Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Bishanga nimesema point zako zingine hazina kitu coz umezungumzia mambo yanayofanywa na "wanaume suruali"na sio MWANAUME anaejua yeye ni MWANAUME kwa sababu gani,rudia ulichoandika na urudie alichoandika Aspirin,utagundua wote mmezungumzia watu wawili tofauti kabisa.Wewe umezungumzia mwanaume asiyejitambua na Aspirin amezungumzia MWANAUME anaejitambua!
 
hehehe huu mjadala moskwito na fellow tablet wako timu pinzani? acha nikae seat ya mbele aisee

Halaf lawyer nimeuchuna kwenye sredi ya bishanga na nitaendelea kuuchuna kwenye sredi hii pia. Kuchangia these two threads is very inversely propotional na maslahi ya PM.
(hapa mtaalam wa ma principles ya energy can neither be created MJ1 atakuwa ameelewa zaidi kuliko wengine)
 
Bishanga nimesema point zako zingine hazina kitu coz umezungumzia mambo yanayofanywa na "wanaume suruali"na sio MWANAUME anaejua yeye ni MWANAUME kwa sababu gani,rudia ulichoandika na urudie alichoandika Aspirin,utagundua wote mmezungumzia watu wawili tofauti kabisa.Wewe umezungumzia mwanaume asiyejitambua na Aspirin amezungumzia MWANAUME anaejitambua!
Mkuu,according to Aspirin,kumkojoza mwanamke(pt 3),kutembea nje ya ndoa mradi uvae condom(pt 5) kwako ndo uanaume huo? Are you serious guys au mnafurahisha baraza.Can Aspirin print this thread na kumkabidhi mama matesha asome? For that matter can you?
 
Skulimeti - Thread of the YEAR!

Karibu: HACHA PUB - Boko Beach! - Upate Viceroy ya baridi - Gosh - Umeme Umekatika
 
unazungumzia wanaume wa miaka ipi? Hii ya sasa? Kama ni hii sidhani.
Wanaume wa siku hizi wanaolelewa na wanawake, mpaka hela ya boxer wapewe hawawezi kuwa taasisi inayojitegemea. Inachojua ni kulialia na kupangiwa nini ifanye nani azungumze naye nk
 
tofauti ya hizi zako na za bishanga ni kua bishanga amemtaja mwanaume wa ukweli aliyekamilika na anayejua nini afanye, anayejua wajibu wake kwa familia, zako zinamlenga mwanaume anayechipukia, ambaye bado anatafta nafasi yake kwenye familia/jamii inayomzunguka, anayesumbuliwa na kutokujiamini na kutojitambua.

Huo ni mtazamo wangu tu lakini!
 
A REJOINDER:
Preamble:
Katika utangulizi wako Aspirini unadai eti mwanaume ni Taasisi,my foot,apparently hata Adam katika bustani ya Eden thought so,see where he ended!
Aidha unadai kuwa mwanaume kapendelewa kuumbwa,hivi aliyelaaniwa akaambiwa kwa jasho lako utakula ni nani sio kidume Adam? na alitenda kosa gani by the way?
Tuje kwenye mada sasa pweint kwa pweint:
1.Urijali/umiliki:
Hivi wewe ukawazia kummiliki mwanamke amekuwa gari au nyumba.Is a woman a 'thing'?Hata katika lugha ya kijerumani mwanamke ni 'die' ,mwanaume ni 'der' na vitu vyote vilivyobaki ni 'das' au mwanamke unamuweka kundi la 'das'?
2.Maamuzi:Maamuzi yapi unayaongelea hapa yale yanayotolewa na kichwa cha juu ya kuamua kujenga,kufungua duka ,kununua gari?au yale unayoamua kwa kukutumia kichwa cha chini ya kuamua kulala na hausgel,kuzaa nje ya ndoa,kumjengea hawara n.k?
3.Uwajibikaji: Wangapi siku hizi wanalishwa na kuvishwa na wake zao? wanaume kibao wanatunzwa na wake zao na si kwamba hawataki kutunza kaya zao la hasha,ni circumnstances mme anajikuta ana kipato kidogo kuliko mkewe.Do you become less of a man kwa kuwa mke ana mshahara mkubwa kukuzidi? Learn to be humble.
Na hili la kudai mwanaume wa ukweli ni yule anayemridhisha mkewe kitandani,kama kigezo ni hicho basi duniani wanaume ni wa kuhesabu maana takwimu zinaonyesha ni wanawake wachache kwenye ndoa ambao huwa wanapata orgasm za kiukwelikweli.Wapo kinamama hadi wanapata vitukuu orgasm hawaijui.
4.Muda wa kukutana na wanaume wenzio: Hivi huko vijiweni la kuongea ni nini hasa kama sio kupapasa makalio ya mabaamedi? Na sio hilo tu, vijiweni huko ndo centre ya kudanganyana...oh mwanamke asikubabaishe bana akikujibu tia makofi...kumbe anayekushauri hayo akifika nyumbani kwake ni magoti chini mke wangu samahani nimechelewa kurudi.
5.Kwenda nje: Eti mradi mkeo asijue.Kumbe mnawaogopa? na kimada ukimpa mimba huo uso utauweka wapi,au ndo yale ya watoto kukutana makaburini kwenye msiba wa baba?
6. Uangalifu: tungekuwa waangalifu tungezaa nje?
'Sisi ndio wanaume bana'.......hahahahahahaa...usijisifu subiri usifiwe otherwise tutasema:
DEBE TUPU HALIACHI KUSHINDA
mwisho nasema:
Mwanamke akiwezeshwa anaweza!
Big up kinamama,yes you can!!!!!!
Yours sincerely,
Bishanga Abashaija.

Hahahaaaaaaaaa nilikua na uchovu naona umeisha kwa kuchekaaa,safi sanaaaa. Nitarudi tena
 
tofauti ya hizi zako na za bishanga ni kua bishanga amemtaja mwanaume wa ukweli aliyekamilika na anayejua nini afanye, anayejua wajibu wake kwa familia, zako zinamlenga mwanaume anayechipukia, ambaye bado anatafta nafasi yake kwenye familia/jamii inayomzunguka, anayesumbuliwa na kutokujiamini na kutojitambua.

Huo ni mtazamo wangu tu lakini!
BadiliTabia,wala usihangaike nao hawa,embu waulize nani ana ubavu wa ku print hii thread na kumpelekea mkewe asome? Nani Aspirin?Baba Enock?Eiyer?Tata?Fidel?Kloro?nani? Subutu yao!
 
MWANAMUME au MWANAUME (vyovyote vile) HASIFIWI KULA, ANASIFIWA KAZI.
 
11. Mwanaume ni mlinzi mkuu wa familia, ikitokea hatari kama ujambazi na kadhalika uwe tayari kufa kwa ajili ya familia.
Hivyo kila wakati usalama wa familia uko mikononi mwako. Huo ndio uanaume. Jasiri,shujaa
12. Mheshimu sana mkeo, mwelewe,umjue na mpende, mwanamke akikasirika ni hatari sana anaweza akaua familia nzima.
13. Kwa mujibu wa biblia, tumeumbwa kwa mfano wa mungu......
14. Ni kweli sisi ndio wanaume, siku zote tunamshukuru mungu kutuumba hivi kuwa wanaume.
15. Ukiwa mwanaume kumbuka kutenda,haki kwa familia na wengine.
16. Kwa namna yoyote ile simama peke yako,usitegemee pesa ya mkeo,pesa yako ni yake na yake ni yake.
17. Wewe ndie kiongozi mkuu wa familia, tuliza kichwa chako kabla hujaamua jambo. Vinginevyo unayumbisha familia.
18. Elewa policy ya familia, inahitaji nini kimaendeleo na wewe utakuwa mstari wa mbele kuitekeleza.
19. Pafanye nyumbani kwako pawe mahali pazuri pa kuishi..''home sweet home'' kwani hakuna kero,uonevu
dharau.kwa ajili hiyo kila mwanafamilia atapenda kuwa home muda wote.
20.TAFUTA PESA HALALI KWA BIDII ZOTE.............KWELI SISI NDIO WANAUME.
21.NI WAGUMU WA KUTOA MACHOZI/KULIA HADHARANI, TUKIZIDIWA TUNAENDA PEMBENI TUNALIAAA TENA SI KWA KUTOA SAUTI BAADAE TUNARUDI.
USO MKAVU.....HAPO UNALIA KIMOYOMOYO MWANAUME.

Mkuu, kama kweli mngekua mnayafanya haya mngestahili kujisifia haswaaa na sisi kama wanawake tungewapongeza sana tu bila hiyana. Unfortunately % kubwa sana ya wanawake wanalalamikia tabia zenu,inshort mnayoyasema na mnayoyatenda ni vitu viwili tofauti na ndio maana kwenye thread ya B tumekubaliana nae 100% kwa kuwa yale ndio wanaume wetu mnayoyafanya!!!!
 
ss ndo wanaume bana.....kwahiyo insecurity to a grown man znt beautful......hahahahahahaha!asprin thnks kwa hii makitu aseeeeeh!
 
mleta thread umeandika vizuri lakini kumbuka kuna wanaume wajinga na washenzi sana...hicho ulichoandika hapo ni sehemu ndogo sana ya wanaume..mimi ni mwanaume na ninawafahamu wanaume si wote wako kundi hili wengi wako kundi lile la ile thread ya bishanga..tena wengi sana wako huko..

Asante sana kwa kuwa mkweli......huyu Babu anataka kunifanya nirudi kwenye thread ya B nikaongeze point.
 
Mbu!To make this clear,faham kwamba tunda linalozungumzwa kwenye Biblia ni tunda kama tunda,sio maana unayotaka kuleta hapa,kufanya makosa kwa hawa Adam na Eve hakukupunguza ubinadamu wao bali kulifafanua mamlaka waliyonayo yanayotofautiana,Eve alianza kula hakujitambua kuwa yuko uchi,alipokula Adam ndipo macho yao yakauona utupu wao!Umeelewa ninachosema hapa?Kwa kukusaidia,jiulize ni kwanini alipokula Eve peke yake asijione mtupu mpaka alipokula Adam?

...dahhh, sasa Eiyer ...mimi kwa ufahamu wangu, tunda pekee unaloweza kula na kugundua upo uchi ni "tunda"...
wewe kama ukila tufaa, maembe na mananasi unajiona upo uchi ni sawa tu...ni mitizamo tofauti tu ya tafsiri.
...hilo la kujionea aibu...nadhani mwenyewe waweza pata jibu kwanini ukiwa mwenyewe huna haja ya kuuficha (ashakum si matusi) utupu wako.

hehehe huu mjadala moskwito na fellow tablet wako timu pinzani? acha nikae seat ya mbele aisee

Halaf lawyer nimeuchuna kwenye sredi ya bishanga na nitaendelea kuuchuna kwenye sredi hii pia. Kuchangia these two threads is very inversely propotional na maslahi ya PM.
(hapa mtaalam wa ma principles ya energy can neither be created MJ1 atakuwa ameelewa zaidi kuliko wengine)

...lol...comrade bana....sequestration of the the jury, au siyo?..hahahah!
 
Mwanaume ,hajisifii majukumu,mwanaume hakumbushwi majukumu ,mwanaume hakimbii majukumu,Mwanaume ndio msimamo wa imani ya familia yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom