Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Anafaidi mkuu. Tena wanawali dabini ambao hawajaingiliwa badoooo!! wakati naambiwa kua uyaone sikujua kamantaona vibweka kamahivi. Wakati mwingine mtu unajiuliza hivi akiri huwa wanahazima au zinasahaulika nyumbani
hapo kwenye red inasikitisha sana aisee!!
 
Comment za mihemko na ubinafsi wa kimaani ni tatizo tuwe na utaratibu wa kushirikisha akili katika kuchangia
MIMI NI MUISLAM LAKINI SIUNGI MKONO HAYO MAUAJI YALIYOTOKEA
 
Mungu awalawaze pema waumini waliouawa.
Nyooo asiyejua mbeya washirikina nani
Si wanachunana ngozi si wanapigana nondo kulee au yale ni mafundisho ya masihi nayo???

Asiyejua orthodox wanafuga mandevu nani chuki zitakuuua ndugu umekomaza mishipa ya shingo kuhubiri chuki
 
Ki ukweli hapo mimi ndiyo nashindwaga kuelewa kabisa, mtu utakuta anakomaa kusema waislamu wanapenda vita, ukiangalia ukweli hauko hivyo, sijui watu uwa wanatumia nn kufikiri?
Mioyo yao ina nafasi kuliko akili zao
 
najaribu kuvuta picha kama ningekuepo siku hyo msikitini nadhani haja zote zingenitoka..!
 
Kilichobaki ntaangalia nafs yangu tu bs sintoumiza kichwa kwajil ya watu wengne acha wachinjane wauane ntabak kutafuta pesa,,kufanya ibada na kuilisha familia yangu tu
 
tumia vizuri ujiuji ulio ndani ya fuvu lako,huo kazi yake sio kukumbuka namna ya kuvaa suruali tu na kusafisha tundu dogo baada ya kutoa haja
Ndo nini sasa uchoandika kumbe huna hata Point,kwako matusi ndiyo umeona ni sifa????JITAMBUE!!!!!!!!!
 
Comment za mihemko na ubinafsi wa kimaani ni tatizo tuwe na utaratibu wa kushirikisha akili katika kuchangia
MIMI NI MUISLAM LAKINI SIUNGI MKONO HAYO MAUAJI YALIYOTOKEA
Wote huwa mnasema hivyo hivyo lakini mioyoni mwenu mwaona fahali sana
 
mbona yesu alibinua meza za wafanyabiashara hekaluni,alikua anampgania nani?
mbona yesu alibinua meza za wafanyabiashara hekaluni,alikua anampgania nani?

Unachanganya mambo. Yesu ni Mungu, ni nafsi ya utatu mtakatifu. Angekuwa anapigania kitu, basi angejipigania mwenyewe asikamatwe na kuuawa. Lakini biblia inasema alijitoa mwenyewe afe ili kila mtu aokolewe. Yesu anaweza kutupigania na ndio maana tunamuomba kila siu atusaidie. Lakini huwezo kumsaidia mungu. Tumia akili ya kawaida. Nikupe mfano mrahisi sana japo wala hauna mantiki sana, marekani wanatusaidia vyandarua na dawa ya ukimwi, lakini sisi hatuwasaidii. kwa nini?
 
Pole kwa wote waliofikwa na msiba. Ila serikal ijaribu kuangalia sana matukio ya kinyama yanayotokea kila Mara. Tanzania ni nchi ya Aman tunaomba sifa ya nchi yetu isipotezwe na watu wa wachache.
 
Hakuna kashfa kubwa kama kumuabudu mvaa machupi, Ningelikuwa mm ni bora hata ningemuabudu mvaa machupi wetu Giggy
ndugu unafahamu kuwa mtume alilelewa na wafuasi wa huyo nayemuita mvaa chupi, hata kama ni ujinga basi jitahidi kuficha ujinga wako, na mtume huko alipo anaumia kuona mfuasi wake huna busara kiasi hcho.
 
ndugu unafahamu kuwa mtume alilelewa na wafuasi wa huyo nayemuita mvaa chupi, hata kama ni ujinga basi jitahidi kuficha ujinga wako, na mtume huko alipo anaumia kuona mfuasi wake huna busara kiasi hcho.
Kwani wewe umeelewa nini nikivyosema mvaa MACHUPI?
 
Mhhhhh mimi ni muislam lakini kwa hiki mhhhhhh hawakufundishwa hivyo katika dini. Hawa ndio walioleta tabu kwa Waislam duniani kote
 
Unachanganya mambo. Yesu ni Mungu, ni nafsi ya utatu mtakatifu. Angekuwa anapigania kitu, basi angejipigania mwenyewe asikamatwe na kuuawa. Lakini biblia inasema alijitoa mwenyewe afe ili kila mtu aokolewe. Yesu anaweza kutupigania na ndio maana tunamuomba kila siu atusaidie. Lakini huwezo kumsaidia mungu. Tumia akili ya kawaida. Nikupe mfano mrahisi sana japo wala hauna mantiki sana, marekani wanatusaidia vyandarua na dawa ya ukimwi, lakini sisi hatuwasaidii. kwa nini?
yesu mungu!..pole sana,humjui mungu,huo msamiati wenu wa mungu hapiganiwi mliouzua hivi karibuni uchambueni ili muone kama ni kweli mungu wa 'majeshi' hapiganiwi
 
Back
Top Bottom