Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

But come to think of it again, how comes mwanaume anajitapa kuwa yeye ni mwanaume bila kumuacknowledge mwanamke behind him?? Hivi wewe mwanaume kwa jinsi ulivyo unaweza kweli kusimama na kujisifia kuwa I AM THE MAN bila kujua kuwa huyo Mwanamke unayesema UNAMMILIKI si kuwa UNAMMILIKI bali ni an EQUAL PARTNER in Business??.................... kumbukeni kuwa kuna wanaume ambao kama si kwa ushauri, juhudi za wanawake zao wasingekuwa hapo walipo.

Hii thread imeportray kama vile wanawake ni passive actors katika maisha ya mwanaume wakati sivyo! I beg to differ. Babu samahani lakini

Uko sahahi kabisa.....Kama nimemwelewa vizuri Babu mwenzangu, ni kuwa mwanamume hawi mwanamume ama kwa kujisemea yeye mwenyewe, kuonekana physically au kuvaa nguo za kiume...It goes beyond that.

La muhimu zaidi ni kuhakikisha (to acknowledge) kuwa mke wako ni mdau mwenye nafasi ya pili (second share holder) ambayo haiwezi kukaimiwa na mtu yeyote na kwa pamoja kuhakikisha ustawi wa kila mtu anayeishi kwenye dari la nyumba yenu!! Ndiyo maana binafsi napenda katika kila kitu tuchukulie kuwa tumefanya kwa pamoja na siyo kufanywa/kufanyiwa hata kama ukweli wake unaweza kuwa tofauti!!

Babu DC!!
 
sisi ndio wanaume bana....
Kuna siku ya wanawake duniani. Nayo ni siku1 tu ktk mwaka, siku 364 ni za wanaume....
 
Mhhhh,

Hapa naona kama kuna vita fulani....mnyukano dhidi ya ukweli halisi na jaribio la kuikaribia image ya u dot com!!
 
QUOTE=Mbu;2842375]
let_he_who_has_not_sinned_cast_the_first_stone_sticker-p217799864301839020qjcl_400.jpg
...na aliye msafi awe wa mwanzo kunitupia jiwe...lol...![/QUOTE]

Mkuu ukweli unauma sana. Ndo maana kwenye uzi wa Bishanga sikukataa na hapa ndo maana nikasema akili zako changanya na za kuambiwa utapata jibu.
Mhhh mkuu sijui kama ni msafi kiasi cha kumtupia mwenzangu jiwe ila na mimi siko tayarei kumtupia mtu jiwe
 
KANNAKT wapi wewe???nataka nikusikie unasema nini juu ya huu uzushi hapa:wink2:
 
Mhhhh,

Hapa naona kama kuna vita fulani....mnyukano dhidi ya ukweli halisi na jaribio la kuikaribia image ya u dot com!!

...lol....usimung'unye mstaafu, mwaga nyuki hapa....!


Mkuu ukweli unauma sana. Ndo maana kwenye uzi wa Bishanga sikukataa na hapa ndo maana nikasema akili zako changanya na za kuambiwa utapata jibu.
Mhhh mkuu sijui kama ni msafi kiasi cha kumtupia mwenzangu jiwe ila na mimi siko tayarei kumtupia mtu jiwe

...umeona ee?...e bana acha nami ni myuti sasa...
usikute natengenezewa tofali huko, kufumba na kufumbua natupiwa kombora nikeshe nalo usiku kucha....
wewe si unaona mkulu klorokwini ameingia mlangoni ki ubavu ubavu kisha akatokea dirishani?

 
QUOTE]

Mkuu ukweli unauma sana. Ndo maana kwenye uzi wa Bishanga sikukataa na hapa ndo maana nikasema akili zako changanya na za kuambiwa utapata jibu.
Mhhh mkuu sijui kama ni msafi kiasi cha kumtupia mwenzangu jiwe ila na mimi siko tayarei kumtupia mtu jiwe


Hubby upo kipenzi?umeshindaje leo?
 
hii sred ni nzuri sana lakini hapo kwenye namba tano imeniharibia ladha!
 
Eh umenikumbusha swali la Bigirita: Kuwa
Mwanaume akiwa hajaoa anajulikana kwa Prefix ya Mr wakati Mwanamke anakuwa Miss
Mwanaume akioa anabaki na Prefix yake ya Mr wakati Mwanamke anahamia kwenye Prefix ya Mr na kuongezea s (Mrs)
Ndoa inapovunjika mwanaume anabakia the same Mr wakati mwanamke anaipoteza r na kubakiza Ms.

So maisha ya Mwanamke always yanarevolve around Mwanaume!!

Kifupi: Sina point tena hapo

Huo ndio ukweli ingawa ila kuna watu hawataki kuelewa ingawa si lazima kuukubali....Binafsi huwa nawashangaa wadada wasomi ambao wanahangaika kubadili majina yao hata kabla honey moon haijaisha!!


Pamoja na hayo yote, sheria inasema huwezi uza kitu ambacho hauna umiliki, sasa swali kwa ODM ikiwa una full umiliki naomba uniuzie makoloni yako na ile ownership of property i pass kwangu?
Kama upo tayari nijuze fasta.

Mkuu mwanaume wa kweli hawezi kuwa na mawazo ya namna hiyo......Ukiona yuko hivyo basi jua kapoteza sifa zote tunazojua na kuzikubali za mtu anayeitwa mwanaume...Majina ya watu wa namna hiyo yapo mengi tu!!


...lol....usimung'unye mstaafu, mwaga nyuki hapa....!



...umeona ee?...e bana acha nami ni myuti sasa...
usikute natengenezewa tofali huko, kufumba na kufumbua natupiwa kombora nikeshe nalo usiku kucha....
wewe si unaona mkulu klorokwini ameingia mlangoni ki ubavu ubavu kisha akatokea dirishani?


Tatizo letu siku hizi tunahoji na kuchambua mambo ambayo enzi zetu tulilelewa kuyaamini na kuyashika kama ile kanuni ya imani ya Wakristo!!

Kati ya yote aliyosema Asprin, sijaona hata moja ambalo ni kinyume na yale ambayo tumefundishwa (wale wa enzi zangu), kuyaona katika makuzi na malezi yetu na kuyafahamu pasipo kukariri kwamba ndiyo sifa za mwanamume wa kweli...Hata kama kuna chumvi za hapa na pale, sijaona mahali ambapo kaenda nje ya ukweli!!

Ni facts mwanzo hadi mwisho....!!

Babu DC!!
 

...lol...comrade bana....sequestration of the the jury, au siyo?..hahahah!

heheeh hii ni high profile case bana! hauoni hata malegend wa MMU leo wanalembeana mawe laivu kama bunge la somalia, sequestering is the only option left.

Huu mtanange kuliko madrid na baselona aisee!
endeleeni kuunogesha mimi acha nikahubiri injili PM, mazambi yameongezeka sana sku hizi na maadili yameporomoka bila lifti. khaaa!

Endeleeni mimi nawasoma tu
 
heheeh hii ni high profile case bana! hauoni hata malegend wa MMU leo wanalembeana mawe laivu kama bunge la somalia, sequestering is the only option left.

Huu mtanange kuliko madrid na baselona aisee!
endeleeni kuunogesha mimi acha nikahubiri injili PM, mazambi yameongezeka sana sku hizi na maadili yameporomoka bila lifti. khaaa!

Endeleeni mimi nawasoma tu

...klorokwini, kwa heshima na taadhima hebu anzisha topik yenye mdahalo wowote ule tufanye diversion kidogo ya
topik hizi bana, aarrgghhh.... hizi mada hazijakaa vizuri hata kidogo....najishtukia nakuwa against na makamanda wenzangu wote....

...najiskia kama nichukue likizo jukwaa hili la MMU, nihamie kule kwa washabiki wenzangu wa imarati!...
 
...klorokwini, kwa heshima na taadhima hebu anzisha topik yenye mdahalo wowote ule tufanye diversion kidogo ya
topik hizi bana, aarrgghhh.... hizi mada hazijakaa vizuri hata kidogo....najishtukia nakuwa against na makamanda wenzangu wote....

...najiskia kama nichukue likizo jukwaa hili la MMU, nihamie kule kwa washabiki wenzangu wa imarati!...

Dah! kamanda thank for the honour lakini tatizo sina dhamana ya muda wa kusimamia thread ndio maana nadandia thread za watu tu, lakini mbona si uanzishe tu au tumshtue MJ1 atupatie akmidiz principle tukamilishe kile kiporo cha sylabuss yetu? . Wapigaji debe tupo anzisha tu kamanda
 
Dah! kamanda thank for the honour lakini tatizo sina dhamana ya muda wa kusimamia thread ndio maana nadandia thread za watu tu, lakini mbona si uanzishe tu au tumshtue MJ1 atupatie akmidiz principle tukamilishe kile kiporo cha sylabuss yetu? . Wapigaji debe tupo anzisha tu kamanda

e bana tatizo langu wiki hii sijui mwezi mchanga?, kila topik natamani niwe against tu...
lakini nakujua wewe topik yako ita dilute haya ma tension...

powa, nitam pm mwj1 aanzishe ile sredi ya prinsipoz za arkimedez....tumalizie ngwe...jumatatu tuanze upya!
mimi sina mada kaka....nisijezua ugomvi bure humu na mada zisizo na kichwa wala miguu... lol

 
e bana tatizo langu wiki hii sijui mwezi mchanga?, kila topik natamani niwe against tu...



Kamanda lakini trust me wewe bana against yako inakubalika kimataifa! yaani mimi nafurahia sana bana nikuwe against na wewe maana nikimaliza mjadala basi sku ya pili lazima mtaani watanikoma kwa mapwenti. Na nadhani watu wote hapa JF wanaku value hivyo. Kama MMU ndio TZ basi mkuu ungeshinda uchaguzi tu, hakuna slaa wala kikwete wala maalim sefu
 
Kamanda lakini trust me wewe bana against yako inakubalika kimataifa! yaani mimi nafurahia sana bana nikuwe against na wewe maana nikimaliza mjadala basi sku ya pili lazima mtaani watanikoma kwa mapwenti. Na nadhani watu wote hapa JF wanaku value hivyo. Kama MMU ndio TZ basi mkuu ungeshinda uchaguzi tu, hakuna slaa wala kikwete wala maalim sefu
Ankal kumbe bado uko macho hayaa njoo uchukue Finest Scotch Whisky
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom