Siri 5 Mauaji Msikitini

Siri 5 Mauaji Msikitini

Mwanza waongoza mazoezi ya carate, ngumi, judo etc kwenye vikundi wengi ni waislam hata nyakato.... niliona wanahojiwa kwenye Tv ila wanacho sema ni kwamba wanafanya mazoez tu kujiweka fit, polisi chunguzeni sana hawa watu nadhani sio wema sana (nadhani sina uhakika).... maana nilishangaa wengi walikuwa na sigda kubwa kabisa usoni na zile ndevu ... na ikibidi
haya mazoez yapigwe marufuku kwa muda....

Arusha wapo Kilombero ukiingia na suruali ndefu wanaikata kwa mkasi,kutwa nzima mazoezi ya karate,judo.
 
Mkuu, msingi wa hoja yako ni nini, upande wa sheria haupo wala upande mwingine haupo , yaani Upo kati na kati kama tunda alilokula Adam na Eve
Nakusikitikia kuukataa ukweli kwa kuwa tu u muislamu sawa na mimi niteteee upotoshaji unaofanywa na baadhi ya wachugaji kisa tu eti mimi ni mkiristu. Chanzo cha haya ni baadhi ya mafundisho yenu ya hovyo wanayowapatia vijana wenu wa kiislamu aidha nje au ndani ya msikiti. Nani asiyetambua kuwa hao mnaojiita wenye imani kali kuwatofautisha na ugaidi ni kama kukataa samaki haishi majini? Mbona waislamu wanaofuta uislamu haswa tunaishi nao na kutembeleana kwa amani kabisa!! Nilianza kushangaa mlipogawanyika na kukuta wengine mnavaa suruali fupi
 
Hili kundi lililoua watu wakisali sidhani hata kama wanaujua uislamu vizuri, kwahiyo wao walitaka wenzao wasisali ili waenda tu kushinda Polisi mpaka wenzao watolewe?

Kwa uislamu salaa inaweza kuachwa na mtoto mdogo,Mwenye matatizo ya akili,mwanamke anapokua kwenye siku zake (coz mwili unakua sio msafi) huwezi kuacha kusali kisa wenzenu wamefungwa!!

Unapofika wakati wa salaa ni lazima kusali, hata kama utakua unazama baharini ila unapofika muda wa salaa utasali japo kifikra bila vitendo kama vile kusujudu n.k na Mungu anakukubalia tu salaa yako,huwezi kuua wenzako eti kisa wanasali,

Wanajuaje hapo kwenye sala zao pengine hao waliowaua pia walikua wanamuomba Mungu awasaidie wenzao ili watoke jela kwa amani? Tusihukumu uislamu wote kwa vitendo vya vikundi fulani tuu,

Amani ni kitu cha thamani sana na ikipotea ni ngumu sana kuirudisha,tudumishe amani na tuungane wote kulaani hicho kitendo cha watu walio uawa bila hatia,

Mungu azilaze mahala pema peponi roho za marehemu wote...Amin
 
Uislamu dini ya ajabu sana wanauana wenyewe kwa wenyewe.
Kama una jicho la uono na fikra pevu utamaizi kuwa waliouliwa walikuwa Waislamu na walioua Si Waislamu. Watafutie dini ya kuwapa, regardless ya watakachosema hawana uislam na Uislamu hauwatambui.
 
Kukataza watu kufanya mazoezi ni kukiuka sheria. A lot of evils out there polisi washughulikie kwanza kabla ya kuanza na mambo ambayo hayavunji sheia
Nadhani polisi ikuchunguze na wewe pia, sioni sababu ya kutokwa povu eti kisa mtu ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa viashiria vya ugaidi
 
Hawa wenzetu hawataki kuambiwa ukweli mafundisho yao yamejaa chuki tu, na mtachinjana sana tu mpaka mtakapojitambua.
 
Naomba kuuliza.hivi kati ya hao waliokua wanasawali na wale waliochinja ni wapi kati yao wakienda mbinguni watafaidi wale mabikra 72?maana kwa mujibu wa maandiko wote wametimiza wametimiza wajibu wao,kuswali Mara tano,kama mtume wetu S.A.W alivyoagiza na kupigania dini yetu hata kwa ncha ya upanga(jihhad).?
 
Nadhani polisi ikuchunguze na wewe pia, sioni sababu ya kutokwa povu eti kisa mtu ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa viashiria vya ugaidi
Sasa inichunguze Mimi nimefanya nn, kama kuna sheria yoyote nimevunja I'm ready. Tatizo kubwa linalokusibu na ambacho hutaki kukisema ni roho yako mbaya na chuki kubwa dhidi ya Waislam na Uislam... Hiyo kutumia mbinu kuuhusianisha na Ugaidi ili kuuchafua haitasaidia kitu..

Halafu hata hivyo regardless maneno waliyoyasema wakati wakifanya mauaji hayatoshi hata kidogo kuonesha ni Waislam-kwani mtu yeyote anaweza take advantage ya ugomvi au uhasama baina ya wawili.

Najua akili yako kishungi huwezi hata kunielewa
 
samahami mleta mada unakunywaga viroba kama hujui uislam kaakimyaa

Yeye kaleta taarifa, sasa kosa lake ni nini? Kwani ugaidi hakuna? Hakuna magaidi waislamu? Ni kweli dini haifundishi hayo lakini wapo waislamu wengi wamepotoka wanakuwa brainwashed. ISIS si magaidi tu..na si wanawauwa hadi waislamu wenzao
 
kama kuna sheria inakataza kufanya mazoez nyumba ya ibada weka hapa,judo ni kwa ajil ya kujilinda na uonevu(vibaka) na kuweka afya safi
hapa utakuwa umekosea, kwa afya ni sawa lkn kwa kujilinda na uonevu ( vibaka) hapana, dini zinahubiri upendo, na sheria za judo, karate, haziruhusu kutumia hvyo vitu kirahisi tu maana kuna maeneo ambayo ukimpiga mtu au kumgusa kwa nguvu anaweza pata kilema ama kupoteza maisha.
 
Hao wasijekuwa wanatumiwa ku sabotage mradi wa bomba la Kampala - Tanga

Na kama haya nayafanywa kwa mipango ya udanganyifu wa siasa chafu za hapa nchini kwankunyamazisha vilio fulano basi wajuwe kuwa athari zake zitaathiri mipango ya Serikali ya maendeleo na kujinasua kiuchumi. Hili suala liangaliwe katika jicho la tatu. Isijekuwa majirani zetu wanahusika.
Msisahau Wanyarwanda nao wanaona bora SGR waunganishe na Tanzania kuliko Kenya.
 
Kufuga ndevu ni sehemu ktk Uislam, hiyo kufuga majini kawaulize Wachungaji wako maana Haipo ktk Uislam

Uliyekuwa unamjibu aliandika lolote kuhusu uislam wako huo wa kipumbaavu? Yeye alisema wafuga ndevu na majini. Wwe ulivyo limbweha ukakimbilia kusema ati asipigan na waislam ama uislam. Shenzy kabisa mijitu isyo n aufahamu inarukia hoja na kurpoka kipumbavu kuishia kutaka ku create mazingira ya vita tu. Pumbavu! Kwenda zako amboni mbwha mkubwa.
 
Duh! Mbona inatisha sana!
Mtume Muhammad (SAW) anasema; "Siku za mwisho umma wangu utagawanyika katika makundi 73.Makundi 72 yatakwenda MOTONI,na kundi MOJA litakwenda PEPONI."
Anasema tena; "Jihadharini na walinganiaji walio katika MILANGO YA JAHANNAM."
Kwa hadithi hizi mbili,akina IS,Boko Haram,Al-Shabaab,Janjaweed na wengine wote duniani wenye kufanana na USHETANI wa magenge haya, HAWATAMBULIWI NA UISLAMU.Hadithi hizi zinawagusa moja kwa moja.
Mwenyezi Mungu ndio kaweka wazi kabisa kitakachowakuta kwa dhuluma kubwa wanayofanya.Anasema; "Mwenye kuua muumini kwa makusudi bila ya haki,malipo yake ni JAHANNAM.Na gadhabu za Mwenyezi Mungu na laana ziko juu yake,na ameandaliwa adhabu kubwa." (Quran; 4:93)
 
Ya
Uliyekuwa unamjibu aliandika lolote kuhusu uislam wako huo wa kipumbaavu? Yeye alisema wafuga ndevu na majini. Wwe ulivyo limbweha ukakimbilia kusema ati asipigan na waislam ama uislam. Shenzy kabisa mijitu isyo n aufahamu inarukia hoja na kurpoka kipumbavu kuishia kutaka ku create mazingira ya vita tu. Pumbavu! Kwenda zako amboni mbwha mkubwa.
Mkuu hawa watu nishida wanaweka mahaba ya dini mbele hata kwa mambo ya maana.
 
Back
Top Bottom