
I concur with you95% ya watanzania ni WAOGA.
Ila sio 90% ya watanzania ni walimu.
Do your MATHS.
Wee mzee wa Kilinge bado unaipenda kazi yakoNimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X
Sorry si kwamba nakushushua lakini uko Moro.. Usiniulize nimejuaje..![]()




Vijana wadgo mna ndoto kubwa kwel.Hii njia niliitumia mwaka 2012 baada ya kuchoka ualimu.so nilikopa NMB,CRDB na Posta Bank..20M in total..nikaenda chuo kikuu X nikasoma Banking and finance nilipomaliza 2015 nikaajiliwa kwenye private company X hadi 2021...nikaacha now Nina migodi yangu ya dhahabu mkoa X...Maisha mazuri sana km ukithubutu...NB nimefanya story iwe fupi japo nimepitia changamoto nyingi mzito
Hakuna mmiliki wa migodi mwenye muda wa kupoteza Jamii forum.mkuu una migodi ya dhahabu??
kama hutojali tubadilishane uzoefu mimi pia niko kwenye sekta hyo
AahaaaassHakuna mmiliki wa migodi mwenye muda wa kupoteza Jamii forum.
Hapana kuna kitu kuna siku nitakuambia na utabaki na mshangao mkubwa[mention]Mshana Jr [/mention] mkuu ni kweli.
ila nahisi uliona nilipost baadhi ya nyuzi za moro
![]()

...... Kwa sasa nipo Tanganyika nipo huku nakula tu Bata ........