Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Kukataza watu kufanya mazoezi ni kukiuka sheria. A lot of evils out there polisi washughulikie kwanza kabla ya kuanza na mambo ambayo hayavunji sheia
Kama wanafanya hayo mazoezi kwa nia ovu tiyari nao ni evils..... hakuna sbb ya kundi 1 la dini 1 kufanya mazoezo kwa pamoja na wengine kufanyia msikitini.... kuna watu ni evils kwenye hili na nadhani tunahitaj kuwa nao makini sana....
 
Sasa inichunguze Mimi nimefanya nn, kama kuna sheria yoyote nimevunja I'm ready. Tatizo kubwa linalokusibu na ambacho hutaki kukisema ni roho yako mbaya na chuki kubwa dhidi ya Waislam na Uislam... Hiyo kutumia mbinu kuuhusianisha na Ugaidi ili kuuchafua haitasaidia kitu..

Halafu hata hivyo regardless maneno waliyoyasema wakati wakifanya mauaji hayatoshi hata kidogo kuonesha ni Waislam-kwani mtu yeyote anaweza take advantage ya ugomvi au uhasama baina ya wawili.

Najua akili yako kishungi huwezi hata kunielewa
Ni mjinga tu au aliyepiga KITWANGA baridi ndiye atakubaliana na wewe,maana mambo hayo hamjaanza leo,Mnajifanya dini yenu ya Amani huku mkono mwingine mmshika Mapanga,mtauana sana ninyi kwa ninyi mkisingizia CHUKU,KUONEWA au KUSALITIANA,hata ilikotokea dini yenu wanafanyiana hivyo na ninyi huku mnafanya mwendelezo tu.
 
Kukataza watu kufanya mazoezi ni kukiuka sheria. A lot of evils out there polisi washughulikie kwanza kabla ya kuanza na mambo ambayo hayavunji sheia



Muache kucheza karate misikiti

Na sisi wakristo tutaanza kucheza soka makanisani sasa
 
Sidhani na siamini kama Imani yoyote ina ruhusu kumuuwa mwenzako. Uislamu nijuavyo mimi ni Amani!

Hao walio wauwa wenzao wakiwa kwenye Ibada ni wauaji/wahalifu kama walivyo wahalifu wengine, wasitumie kichaka cha dini kujificha kwani uislam hauruhusu kuuwa mtu.

Pia ni vyema Jeshi letu la Polisi likaongeza weledi wa kupambana na aina mbalimbali za uhalifu, ina wezekana kabisa wauaji hao wametumia mbinu tu ili kupoteza uchunguzi.
 
"Kiongozi wa kundi hilo alikuwa MWANAMKE, akaanza kuamrisha kwa kusema; ‘chinja na huyu.’

CC: FF walete ma binti & wajukuu zako katika shule za ma kafiri. Tutawapokea na kuwaepusha na hayo.
 
hapa utakuwa umekosea, kwa afya ni sawa lkn kwa kujilinda na uonevu ( vibaka) hapana, dini zinahubiri upendo, na sheria za judo, karate, haziruhusu kutumia hvyo vitu kirahisi tu maana kuna maeneo ambayo ukimpiga mtu au kumgusa kwa nguvu anaweza pata kilema ama kupoteza maisha.
hapa akili yako ina makengeza,umeamua kuchagua upande wa kukaa na akili yako imelala hapohapo
 
Arusha wapo Kilombero ukiingia na suruali ndefu wanaikata kwa mkasi,kutwa nzima mazoezi ya karate,judo.
Hahahahaaaaaa!! Mkuu usituvunje mbavu watu hatula mchana huu bana. Sasa suruari inakuwa imekosa nini hapo!?

Hizi imani nyingine jamani nizaidi ya uchizi. Lakini nipande zote hata wakristo wale waliopigwa kiberiti na Kibwetele Uganda nao walishavurugwa akiri kabisa hatakuona ilikuwa shida. Huko kunaitwa kuvamia imani wala siokusali. Nadhani Mwenyezi Mungu kwa vituko vya aina hii huwa anafika mahala anaduwaa tu.
 
Walau kupunguza kidogo matukio kama haya, Serikali ifanye yafuatayo 1)Elimu mpaka kidato cha sita ni bure na lazima, hii itasaidia kufuta watu ujinga wa kusombwa na makundi yasiyo na elimu yenye nia ovu. 2)Kuhakikishia vijana ajira au kibarua, hii itamuweka mtu bize na kukosa wasaa wa kukutana, kukaa makundi kutoa na kupokea ujinga unaozaa majanga kama haya. 3)Serikali kutengenezea vijana mazingira ya kuwa na familia (kuoa na kuolewa), asilimia kubwa ya wahalifu ni wale wasio na familia wasio na kazi, husema hawana cha kupoteza hata wangekufa au kufungwa.
 
tunataka amani. Watanzania tumekosa nini mpaka tunafikia hatua ya kuchinjana kama kuku aisee. inauma sana kuona ndugu yako au mzazi wako amechinjwa kinyama . inauma sana kwakweli
 
hapa akili yako ina makengeza,umeamua kuchagua upande wa kukaa na akili yako imelala hapohapo
asante, ni kwa kuwa umeunyima ubongo wako uwezo wa kuchambua na kukielewa kile nilichoandika, ila mwenye busara atasoma neno moja moja na ataelewa kile nilichoandika na atajibu kwa busara. Kama upo kwenye dini isiyohubiri upendo, jitazame upya maisha yako. Hata wanaofundisha judo na karate halisi, wanahubiri upendo wa kweli. Ila wale waliokimbia mafunzo na kujifunza kwa njia zisizo halali, mioyo yao imejaa visasi.
 
Hahahahaaaaaa!! Mkuu usituvunje mbavu watu hatula mchana huu bana. Sasa suruari inakuwa imekosa nini hapo!?

Hizi imani nyingine jamani nizaidi ya uchizi. Lakini nipande zote hata wakristo wale waliopigwa kiberiti na Kibwetele Uganda nao walishavurugwa akiri kabisa hatakuona ilikuwa shida. Huko kunaitwa kuvamia imani wala siokusali. Nadhani Mwenyezi Mungu kwa vituko vya aina hii huwa anafika mahala anaduwaa tu.
Kuhusu kuvaa Suruali fupi au kanzu fupi lengo ni kwamba,unapovaa kanzu ndefu, Kanzu ndefu huanza kuburuza na kuchuka uchafu na hasa najisi kama vile mikojo barabarani au uchafu wa aina nyingine kote huko njiani utakapo pita, na hata Suruali ndefu ni hivyo hiyo,

so,kwa matokeo hayo ya kuvaa Kanzu/Suruali ndefu sana,ndio unajikuta unaingia kwenye Nyumba ya Ibada au unasali huku ukiwa umevaa nguo chafu na hasa "najisi"

Bila shaka nafikiri utanielewa kama hujajikoki kubishana tu!
 
Kuhusu kuvaa Suruali fupi au kanzu fupi lengo ni kwamba,unapovaa kanzu ndefu, Kanzu ndefu huanza kuburuza na kuchuka uchafu na hasa najisi kama vile mikojo barabarani au uchafu wa aina nyingine kote huko njiani utakapo pita, na hata Suruali ndefu ni hivyo hiyo,

so,kwa matokeo hayo ya kuvaa Kanzu/Suruali ndefu sana,ndio unajikuta unaingia kwenye Nyumba ya Ibada au unasali huku ukiwa umevaa nguo chafu na hasa "najisi"

Bila shaka nafikiri utanielewa kama hujajikoki kubishana tu!
Nnavojua mimi najisi inaanzia rohoni sio nguoni wala vazi lolote. Siwazuii kuendelea na imani yenu hiyo lakini maana kilamtu yuko huru kuabudu anachoamini. Ila wakati mwingine ukikariri tu vitu bilakutafari ndoinafikia mahala watu wanapata mihemko isiyo nakichwa wala miguu, ikiwemo hilo tukio la Mwanza.
 
asante, ni kwa kuwa umeunyima ubongo wako uwezo wa kuchambua na kukielewa kile nilichoandika, ila mwenye busara atasoma neno moja moja na ataelewa kile nilichoandika na atajibu kwa busara. Kama upo kwenye dini isiyohubiri upendo, jitazame upya maisha yako. Hata wanaofundisha judo na karate halisi, wanahubiri upendo wa kweli. Ila wale waliokimbia mafunzo na kujifunza kwa njia zisizo halali, mioyo yao imejaa visasi.
akili yako ina matatizo mengi,ina matege pia,ndomana unaenda sana O.P
 
Unajua kuna makundi ya vijana wanakaa na kujidanganya wao wenyewe.
Wahusika wote watakuwa wanajulikana,maana kwa mazingira hayo ni kwamba ni vijana eneo husika.
Na tatizo kubwa kwa polisi ni kuzembea taarifa kutoka kwa wananchi wa kawaida na wananchi kuchoka na kuamua kukaa kimya kusubiria tukio.
Maana hiyo Clip yenyewe Global watakuwa wameipata kwa wananchi,na wananchi wanahofu ya kutajwa na polisi wasio waaminifu.
Naomba jeshi la polisi mchukue hatua na mbadilike,mkipewa taarifa na mkizembe basi mjua makubwa yanafuata na itafikia hatua yatawashinda kuyadhibiti,watu hao wanatumia udhaifu wa Polisi.
 
Hao wasijekuwa wanatumiwa ku sabotage mradi wa bomba la Kampala - Tanga

Na kama haya nayafanywa kwa mipango ya udanganyifu wa siasa chafu za hapa nchini kwankunyamazisha vilio fulano basi wajuwe kuwa athari zake zitaathiri mipango ya Serikali ya maendeleo na kujinasua kiuchumi. Hili suala liangaliwe katika jicho la tatu. Isijekuwa majirani zetu wanahusika.
Msisahau Wanyarwanda nao wanaona bora SGR waunganishe na Tanzania kuliko Kenya.
hakuna cha jicho la tatu wala Sita Hawa Majamaa wengine ni ndugu zetu tunawajua mambo zao
 
Back
Top Bottom