Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Unapugundua ujinga wako si vyema uendelee kujidhalili mkuuu kuanza upya sio ujinga uovu hauna rangi wala kabila
Nilishaugundua ujinga wangu long time ndio maana nimejitoa kwenye hayo ma Dini yenu, wee endelea kujazwa uchizi tu.
 
waarabu wenyewe wa nn ? dini aina mwenyewe, wenyewe waislamu wote
Wee kwenda huko! Uislam ni asili ya Mwarabu, we mmatumbi umevamia tu, halafu unajiona unaijua hiyo Dini kuliko eti hata maswahaba wa mtume! Huko ni kutawaliwa kifikra.
 
waliotengeneza HIV wana roho nzuri?..waliochinja wahindi wekundu wana roho nzuri?..waliomwaga agent yellow vietnam wana roho nzuri,waliopga atomic japan?chinja aborigin australia?walioendesha vita vya msalaba?vita iraq,afganstan?
Ki ukweli hapo mimi ndiyo nashindwaga kuelewa kabisa, mtu utakuta anakomaa kusema waislamu wanapenda vita, ukiangalia ukweli hauko hivyo, sijui watu uwa wanatumia nn kufikiri?
 
Mimi ndoto zangu ni kwenda kuishi Botswana Namibia au Angola mahali ambapo mijitu yenye imani za kikatili imezibitiwa vya kutosha
 
Taifa limeingia kwenye taswira ya kufanya attack za ki-gaidi kwa namna hii kweli, nini kipo nyuma ya pazia, je hawa watu hawajulikani kweli ama tunajitia upofu hatuoni ama hatuishi nao kwenye jamii zetu,
 
Mkuu lakini huyo unayemuita mvaa chupi msalabani Quran inamtambua. Ila Muhammad biblia haimtamki. Simaanishi kwamba hakuwa Mtume, ila kwakuwa huyo unayemwita mvaa chupi msalabani Quran inamtabua kama mmoja wa mitume, mpe heshima yake basi.
Dah ameenda mbali sana ndugu unaemtusi si saizi yako bali dhambi unapata wewe na usijejuta siku moja hakuna aliyemtukana nabii wa mwenzie ndugu utalaaniwa achaa kuwatusi manabii wa Mungu hata kama hawakuhusu.Mungu akurehemu akupe hekima katika kinywa chako mana kama angekua na hekima usingenena hayo no wonder you can do anything for the name of religion if you can go to such extreme.
 
Nnavojua mimi najisi inaanzia rohoni sio nguoni wala vazi lolote. Siwazuii kuendelea na imani yenu hiyo lakini maana kilamtu yuko huru kuabudu anachoamini. Ila wakati mwingine ukikariri tu vitu bilakutafari ndoinafikia mahala watu wanapata mihemko isiyo nakichwa wala miguu, ikiwemo hilo tukio la Mwanza.
Dah ndugu bora umesema nilichotaka kusema najisi iko rohoni na wala si ktk vitu vya kawaida huezi ukaogopa uchafu kuliko kumkosea mungu wako kama tungekua tunaogopa dhambi kama hivi vitu tunavojidanganya ni najisi dunia ingekua na amani bt watu wamebobea kwa vitu vya kimwili zaidi na ndo mana hata kufanya matukio haya hawaoni shida.
 
palikua na wayahud na wakristo wakat wa mtume katika dola ya kiislam,pana wakristo iran ya leo,misri..waislam wa tanganyika walimpokea na kumlea julius nyerere mkatoliki swafi,dhana yako tu ya uadui inakusumbua
usiombe ukayaona ama kuyasikia wanayofanyiwa wakristo ktk nchi hizo basi tu
 
Hakuna kashfa kubwa kama kumuabudu mvaa machupi, Ningelikuwa mm ni bora hata ningemuabudu mvaa machupi wetu Giggy
ukikosa hekima mtu mzima kama wewe especial kwa mambo ya Mungu si haba kuna kitu nyuma yako ambacho hukijui acha kukipa kizazi chako laana kisa mdomo .Usijione unapumua ukajiona ni mjanja wa kunena kila unalotaka ndugu watch out
 
Dah ameenda mbali sana ndugu unaemtusi si saizi yako bali dhambi unapata wewe na usijejuta siku moja hakuna aliyemtukana nabii wa mwenzie ndugu utalaaniwa achaa kuwatusi manabii wa Mungu hata kama hawakuhusu.Mungu akurehemu akupe hekima katika kinywa chako mana kama angekua na hekima usingenena hayo no wonder you can do anything for the name of religion if you can go to such extreme.
Mkuu comment yangu umeisoma nakuelewa lakini au umepita juu kwa juu?
 
Kwani anayeuwawa naye anafaidi hao mabikra? Au anayeuwa tu??
Anafaidi mkuu. Tena wanawali dabini ambao hawajaingiliwa badoooo!! wakati naambiwa kua uyaone sikujua kamantaona vibweka kamahivi. Wakati mwingine mtu unajiuliza hivi akiri huwa wanahazima au zinasahaulika nyumbani
 
Back
Top Bottom