Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Kama wanafanya hayo mazoezi kwa nia ovu tiyari nao ni evils..... hakuna sbb ya kundi 1 la dini 1 kufanya mazoezo kwa pamoja na wengine kufanyia msikitini.... kuna watu ni evils kwenye hili na nadhani tunahitaj kuwa nao makini sana....Kukataza watu kufanya mazoezi ni kukiuka sheria. A lot of evils out there polisi washughulikie kwanza kabla ya kuanza na mambo ambayo hayavunji sheia