Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Huwa kila siku sipati maana halisi ya baadhi ya mafundisho. R.I.P Feruzi umefariki ukiwa na umri mdogo sana eti na watu wanaompigania mtume!!!
Umesoma au unakurupuka tu? Wapi wamesema wamewauwa kwa kumpigania mtume? Na waliouliwa sima walikuwa wanampigania nani?
 
Hapa kunahitajika ulinzi shirikishi kufichua hivi vikundi vidogovidogo vya kigaidi ili jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama viwatie nguvuni haraka sana ,hili ni jambo kubwa linaloisumbua dunia hatuwezi kukubali Tanzania ikawa na magaidi hata sekunde moja.
Polisi wenyewe Ndio wanaongoza kuvujisha habari wanazopelekewa na wasamaria wema,
 
Back
Top Bottom