Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Bishanga,alieanza kukosa ni eve sioa adam.Ndo maana akasema huyu mwanamke ulienipa ndo amenisababisha,in short mwanamke ndo mwanadam wa kwanza kutenda dhambi,hizo point zingine hazina kitu kama ukisoma vizuri uzi wa Aspirin,utaelewa maana ya MWANAUME!
 
But come to think of it again, how comes mwanaume anajitapa kuwa yeye ni mwanaume bila kumuacknowledge mwanamke behind him?? Hivi wewe mwanaume kwa jinsi ulivyo unaweza kweli kusimama na kujisifia kuwa I AM THE MAN bila kujua kuwa huyo Mwanamke unayesema UNAMMILIKI si kuwa UNAMMILIKI bali ni an EQUAL PARTNER in Business??.................... kumbukeni kuwa kuna wanaume ambao kama si kwa ushauri, juhudi za wanawake zao wasingekuwa hapo walipo.

Hii thread imeportray kama vile wanawake ni passive actors katika maisha ya mwanaume wakati sivyo! I beg to differ. Babu samahani lakini

...nice one mwj1....jino kwa jino....ng'ang'ana hapa hapa mpaka wakukimbie hawa...
Mwanaume hajisifii bana, mwanaume anasifiwa kwa uanaume wake!


A REJOINDER:
Preamble:
Katika utangulizi wako Aspirini unadai eti mwanaume ni Taasisi,my foot,apparently hata Adam katika bustani ya Eden thought so,see where he ended!
Aidha unadai kuwa mwanaume kapendelewa kuumbwa,hivi aliyelaaniwa akaambiwa kwa jasho lako utakula ni nani sio kidume Adam? na alitenda kosa gani by the way?
Tuje kwenye mada sasa pweint kwa pweint:
1.Urijali/umiliki:
Hivi wewe ukawazia kummiliki mwanamke amekuwa gari au nyumba.Is a woman a 'thing'?Hata katika lugha ya kijerumani mwanamke ni 'die' ,mwanaume ni 'der' na vitu vyote vilivyobaki ni 'das' au mwanamke unamuweka kundi la 'das'?
2.Maamuzi:Maamuzi yapi unayaongelea hapa yale yanayotolewa na kichwa cha juu ya kuamua kujenga,kufungua duka ,kununua gari?au yale unayoamua kwa kukutumia kichwa cha chini ya kuamua kulala na hausgel,kuzaa nje ya ndoa,kumjengea hawara n.k?
3.Uwajibikaji: Wangapi siku hizi wanalishwa na kuvishwa na wake zao? wanaume kibao wanatunzwa na wake zao na si kwamba hawataki kutunza kaya zao la hasha,ni circumnstances mme anajikuta ana kipato kidogo kuliko mkewe.Do you become less of a man kwa kuwa mke ana mshahara mkubwa kukuzidi? Learn to be humble.
Na hili la kudai mwanaume wa ukweli ni yule anayemridhisha mkewe kitandani,kama kigezo ni hicho basi duniani wanaume ni wa kuhesabu maana takwimu zinaonyesha ni wanawake wachache kwenye ndoa ambao huwa wanapata orgasm za kiukwelikweli.Wapo kinamama hadi wanapata vitukuu orgasm hawaijui.
4.Muda wa kukutana na wanaume wenzio: Hivi huko vijiweni la kuongea ni nini hasa kama sio kupapasa makalio ya mabaamedi? Na sio hilo tu, vijiweni huko ndo centre ya kudanganyana...oh mwanamke asikubabaishe bana akikujibu tia makofi...kumbe anayekushauri hayo akifika nyumbani kwake ni magoti chini mke wangu samahani nimechelewa kurudi.
5.Kwenda nje: Eti mradi mkeo asijue.Kumbe mnawaogopa? na kimada ukimpa mimba huo uso utauweka wapi,au ndo yale ya watoto kukutana makaburini kwenye msiba wa baba?
6. Uangalifu: tungekuwa waangalifu tungezaa nje?
'Sisi ndio wanaume bana'.......hahahahahahaa...usijisifu subiri usifiwe otherwise tutasema:
DEBE TUPU HALIACHI KUSHINDA
mwisho nasema:
Mwanamke akiwezeshwa anaweza!
Big up kinamama,yes you can!!!!!!
Yours sincerely,
Bishanga Abashaija.

....pamoja kamanda, ile sredi yako sikuweza changia mdahalo wake kwasababu ya muda,
lakini hapa tutabanana na hawa wenzetu wanaojisifia u kidume wao...

Yaani kabisa unaweza simama hadharani ukasema uanaume wako wakati rohoni huna uhakika
kama mtoto/watoto ni wako au sio wako?.... ebana mimi najiskia kumwagia tenki zima la petroli kwenye moto huu!
potelea mbali
afe aliyekuwamo na asiye kuwamo...
 

...nice one mwj1....jino kwa jino....ng'ang'ana hapa hapa mpaka wakukimbie hawa...
Mwanaume hajisifii bana, mwanaume anasifiwa kwa uanaume wake!




....pamoja kamanda, ile sredi yako sikuweza changia mdahalo wake kwasababu ya muda,
lakini hapa tutabanana na hawa wenzetu wanaojisifia u kidume wao...

Yaani kabisa unaweza simama hadharani ukasema uanaume wako wakati rohoni huna uhakika
kama mtoto/watoto ni wako au sio wako?.... ebana mimi najiskia kumwagia tenki zima la petroli kwenye moto huu!
potelea mbali
afe aliyekuwamo na asiye kuwamo...

Loh hii attack Mbu wangu itakucost darling but ni ukweli kabisa. It is a woman ambaye anwezakukuhakikishia uanamume wako. Unaponipa starehe kwa six ninapopiga kelele unajiaminisha kuwa umeniweza?? Kwako sipindui?? Una uhakika gani kama kelele zangu ni za kweli?? Mbu amezungumzia swala la watoto, unawezapita barabarani na kujisifia kifua mbele kuwa una watot kadhaa wa kiume na kike, my son, my daugther ilhali huwezithibitisha kuwa ni wako kweli (Unless kwa msaada wa DNA)- Achilia mbali wana unawezathibitisha kwa DNA

Haya huyo mwanamke unayedai kummiliki una uhakika gani?? Unawezatimiza majukumu yote, chakula n.k wakati amani na furaha iliyopo nyumbani kwako unayojivunia nayo ni kwa msaada wa Shamba boy, family driver au jirani yako pembeni.

Eh nalog out nsijemwagiwa radhi na Babu bure.
 
MJ1 akhiiiiiiiiiiiii!!:smash: na zawadi yako ya chupa ya wine shiiiiiiiiiiiiiii usiwaambie sana waache waendelee kujiaminisha mpenzi wangu.


Loh hii attack Mbu wangu itakucost darling but ni ukweli kabisa. It is a woman ambaye anwezakukuhakikishia uanamume wako. Unaponipa starehe kwa six ninapopiga kelele unajiaminisha kuwa umeniweza?? Kwako sipindui?? Una uhakika gani kama kelele zangu ni za kweli?? Mbu amezungumzia swala la watoto, unawezapita barabarani na kujisifia kifua mbele kuwa una watot kadhaa wa kiume na kike, my son, my daugther ilhali huwezithibitisha kuwa ni wako kweli (Unless kwa msaada wa DNA)- Achilia mbali wana unawezathibitisha kwa DNA

Haya huyo mwanamke unayedai kummiliki una uhakika gani?? Unawezatimiza majukumu yote, chakula n.k wakati amani na furaha iliyopo nyumbani kwako unayojivunia nayo ni kwa msaada wa Shamba boy, family driver au jirani yako pembeni.

Eh nalog out nsijemwagiwa radhi na Babu bure.
 
Bishanga,alieanza kukosa ni eve sioa adam.Ndo maana akasema huyu mwanamke ulienipa ndo amenisababisha,in short mwanamke ndo mwanadam wa kwanza kutenda dhambi,hizo point zingine hazina kitu kama ukisoma vizuri uzi wa Aspirin,utaelewa maana ya MWANAUME!

...haya sasa, ndio utetezi gani huo?

mwanaume anatakiwa kusimamia maamuzi yake bana!
hakuna cha oohh, huyu ndio kanisababishia...UANAUME ni mwiko kumtafuta mchawi
mfano; leo hii mbu nifumaniwe na mke wa mtu (God Forbid) unadhani nitajitetea ati sio kosa langu,
mie nimeletewa tunda nile?...

...hata kama kaja na mabaunsa wake, nimejikubalisha kufa kishujaa bana, ama zake ama zangu!
 

...haya sasa, ndio utetezi gani huo?

mwanaume anatakiwa kusimamia maamuzi yake bana!
hakuna cha oohh, huyu ndio kanisababishia...UANAUME ni mwiko kumtafuta mchawi
mfano; leo hii mbu nifumaniwe na mke wa mtu (God Forbid) unadhani nitajitetea ati sio kosa langu,
mie nimeletewa tunda nile?...

...hata kama kaja na mabaunsa wake, nimejikubalisha kufa kishujaa bana, ama zake ama zangu!

Mbu wakakti wa kushambuliwa na Babu na watu wake sitakuwepo kukutetea
Hapa kwa kweli ni balaa wakija hao wanaosema kidume ni lazima utoke nje au kidume lalzima ukae baa mpaka usiku
Kwa kweli sitakutetea mkuu
 
Mbu,msingi wa point yangu haikua excuse ya mwanaume bali nilikua namjibu bishanga kuhusu kosa la Adam na Eve,lakini kumbuka kuwa lile tunda alilokula Eve halikuleta shida mpaka alipokula Adam,hiyo inaonesha ukuu na UANAUME wa Mwanaume maana yake nini!
 
Hivi huna habari kuna wanaume wasio na wakuwakatia kiu zao? Unaonaje bibi nae akatoa msaada?
Mwanaume rijali anamridhisha mwanamke wake physically na emotionally. Kama mwanamke wakpo anaridhika emotionally kwa kuchelewa kwako kurudi kila mara,its well and good. Msidanganyane hapa wengine wakaenda kuondolewa uanaume wao na wanawake zao!

Hahahahahhahahahhahahahahahahahhaaaaaaaaaaa......................ohhh my God. Umenifanya jioni yangu iwe ya vicheko visivyo na mwisho. Asante mwaya.
 
Loh hii attack Mbu wangu itakucost darling but ni ukweli kabisa. It is a woman ambaye anwezakukuhakikishia uanamume wako. Unaponipa starehe kwa six ninapopiga kelele unajiaminisha kuwa umeniweza?? Kwako sipindui?? Una uhakika gani kama kelele zangu ni za kweli?? Mbu amezungumzia swala la watoto, unawezapita barabarani na kujisifia kifua mbele kuwa una watot kadhaa wa kiume na kike, my son, my daugther ilhali huwezithibitisha kuwa ni wako kweli (Unless kwa msaada wa DNA)- Achilia mbali wana unawezathibitisha kwa DNA

Haya huyo mwanamke unayedai kummiliki una uhakika gani?? Unawezatimiza majukumu yote, chakula n.k wakati amani na furaha iliyopo nyumbani kwako unayojivunia nayo ni kwa msaada wa Shamba boy, family driver au jirani yako pembeni.

Eh nalog out nsijemwagiwa radhi na Babu bure.

...la ...la ...la usikimbie bana...

endeleza mashambulizi hapa, maana haya mambo bana bila uwazi na ukweli huwa tunaishia kujidanganya sana
kwenye viti virefu!....

maisha ni script ya sinema ambayo kama director atakuwa mwanaume, starring ni mwanake and vice versa....
sasa usiombee ukute huyo starring ndiye aliyeidhamini hiyo production nzima...yaani hata director akileta za kuleta
starring anamtimua kazi "kanumba!"

Mtazamo wangu kimaisha bana umeathiriwa na matukio mengi ya kiukweli na kihalisia kuliko dhana na hekaya za kusadikika.
The real man is humble....asiye na makeke wala makuu,...asiyetafuta kujikweza wala kujisifia...
Mwanaume wa kweli uanaume wake unaonekana kwa vitendo... vya ndani na vya nje...
sio anakuwa double faced, ....uani anajiliza anaonewa, hadharani anatunisha kifua ati yeye ni mwanaume wa shoka!


 
...la ...la ...la usikimbie bana...

endeleza mashambulizi hapa, maana haya mambo bana bila uwazi na ukweli huwa tunaishia kujidanganya sana
kwenye viti virefu!....

maisha ni script ya sinema ambayo kama director atakuwa mwanaume, starring ni mwanake and vice versa....
sasa usiombee ukute huyo starring ndiye aliyeidhamini hiyo production nzima...yaani hata director akileta za kuleta
starring anamtimua kazi "kanumba!"

Mtazamo wangu kimaisha bana umeathiriwa na matukio mengi ya kiukweli na kihalisia kuliko dhana na hekaya za kusadikika.
The real man is humble....asiye na makeke wala makuu,...asiyetafuta kujikweza wala kujisifia...
Mwanaume wa kweli uanaume wake unaonekana kwa vitendo... vya ndani na vya nje...
sio anakuwa double faced, ....uani anajiliza anaonewa, hadharani anatunisha kifua ati yeye ni mwanaume wa shoka!



Mkuu huo ndio ukweli halisi ambao wanaogopa kuusema akina Babu
mambo yanayotendeka ndani ya maisha ya watu na walikopitia ndio haya wanayotuletea ila uhalisia wa maisha hauko hivyo
Kuna vingi ambavyo vinamtambulisha mwanaume na hata walivyovitaja vinakubalika ila sio katika msingi kama huu waliouleta
Mkuu utashambuliwa sana kwa msimamo wako huu
 
Bishanga,alieanza kukosa ni eve sioa adam.Ndo maana akasema huyu mwanamke ulienipa ndo amenisababisha,in short mwanamke ndo mwanadam wa kwanza kutenda dhambi,hizo point zingine hazina kitu kama ukisoma vizuri uzi wa Aspirin,utaelewa maana ya MWANAUME!
Mkuu Eiyer mimi ni muumini wa hoja,unasema point zangu hazina kitu,fine,naomba unifafanulie point kwa point from 1 to 6 kwamba ni kipi hukubaliani nacho na kwa nini badala ya kutoa a blanket reference kwamba niende kwa Aspirin,huko nshaenda ndo mana nikapingana naye.
 
11. Mwanaume ni mlinzi mkuu wa familia, ikitokea hatari kama ujambazi na kadhalika uwe tayari kufa kwa ajili ya familia.
Hivyo kila wakati usalama wa familia uko mikononi mwako. Huo ndio uanaume. Jasiri,shujaa
12. Mheshimu sana mkeo, mwelewe,umjue na mpende, mwanamke akikasirika ni hatari sana anaweza akaua familia nzima.
13. Kwa mujibu wa biblia, tumeumbwa kwa mfano wa mungu......
14. Ni kweli sisi ndio wanaume, siku zote tunamshukuru mungu kutuumba hivi kuwa wanaume.
15. Ukiwa mwanaume kumbuka kutenda,haki kwa familia na wengine.
16. Kwa namna yoyote ile simama peke yako,usitegemee pesa ya mkeo,pesa yako ni yake na yake ni yake.
17. Wewe ndie kiongozi mkuu wa familia, tuliza kichwa chako kabla hujaamua jambo. Vinginevyo unayumbisha familia.
18. Elewa policy ya familia, inahitaji nini kimaendeleo na wewe utakuwa mstari wa mbele kuitekeleza.
19. Pafanye nyumbani kwako pawe mahali pazuri pa kuishi..''home sweet home'' kwani hakuna kero,uonevu
dharau.kwa ajili hiyo kila mwanafamilia atapenda kuwa home muda wote.
20.TAFUTA PESA HALALI KWA BIDII ZOTE.............KWELI SISI NDIO WANAUME.
21.NI WAGUMU WA KUTOA MACHOZI/KULIA HADHARANI, TUKIZIDIWA TUNAENDA PEMBENI TUNALIAAA TENA SI KWA KUTOA SAUTI BAADAE TUNARUDI.
USO MKAVU.....HAPO UNALIA KIMOYOMOYO MWANAUME.
 
...la ...la ...la usikimbie bana...

endeleza mashambulizi hapa, maana haya mambo bana bila uwazi na ukweli huwa tunaishia kujidanganya sana
kwenye viti virefu!....

maisha ni script ya sinema ambayo kama director atakuwa mwanaume, starring ni mwanake and vice versa....
sasa usiombee ukute huyo starring ndiye aliyeidhamini hiyo production nzima...yaani hata director akileta za kuleta
starring anamtimua kazi "kanumba!"

Mtazamo wangu kimaisha bana umeathiriwa na matukio mengi ya kiukweli na kihalisia kuliko dhana na hekaya za kusadikika.
The real man is humble....asiye na makeke wala makuu,...asiyetafuta kujikweza wala kujisifia...
Mwanaume wa kweli uanaume wake unaonekana kwa vitendo... vya ndani na vya nje...
sio anakuwa double faced, ....uani anajiliza anaonewa, hadharani anatunisha kifua ati yeye ni mwanaume wa shoka!


Mkuu,nguvu ya maji ni ulaini wake,ndo maana huwa inapasua miamba.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu wakakti wa kushambuliwa na Babu na watu wake sitakuwepo kukutetea
Hapa kwa kweli ni balaa wakija hao wanaosema kidume ni lazima utoke nje au kidume lalzima ukae baa mpaka usiku
Kwa kweli sitakutetea mkuu

....lol....ndio maana nikasema mwanaume haji na wasaidizi, aje mwenyewe tupimishane ubavu bana...
anyway, haitotokea hii kwani "mbu ameokoka!"...nilitolea mfano tu bana...

Mbu,msingi wa point yangu haikua excuse ya mwanaume bali nilikua namjibu bishanga kuhusu kosa la Adam na Eve,lakini kumbuka kuwa lile tunda alilokula Eve halikuleta shida mpaka alipokula Adam,hiyo inaonesha ukuu na UANAUME wa Mwanaume maana yake nini!

...dahhh, mkuu sasa huu ni mdahalo mpya kwakuwa Adam alishakatazwa asile hilo tunda
hata kabla Eve hajaumbwa (mwanzo 2:9)....

je wewe? mpaka sasa usha shawishika "kula tunda" mara ngapi sababu ya mwanamke?
-does that make you less of a man? au ukishakula "tunda" ndio unajiona umekamilika?
 
Sasa ODM,mmoja tu pasua kichwa wawili si ndo balaa!Mi sitaki wawili nataka mmoja tu tena awe hajui kusoma wala kuandika,sitaki awe anajua haya mambo ya globolaizesheni,ni tabu tupu!Yeye ni kupika na kuijali nyumba tu!

umeongea point man.....Baadhi ya wasichana waliosoma siku hizi wanajifanya wapo juu zaidi yetu!
 
Mkuu huo ndio ukweli halisi ambao wanaogopa kuusema akina Babu
mambo yanayotendeka ndani ya maisha ya watu na walikopitia ndio haya wanayotuletea ila uhalisia wa maisha hauko hivyo
Kuna vingi ambavyo vinamtambulisha mwanaume na hata walivyovitaja vinakubalika ila sio katika msingi kama huu waliouleta
Mkuu utashambuliwa sana kwa msimamo wako huu

let_he_who_has_not_sinned_cast_the_first_stone_sticker-p217799864301839020qjcl_400.jpg
...na aliye msafi awe wa mwanzo kunitupia jiwe...lol...!
 
Mbu!To make this clear,faham kwamba tunda linalozungumzwa kwenye Biblia ni tunda kama tunda,sio maana unayotaka kuleta hapa,kufanya makosa kwa hawa Adam na Eve hakukupunguza ubinadamu wao bali kulifafanua mamlaka waliyonayo yanayotofautiana,Eve alianza kula hakujitambua kuwa yuko uchi,alipokula Adam ndipo macho yao yakauona utupu wao!Umeelewa ninachosema hapa?Kwa kukusaidia,jiulize ni kwanini alipokula Eve peke yake asijione mtupu mpaka alipokula Adam?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom