The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Unamilikiwa na nani?Wape wape vidonge vyao.
Source: Bishanga.
Thamani yako kiasi gani?
Mwambie mmiliki wako nataka kupanda bei, VAT Inclusive
Unamilikiwa na nani?Wape wape vidonge vyao.
Source: Bishanga.
hahahaha usiniambie hawa wa tip top kesha kuachia kitu aisee!
Ashasema Gee kuwa mahari ni zawadi sasa unataka tafsiri ipi tena? No! mpendwa hujagusa popote, nimekutahadharisha tu manake unaeza nisababishia masuali yasiyo ya msingi kwa mwenzi wangu!Sweetlady,nimekuonesha ushahidi wa wanaume kwenye kukata kiu yenu,nasubiri uniambie tafsiri ya mahari!Halafu mbona nimetaja ngaramtoni umeng'aka au nimegusa penye upele?
Kwanini mnabadili ubini wenu tukiwaoa? Kwanini mnapokea mahari zetu, tena mnatupangia bei kabisaaaaa!Kwamba Mimi ni MALI ya nani?! Hapana Babu naomba nikaidi kidogo. Hizi kauli za hivi ndizo zile zinazopelekea mwanamke akae kimya akigundua au jua kuwa mwanaume (ambaye naye ni mali yake) anacheat. Kuwa yeye ni mali ya mwanaume ila mwanaume si mali yake?
Ngoja nicheki kwenye records za TRA...
Hili jambo la msingi sana inabidi sasa tuwe tunadai risiti kabisa lengo kuongeza mapato ili kuwezesha rais wetu aendelee kutalii dunia nzima
Ngoja nicheki kwenye records za TRA...
ww unawajibika ipasavyo?
au nawe uko huko huko kwa Bishanga.
Risiti ya manunuzi iwapi?
Kama ulikuwa hujawahi kuisikia zawadi ya kupangiwa ndo isikie sasa.
Utauziwa kitu bila risiti! Unanchekesha!
Klorokwini.Unamilikiwa na nani?
Thamani yako kiasi gani?
Mwambie mmiliki wako nataka kupanda bei, VAT Inclusive
Kwamba Mimi ni MALI ya nani?! Hapana Babu naomba nikaidi kidogo. Hizi kauli za hivi ndizo zile zinazopelekea mwanamke akae kimya akigundua au jua kuwa mwanaume (ambaye naye ni mali yake) anacheat. Kuwa yeye ni mali ya mwanaume ila mwanaume si mali yake?
Sheria ya manunuzi Tanzania inataka kila kinachouzwa na kununuliwa kilipiwe kodi.
Kodi hamlipi kisha mnadi mmenunua....mnanshangaza!
Aisee kama kawa maeneo yetu ila kabla sijaenda kiti kirefu nataka nihakikishe nammiliki mtu humu ndani bado ya hapo naenda kumlipia na kodi TRA kabisaBuraza from anoza maza ijumaa ya leo viti virefu wapi aise
maana siredi ya jana na hii ya leo yapaswa kuchakachuliwa ukiwa unapata moja moto moja baridi
Cheti cha ndoa!Au ulikua hujui?
Kwanini mnabadili ubini wenu tukiwaoa? Kwanini mnapokea mahari zetu, tena mnatupangia bei kabisaaaaa!
Hahaha! Gee we ni noma! Waanze kulipa kodi.Sheria ya manunuzi Tanzania inataka kila kinachouzwa na kununuliwa kilipiwe kodi.
Kodi hamlipi kisha mnadi mmenunua....mnanshangaza!
Gee nipe VAT number yako ili nikilipa ufanye confirmation kabisa...lolSheria ya manunuzi Tanzania inataka kila kinachouzwa na kununuliwa kilipiwe kodi.
Kodi hamlipi kisha mnadi mmenunua....mnanshangaza!